Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome(goigle) kuhusu Cults ndio utajua hakuna cha ndumbawala hallucinations..Nahis wanatumia ndumba za hallucination maana mtu kwa akili zako timamu huwez kubali kupigwa na watu kama hawa.
Sasa madam ukitaka nifanyia muujiza hebu ibuka hapa kejo juu niko na dear deficiency juu umetumia hiyo dear kumuita mwanamkeHahaha hebu rudi kwenye mada please....vip umeokoka[emoji23][emoji23][emoji1787]
Unataka nikutendee muujiza gani leo[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema kinachonichekesha wanapingana. Ndugu yangu alipewa mafuta na demu wake anasali kwa mwamposa, sasa nikawa nampa story sister nikidhani atafurahi ndugu yake anaelekea kwenye uokovu. Nikasikia masikini anatumia vitu asivyojua anaingia maagano na mizimu ya huyo mwamposa. mungu amsaidie. Siku nyingine nasikia anakandia yule sijui anajiita nabii gani alikuwa ana kanisa kule skanska.Mmmmh....sadaka ni nyingi sana atafilisika jamani
Ndomana na mm wachungaj kama hao wakingia kwenye 18 zangu nawawashaSasa mkuu mrangi, ukisema tuwapee wajinga wali uwe wao unakuwa hauko sawa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mara uangukie kichogo yakukute ya kanumba akuuuu.Haahaaahaaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwiii uko kama mimi!
Mimi nilisukumwa nikakataa kuanguka nikamuuliza mbona unanisukuma kwa nguvu tena kwa kuangukia mgongo kwenye tiles....nikaambiwa kaa pembeni we una pepo mchafu, badae hawakushughulika na mimi tena ( nikapotezewa)
Na hii iliikuwa niko kwenye utafiti wangu kuhusu haya makanisa, kote nimezunguka nawajua vizuri sana! ( Mpaka baba aliponikataza ndo nikaacha kwenda)
Sasa ukiwawasha na wewe ndio unaacha kuwa rangi unakuwa moto?Ndomana na mm wachungaj kama hao wakingia kwenye 18 zangu nawawasha
Ova
Hehehehe[emoji23][emoji1787] hataree tupuSema kinachonichekesha wanapingana. Ndugu yangu alipewa mafuta na demu wake anasali kwa mwamposa, sasa nikawa nampa story sister nikidhani atafurahi ndugu yake anaelekea kwenye uokovu. Nikasikia masikini anatumia vitu asivyojua anaingia maagano na mizimu ya huyo mwamposa. mungu amsaidie. Siku nyingine nasikia anakandia yule sijui anajiita nabii gani alikuwa ana kanisa kule skanska.
Yani hawaaminiani kila mmoja wao anaamini anakosali tu.
Nilimkumbuka huyo huyo Kanumba wa Lulu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mara uangukie kichogo yakukute ya kanumba akuuuu.
Haaahaaahaaahaa asee hapana asee[emoji848][emoji848]Mama alikuwa amejipara... Alikuwa ametengeneza ocult.
Akamalaghai hadi mama kanunba eti anaenda kumwonyesha kanumba kufika kamwonyesha eti mdada kanisani kwake akasema ndo roho ya kanumba imeingia hapo..
Yule mama alikuwa katengeneza ocult kabisa yani waumini wakimwona wanasujudu yani kuna muda unajiuliza hivi ubongo uwa unapigwa shoti au.
Kuna video niliona eti wanapigana vita ya amagadon. Yani watu wazima si wanawake si wanaume wanaviringishana kwenye mchanga halafu yeye huyo zumaridi anasema kwenye macho ya nyama unaona kawaida ila ulimwengu wa roho wanapigana hapo wanaelekea kushinda ni vita kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila yeye alikuwa hapigan hataki chafuka
Sielewi aisee, na kuna yule sijui wa tanga alikuwa anahubiri mara ambebwa mwanzo mwisho mara awakanyage waumini.Haaahaaahaaahaa asee hapana asee[emoji848][emoji848]
Ila Wabongo vilaza au kulogwa?
Laini ya simu kwa sasa inaweza kuhifadhi mpaka mil 10 bila kuomba upgrade, laini yangu huwa inakaa na hiyo hela, na pia kwenye kupokea hela hakuna limit kwa siku unaweza kupokea mil 10 yote lakini kutoa kwa siku mwisho mil 5 kesho tena waweza kutoa mil 5Ushuhuda una chembe chembe za miujiza
Kihalisia kiwango cha mwisho kuhifadhi kwenye simu ni chini ya milion 4
Ila kwa mwamposa lolote linawezekana, yale maji yana power ya kupumbaza servers za mitandao na kufanya milion 10 iwe detected kama milion 1
Halafu kingine ambacho shuhuda hakukisimulia ni pesa ya makato, unajua ukishapata upako wa mwamposa hakuna muamala wowote ambao utakuwa na tozo wala makato?
Ni muda tu haukuwa rafiki ila shuhuda alikuwa na mengi ya kusimulia na yakushangaza na kuonesha ukuu wa Mungu kupitia nabii wake mnyakyusa mwamposa
Shalom
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aki si mnanichekesha hizi shuhuda[emoji23][emoji23][emoji23]Mama alikuwa amejipara... Alikuwa ametengeneza ocult.
Akamalaghai hadi mama kanunba eti anaenda kumwonyesha kanumba kufika kamwonyesha eti mdada kanisani kwake akasema ndo roho ya kanumba imeingia hapo..
Yule mama alikuwa katengeneza ocult kabisa yani waumini wakimwona wanasujudu yani kuna muda unajiuliza hivi ubongo uwa unapigwa shoti au.
Kuna video niliona eti wanapigana vita ya amagadon. Yani watu wazima si wanawake si wanaume wanaviringishana kwenye mchanga halafu yeye huyo zumaridi anasema kwenye macho ya nyama unaona kawaida ila ulimwengu wa roho wanapigana hapo wanaelekea kushinda ni vita kali [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila yeye alikuwa hapigan hataki chafuka
Hahahahaha.... mwanaume mzima na mbupu zako unalala chini nabii fake akukanyage[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sielewi aisee, na kuna yule sijui wa tanga alikuwa anahubiri mara ambebwa mwanzo mwisho mara awakanyage waumini.
Nahisi moyoni wanakuaga wanacheka hili jamaa limesoma lina cheo kikubwa naliambia lilale chini nilikanyage linalala. Nadhani hiyo inawafanya wajihisi powerful
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukafukuzwa[emoji23][emoji23][emoji23]Unajiona billionaire kumbe mfukoni huna hata 100 nyekundu. Mimi nilijaribu kwenda kanisa moja kudadisi baada ya rafiki kuniconvince sana. Wakawa wanapita kuombea watu kwanza fungeni macho mimi hua sifungi ng'ooo. Mara naona nasukumwa nikasema sianguki sukuma mwingine yupo nyuma anidake nikajikaza mpaka ikabid nijiachie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baadae mchungaji akatangaza kuna wageni humu ndani hawafai kanisani ni watu hatari sana. Nikajua ni mimi tu [emoji38][emoji38][emoji38]
Hakuna kitu kama hicho, hapo watu wanapigwa sana kwa shuhuda za uongo.Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji[emoji2307][emoji2307]
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani akashangaa sms kucheki amepokea milioni 10 hajui ilipotoka kwa hofu akamshirikisha jirani, jirani akamwambia katoe labda Mungu kakuona akaenda kwa wakala kutoa ilivyotoka ikaingia tano ingine akatoa[emoji1787][emoji1787]
Najiuliza mtandao gani wa simu laini inaweza pokea milioni 15 na ikatoka ndani ya lisaa limoja[emoji2307][emoji2307]tena bora angekuwa mtu wa kutumia miamala jamaa anadai hakuwahi weka kwenye simu hata laki.
Jamaa akaendelea baada ya kutoa ile tano ikaingia mbili akatoa tena jumla akawa na milioni 17(sijui roho mtakatifu alilipia makato) jamaa anadai hakuwahi miliki milioni moja yake ila kwa mara ya kwanza akawa amepata milioni 17 akarudi home akaanza harakati za Ujenzi, mpaka sasa amefanikiwa kujenga, kununua pikipiki na kafungua biashara, anadai kuwa ule mtindo wa kupokea hela uliendelea hadi akakamilisha ujenzi wa nyumba ya Milioni 30 biashara na usafiri(pikipiki)sasa hivi ana mpango wa kununua gari.
Hela zote hajui zinatoka wapi.
Daah MUNGU anisamehe tu ila huu ni utapeli wa hadharani