Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Hili ndiyo tatizo la kujadiliana na wajinga. Usihamishe mada.

Wewe umedai hizi ni hadithi nimekuomba uthibitishe hilo unajichekesha na kuhamisha mada. Mimi Abu Nawas namjua vizuri kwa kumsoma na amesingiziwa mambo mengi sana. Sasa nataka nikuonyeshe ya kuwa usiwe mtu wa kuropoka ropoka kila kitu kimehifadhiwa na kuhakikiwa na Wanaume.

Sasa jikite katika swali la msingi usihangaike hangaike.

Nasubiri ithibati kisha nikupe ukweli kuhusu Abuu Nawasi na yale anayo nasibishwa kwayo, kisha tufikie hitimisho.
 
Mkuu unazo leta Ni technicalities Tu lakini ukweli unabaki kuwa pale pale Ibrahim Ni MTU muhimu kwenye Biblia.

Anyways tufanye Ibrahimu hakuwa Nabii.

Ibrahim Ni baba WA imani so unakubaliana Na Mimi kwamba Ibrahimu Ni baba WA Imani?
Baba wa Imani Yesu Kristo

Biblia inatamka wazi kuwa imani huja kwa kusikia neno LA Kristo sio la Ibrahim
 
Kwa nini waarabu waliwafanya waafrika kuwa watumwa, ingawa wao walituletea dini na mpaka leo hii tunaiamini?
 
Kwa nini waarabu waliwafanya waafrika kuwa watumwa, ingawa wao walituletea dini na mpaka leo hii tunaiamini?
Kijana una kichwa kigumu sana. Kwanza kiri ya kuwa ulikurupuka kuandika ule ujinga ulio uandika ambao umeshindwa kuutetea. Kisha tundelee na hivi vitu unavyo vianzisha vipya.

Nipo ...
 
Hii maana ya kubaka umeipata wapi ? Natamani sana ungekuwa unaandika haya kwa uadilifu na elimu.

Sasa jambo ambalo limeruhusiwa linakuwaje baya ? Unatumia vipimo gani ?
Koran ndio imeruhusu kubaka house girl, sasa naona unachanganya , na imeweka verse kabisa
 
Kijana una kichwa kigumu sana. Kwanza kiri ya kuwa ulikurupuka kuandika ule ujinga ulio uandika ambao umeshindwa kuutetea. Kisha tundelee na hivi vitu unavyo vianzisha vipya.

Nipo ...
Mkuu, mbona maswali yangu mepesi unashindwa kujibu?
 
Mkuu, mbona maswali yangu mepesi unashindwa kujibu?
Langu jepesi zaidi lakini mpaka muda hutaki kujibu.

Kingine hakuna swali ambalo linanishinda kujibu, ila nataka tifate adabu na taratibu za kujadiliana, tujadili kimoja kiishe kisha kifate kingine huu ndiyo utaratibu na watu timamu huwa tunafanya hivi.

Kingine swali likiwa gumu kwangu huwa nasema sijui, ukiona sijasema sijui ujue jibu ninalo ila tu unakuwa umeharibu utaratibu, mpaka muda huu ushauliza maswali zaidi ya mawili ila yote yanataka kunitoa katika kile kiini cha mjadala wangu tulipo anzia haya ni matumizi mabaya ya akili.

Pia, muwe mnajifunza adabu za kufanya mijadala siyo mnajadiliana tu. Nacho kukumbusha ni kuwa kila kitu kinataka elimu.
 
Hata nikiandika hakiwezi kufikia ya akina Ibrahim and company Kwa hiyo itaonekana utoto utoto Tu uki compare na Hao akina Ibrahim .

Njoo pia na unabii wako juu ya yule anayehubiri kule stand Mbezi anayejiita Komanso Mashimo!
 
Karne sasa hivi bado kuna manabiišŸ¤”na maisha yenu yanaendeshwa na manabii hawa wa kwenye chanel 0001,Mungu tusaidie tunaangamia kwa kukosa maarifa
 
Huwezi kunifundisha dini yangu, hata kwa bahati mbaya.

Tuwekee aya tusome wote. Usiogope.
Kisa Cha safiya ni Cha kuuzunisha Sana , Muhammad alichinja familia yake na akambaka nenda kasome , alimkatakata mume wa safiya mbele yake
Safiyah was by all accounts a captive. Her father and uncle had been beheaded, and her husband was tortured to death. All her brothers and male relatives were massacred and his female relatives were enslaved by Muslims. She was alone. She was caught among the enemy.
 
ha ha ha ha hutakiwi kutumia nguvu nyingi katika kujenga hoja kwa kitu ambacho hakina 'financial benefits'; kwa kifupi hizi imani ni miradi ya watu, ndio maana kila sehemu lazima utoe fedha kwa mfumo wa sadaka, itahitaji uwe na akili kubwa kukubaliana na ninachokisema.
 
Bible haitakiwi kisomwa literally, ni coded text ambayo Freemasons ndo wanaelewa kilichoandikwa, hata taji la miba la Yesu ni symbolic ya Sun rays na Yesu kuitwa Son of God but to Masons ni Sun of God ndo maana picha nyingi za Yesu zina "Halo" yaani imezungukwa na jua, the same to Wanafunzi wake 12 na mwalimu wao wa 13. Namba kumi na Tatu ni symbolic...
Na idadi ya wanafunzi 12 ni symbol ya Zodiac au saa iliyoganywa kwa robo nne..and so so...
Sina muda wa kuandika lakini hongera mtoa mada uko sahihi
Dini zote ni mind controll tools za Illuminatti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…