Huu ndio unabii wangu Kuhusu Nabii Daniel Daniel Shillah

Hujasoma Uzi wangu vizuri mkuu.

Hivi Kati ya Shillah Na Lutu alie zaa Na binti zake WA kuwazaa mwenyewe Nani ana stahili kuitwa muhuni?
Ungetulia ukasoma Bible vizuri usingekuja na hii kufuru. Lutu alileweshwa na binti zake hivyo wakamtegeshea baba yao ili wapate uzazi kutokana na mazingira ya upeke waliyokuwa nayo. Ndomaana Lutu baada ya kunua ile hali aliilani pombe. Sasa wewe ukisoma kihuni na kutafsiri kihuni ili ulete unachotaka kukileta, wewe ni kama Nabii Tito tu na huna lingine.
Incidence ya Yacob na wake zake angalia vizuri mila na desturi za wakati ule. Jacob alitumwa na mama Yake kwenda Ujombani ili ajipatie mke huko. Hiyo ni mila kama za Wakurya kuchaguliwa mke na wazazi. Ndugu yangu Bible sio novel ya kusoma wakati umechoka ili kupunguza uchovu. Omba Mungu na uache kufuru. Soma tena kwa Tafakari.
 
Nalijua Hilo mkuu. I have mastered Esotheric Bible teachings. Ningesema nifunguke hapa ningewachanganya wengi Sana.
 
Naona umekimbia.
 
Siku nyingine uache kuropoka ropoka kama jambo huna elimu nalo.

Muda wote unapoteza unashindwa kukitetea unacho kiamini.

Kazi yangu nimemaliza.
 
Mimi siyo msomi sana wa mambo ila ninao uelewa wangu kwa sehemu unaonipatia ujasiri kwa sehemu hata niandike hiki ninachoandika. Nina wasi wasi sana na ufahamu wako kuingiliwa na roho nyingine ya upotoshaji. Unapata wapi uhakika wa hayo uliyoyarejea kwamba ndivyo ilivyo katika uhalisia wake?
 
Kufuru? Unachekesha Kweli wewe. Kati ya Lutu Alie lala Na watoto wake Hadi kuzaa nao Na Mimi ninaesema Lutu alilala Na binti zake Nani amekufuru?

Naamini umeenda shule Na una akili timamu.. incase kama huna akili Sawa Sawa ngoja nikukumbushe kitu. The most sensitive sexual organ of a man is his mind. Ili uume uweze kusimama Ni lazima Kwanza upate wazo la kufanya tendo la ndoa ukisha pata wazo mishipa ya Ubongo inatoa ishara kwenye mishipa ya uti wa mgongo then mishipa ya uti wa mgongo inapeleka taarifa kwenye ateri zinafunguka then damu Ina flow kwenda kwenye misuli ya uume hence MTU ana erect.

MTU hawezi kulewa kiasi cha kuzimia kama inavyo semwa Kwa Lutu Na akawa Na uwezo WA kufanya tendo la ndoa..

Lutu alikuwa anajua anacho kifanya. Mlevi Alie zimia Kwa pombe hawezi kumuingilia mwanamke ila yeye anaweza kulawitiwa kwa Sababu anakuwa hajitambui...

Hao binti WA Lutu ambae Ni Nabii Nani aliwafundisha kutengeneza pombe wakati baba Yao alikuwa Nabii?

Siku kadhaa kabla ya KULALA Na binti zake Lutu Alisha JARIBU kuwatoa binti zake Kwa Kundi la wahuni ( thugs) ili wabakwe.

Mkuu baba ako mzazi Ni Bora kuliko Lutu

Walevi wote huwa wanaachwa Na wake zao Kwa Sababu wakishalewa wanakuwa hawana uwezo Tena Kupiga Kazi.

Mfano mzuri ni kule Rombo wake ZA watu wakawa wanaenda Kenya kutafuta wanaume Kwa Sababu Waume zao wameendekeza ulevi.
 
Weka Hilo andiko hapa tuone ,Acha bla bla na rubbish kisha tuambie zinapatikan kitabu gan na wanachuon wamezungumzia vip usahihi wake
 
Yameandikwa kwenye Biblia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…