Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa ni nomateam zetu kubwa mbili zinashuka dimbani weekend hii.
naweza kusema tu team yenye jina la mnyama ambayo ndio itaanza kucheza inaenda kupata matokeo mazuri ila mchezo hautakuwa na zaidi ya goli 1. Lile kiza lililotanda kwa takribani mwezi mzima limetoweka naa kuanzia sasa makali ya mnyama huyu yamerudi upya..
vipers vs simba = 0-1
Upande wa Yanga wao hali pia itakuwa nzuri kiasi kwa weekend hii ingawa ni hadi dakika za mwisho wa mechi wataweza kusawazisha na watapata sare ila kiujumla watamiliki sehemu kubwa ya mchezo ingawa kutakuwa na fitna za waziwazi.
Bamako vs Yanga = 1-1
Jamaa ni mganga[emoji119][emoji119][emoji119] mkuu heshima yako
Ingawa mpira haujaishaAsee huu utabiri komesha.
100%team zetu kubwa mbili zinashuka dimbani weekend hii.
naweza kusema tu team yenye jina la mnyama ambayo ndio itaanza kucheza inaenda kupata matokeo mazuri ila mchezo hautakuwa na zaidi ya goli 1. Lile kiza lililotanda kwa takribani mwezi mzima limetoweka naa kuanzia sasa makali ya mnyama huyu yamerudi upya..
vipers vs simba = 0-1
Upande wa Yanga wao hali pia itakuwa nzuri kiasi kwa weekend hii ingawa ni hadi dakika za mwisho wa mechi wataweza kusawazisha na watapata sare ila kiujumla watamiliki sehemu kubwa ya mchezo ingawa kutakuwa na fitna za waziwazi.
Bamako vs Yanga = 1-1
Haujaishaje? kakosea padogo tu aliposema yanga watachomoa vp kwani mpwa inauma kiaina?Ingawa mpira haujaisha
team zetu kubwa mbili zinashuka dimbani weekend hii.
naweza kusema tu team yenye jina la mnyama ambayo ndio itaanza kucheza inaenda kupata matokeo mazuri ila mchezo hautakuwa na zaidi ya goli 1. Lile kiza lililotanda kwa takribani mwezi mzima limetoweka naa kuanzia sasa makali ya mnyama huyu yamerudi upya..
vipers vs simba = 0-1
Upande wa Yanga wao hali pia itakuwa nzuri kiasi kwa weekend hii ingawa ni hadi dakika za mwisho wa mechi wataweza kusawazisha na watapata sare ila kiujumla watamiliki sehemu kubwa ya mchezo ingawa kutakuwa na fitna za waziwazi.
Bamako vs Yanga = 1-1
Alisha sema zaidi ya asilimia 95% itakua correct.Haujaishaje? kakosea padogo tu aliposema yanga watachomoa vp kwani mpwa inauma kiaina?