Huu ndio utashi wa kisiasa kwa viongozi wa wananchi Afrika Mashariki, kuonyesha njia na kuwajibika

Huu ndio utashi wa kisiasa kwa viongozi wa wananchi Afrika Mashariki, kuonyesha njia na kuwajibika

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,

Dr. William Samoe Ruto, ameskiza sauti ya Mungu.

Akubali yaishe..
Ajishusha na kuonyesha njia. Ni wajibu wa waKenya kuungana na kumfuata mguu kwa mguu kiongozi wao huyu msikivu na mwenye maono ya kipekee na makubwa sana ya kutrasfom kenya into prosperity..

Amekua ni miongoni mwa viongozi wa wa kipekee sana wa kuigwa, AfrIca na duniani, kwa wanasiasa wazee kwa vijana...

Asita kusaini musuada wa fedha kwa mwaka 2024/2025, uliosababisha maandamano makubwa ya vijana yaliyosababisha uharibifu mkubwa wa jengo la bunge la kitaifa, miundobinu mbalimbali, na kugharimu vifo vya waandamanaji kadhaa..
Aamua kuutupilia mbali wote kama ulivyo..

Aitisha mjadala wa kitaifa na vijana na makundi mengine kujadiliana mambo yao na uelekeo wa pamoja kama Taifa kueleke mbele....

Aagiza kupunguza na kubana matumizi ya serikali, ikiwa ni pamoja na katika ofisi yake na maraisi waliotangulia..

Asitisha ununuzi wa magari ya umma na mengine yote yasiyo ya lazima na yasiyo muhimu kwa taifa...
Akubali kuanza upya kijadiliana na kushirikuana na kila mkenya kusonga mbele :pulpTRAVOLTA:
 
African leaders huwa wanaamin wananchi ni wajinga lakn ikiwa mataifa mengine wakion mambo yamekuw magumu kisiasa upande wao hu step down (hujiuzulu)
 
Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,

Dr. William Samoe Ruto, ameskiza sauti ya Mungu.

Akubali yaishe..
Ajishusha na kuonyesha njia. Ni wajibu wa waKenya kuungana na kumfuata mguu kwa mguu kiongozi wao huyu msikivu na mwenye maono ya kipekee na makubwa sana ya kutrasfom kenya into prosperity..

Amekua ni miongoni mwa viongozi wa wa kipekee sana wa kuigwa, AfrIca na duniani, kwa wanasiasa wazee kwa vijana...

Asita kusaini musuada wa fedha kwa mwaka 2024/2025, uliosababisha maandamano makubwa ya vijana yaliyosababisha uharibifu mkubwa wa jengo la bunge la kitaifa, miundobinu mbalimbali, na kugharimu vifo vya waandamanaji kadhaa..
Aamua kuutupilia mbali wote kama ulivyo..

Aitisha mjadala wa kitaifa na vijana na makundi mengine kujadiliana mambo yao na uelekeo wa pamoja kama Taifa kueleke mbele....

Aagiza kupunguza na kubana matumizi ya serikali, ikiwa ni pamoja na katika ofisi yake na maraisi waliotangulia..

Asitisha ununuzi wa magari ya umma na mengine yote yasiyo ya lazima na yasiyo muhimu kwa taifa...
Akubali kuanza upya kijadiliana na kushirikuana na kila mkenya kusonga mbele :pulpTRAVOLTA:
Usiwe miongoni mwa wajinga ambao wanaona ni sawa kunyazia maovu ya serikali.
 
Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,

Dr. William Samoe Ruto, ameskiza sauti ya Mungu.

Akubali yaishe..
Ajishusha na kuonyesha njia. Ni wajibu wa waKenya kuungana na kumfuata mguu kwa mguu kiongozi wao huyu msikivu na mwenye maono ya kipekee na makubwa sana ya kutrasfom kenya into prosperity..

Amekua ni miongoni mwa viongozi wa wa kipekee sana wa kuigwa, AfrIca na duniani, kwa wanasiasa wazee kwa vijana...

Asita kusaini musuada wa fedha kwa mwaka 2024/2025, uliosababisha maandamano makubwa ya vijana yaliyosababisha uharibifu mkubwa wa jengo la bunge la kitaifa, miundobinu mbalimbali, na kugharimu vifo vya waandamanaji kadhaa..
Aamua kuutupilia mbali wote kama ulivyo..

Aitisha mjadala wa kitaifa na vijana na makundi mengine kujadiliana mambo yao na uelekeo wa pamoja kama Taifa kueleke mbele....

Aagiza kupunguza na kubana matumizi ya serikali, ikiwa ni pamoja na katika ofisi yake na maraisi waliotangulia..

Asitisha ununuzi wa magari ya umma na mengine yote yasiyo ya lazima na yasiyo muhimu kwa taifa...
Akubali kuanza upya kijadiliana na kushirikuana na kila mkenya kusonga mbele :pulpTRAVOLTA:
Hiyo imedhihirisha watawala wa kiafrika hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu. Bado kwetu sisi maiti wa Tanzania kuwa uoga wetu ndio fursa ya kutawaliwa kwa shuruti na chama la majizi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi Tanzania haiwezi kupata mabadiliko ya kweli.
 
Hiyo imedhihirisha watawala wa kiafrika hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma tu. Bado kwetu sisi maiti wa Tanzania kuwa uoga wetu ndio fursa ya kutawaliwa kwa shuruti na chama la majizi. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi Tanzania haiwezi kupata mabadiliko ya kweli.
hakuna cha kuwaunganisha,

hamuwezi kuungana wala kumtisha kiongozi yeyote...

kwa mfano wewe unapendelea machafuko na mapundizi ya kijeshi na hata mgambo hujapitia, uko pekeyako na tatizo lako binafsi :pedroP:

wengine tatizo lao mi mihemko na ghadhabu zisizo na maana yoyote, wako hivyo tu bila sababu ya msingi..

wengine ni kuporomosha matusi na kutukana

wengine wanaitwa nyumbu na chawa nao wakiwa shida na matatizo yao,

nini kitawaunganisha sasa watu kama hawa sasa eti kuandamana na kumtishia kiongozi wakati kila moja ana lake :pedroP:
 
Usiwe miongoni mwa wajinga ambao wanaona ni sawa kunyazia maovu ya serikali.
siwezi kunyamazia upotoshaji au uongo wa aina yoyote ile wa kisiasa, kijamii au uchumi utakao fanywa na kiongozi au mtu mwingine mwenye dhamani yoyote ile katka jamii:pulpTRAVOLTA:
 
African leaders huwa wanaamin wananchi ni wajinga lakn ikiwa mataifa mengine wakion mambo yamekuw magumu kisiasa upande wao hu step down (hujiuzulu)
kuwajibika ni sehemu ya uongozi..

ni jekima ya kipekee sana kuachia ngazi mambo yakiwa magumu katika siasa:pulpTRAVOLTA:
 
Wewe mnafiki Sana, si Jana ulikuwa unaponda maandamano. Mtu Kama wewe ni hatari Sana
na bado nayaponda na kuyapinga kweli kweli, kwasababu ya kupoteza na kukosa maana na kupoteza uelekeo...

yalianza vizuri sana kwa uelekeo wa amani na malengo yalikua wazi....

ghafla ujambazi, uharibifu, wizi, uporaji na ugaidi umetoka wapi tena?

nakufahamu vizuri sana kwa vurugu na uporaji gentleman,
wewe na taasisi yako hizi ndizo hulka zenu na nuhemko yenu...bila shaka hicho ndicho pekee kilichokupendeza na kukufurahisha zaidi, na huenda hata madhumuni ya maandamano yale hujui:pedroP:
 
Wanasiasa washenzi sana mpaka watu wafe ndio akili zinawarudia.
hapana sio washenzi,
hizo ni changamoto, dosari na kasoro tu za demokrasia katika siasa ulimwenguni:pulpTRAVOLTA:
 
hapana sio washenzi,
hizo ni changamoto, dosari na kasoro tu za demokrasia katika siasa ulimwenguni:pulpTRAVOLTA:
Akili fupi na ulafi wa madaraka tu hasa kwa hawa washenzi wetu wa Afrika. Mahali kama UK issue kama hii unajiuzulu chap. Waziri Mkuu wa UK Liz Truss alikaa madarakani siku 44 tu makelele yakazidi akasepa.
 
Akili fupi na ulafi wa madaraka tu hasa kwa hawa washenzi wetu wa Afrika. Mahali kama UK issue kama hii unajiuzulu chap. Waziri Mkuu wa UK Liz Truss alikaa madarakani siku 44 tu makelele yakazidi akasepa.
makelele ya waTanzania mamilioni kwa mamilioni karibu kila kona ya nchi ni kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan, ni msikivu, mchapakazi hodari, mnyenyekevu, ana, mipango, mikakati, nia na dhamira njema, ya makusudi na ya kweli kwa waTanzania ndio maana huduma za maji, umeme, afya, elimu, barabara, biashara na masoko, kilimo ufuga, uvuvi n.k ni nzuri, zimefunguka, ni za uhakika na wananchi wanazifurahia sana :pulpTRAVOLTA:

wanaofanya vibaya na hawakubaliki huko kwingineko duniani, ni vizuri wakawajibika, na huo ndio ungwana..

lakini kwa waTanzania wanasema na wameamua tayari Dr.Samia Suluhu Hassani anatosha:pulpTRAVOLTA:
 
makelele ya waTanzania mamilioni kwa mamilioni karibu kila kona ya nchi ni kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan, ni msikivu, mchapakazi hodari, mnyenyekevu, ana, mipango, mikakati, nia na dhamira njema, ya makusudi na ya kweli kwa waTanzania ndio maana huduma za maji, umeme, afya, elimu, barabara, biashara na masoko, kilimo ufuga, uvuvi n.k ni nzuri, zimefunguka, ni za uhakika na wananchi wanazifurahia sana :pulpTRAVOLTA:

wanaofanya vibaya na hawakubaliki huko kwingineko duniani, ni vizuri wakawajibika, na huo ndio ungwana..

lakini kwa waTanzania wanasema na wameamua tayari Dr.Samia Suluhu Hassani anatosha:pulpTRAVOLTA:
Sawa ndugu chawa umesikika.
 
Sauti ya Wengi ni Sauti ya Mungu,

Dr. William Samoe Ruto, ameskiza sauti ya Mungu.

Akubali yaishe..
Ajishusha na kuonyesha njia. Ni wajibu wa waKenya kuungana na kumfuata mguu kwa mguu kiongozi wao huyu msikivu na mwenye maono ya kipekee na makubwa sana ya kutrasfom kenya into prosperity..

Amekua ni miongoni mwa viongozi wa wa kipekee sana wa kuigwa, AfrIca na duniani, kwa wanasiasa wazee kwa vijana...

Asita kusaini musuada wa fedha kwa mwaka 2024/2025, uliosababisha maandamano makubwa ya vijana yaliyosababisha uharibifu mkubwa wa jengo la bunge la kitaifa, miundobinu mbalimbali, na kugharimu vifo vya waandamanaji kadhaa..
Aamua kuutupilia mbali wote kama ulivyo..

Aitisha mjadala wa kitaifa na vijana na makundi mengine kujadiliana mambo yao na uelekeo wa pamoja kama Taifa kueleke mbele....

Aagiza kupunguza na kubana matumizi ya serikali, ikiwa ni pamoja na katika ofisi yake na maraisi waliotangulia..

Asitisha ununuzi wa magari ya umma na mengine yote yasiyo ya lazima na yasiyo muhimu kwa taifa...
Akubali kuanza upya kijadiliana na kushirikuana na kila mkenya kusonga mbele :pulpTRAVOLTA:
Ruto ame prove failure,Dr Ruto has a lot of experience akiwa kwenye bunge na cabinet tokea enzi za Raisi Moi,Raisi Kibaki,Raisi Uhuru Kenyata bado ameshindwa kusoma alama za nyakati.
Waliposema financial bill siyo rafiki aliziba masikio, akisindikizwa na maandamano nchi nzima ya vijana wenye umri mdogo,waliomtaka afutilie mbali muswaada huo.

Alidhani IMF doctrine ndio muarobaini wa matatizo ya uchumi Kenya,
Akasahau kwamba corruption na ukabila ndio mwiba mkubwa unaowatafuna wananchi wa Kenya.
Mara kikaja kizazi kipya kisichofungama na siasa au kabila Gen Z

Gen Z wameishashinda japo kwa kumwaga damu.Kwa sasa Raisi Ruto ameshushwa heshima kitaifa na kimataifa.
WaKenya hawatamwamini tena wala nchi za magharibi zilizomuona kama New African Super Star wamemtilia mashaka kiutendaji.
He might end up as imfamous one term president.
 
na bado nayaponda na kuyapinga kweli kweli, kwasababu ya kupoteza na kukosa maana na kupoteza uelekeo...

yalianza vizuri sana kwa uelekeo wa amani na malengo yalikua wazi....

ghafla ujambazi, uharibifu, wizi, uporaji na ugaidi umetoka wapi tena?

nakufahamu vizuri sana kwa vurugu na uporaji gentleman,
wewe na taasisi yako hizi ndizo hulka zenu na nuhemko yenu...bila shaka hicho ndicho pekee kilichokupendeza na kukufurahisha zaidi, na huenda hata madhumuni ya maandamano yale hujui:pedroP:

Tatizo huishughulishi akili yako vizuri.

Unajua vurugu zilianza baada ya nini? Mauaji ya kijana asiye na hatia yaliyofanywa na polisi, yaliamsha hasira za waandamanaji.
 
Tatizo huishughulishi akili yako vizuri.

Unajua vurugu zilianza baada ya nini? Mauaji ya kijana asiye na hatia yaliyofanywa na polisi, yaliamsha hasira za waandamanaji.
unazungumzia yule aliegongana na mwenzake vibaya sana uso kwa uso wakati wa purukushani za uibaji, wizi na uporaji wa mikate na juice kwenye supermarket waliyoivunja, right? :pulpTRAVOLTA:
 
Ruto ame prove failure,Dr Ruto has a lot of experience akiwa kwenye bunge na cabinet tokea enzi za Raisi Moi,Raisi Kibaki,Raisi Uhuru Kenyata bado ameshindwa kusoma alama za nyakati.
Waliposema financial bill siyo rafiki aliziba masikio, akisindikizwa na maandamano nchi nzima ya vijana wenye umri mdogo,waliomtaka afutilie mbali muswaada huo.

Alidhani IMF doctrine ndio muarobaini wa matatizo ya uchumi Kenya,
Akasahau kwamba corruption na ukabila ndio mwiba mkubwa unaowatafuna wananchi wa Kenya.
Mara kikaja kizazi kipya kisichofungama na siasa au kabila Gen Z

Gen Z wameishashinda japo kwa kumwaga damu.Kwa sasa Raisi Ruto ameshushwa heshima kitaifa na kimataifa.
WaKenya hawatamwamini tena wala nchi za magharibi zilizomuona kama New African Super Star wamemtilia mashaka kiutendaji.
He might end up as imfamous one term president.
umejieleza vizuri kwa utulivu sana:KasugaYeah:

lakini nikuhakikishie tu hata uchaguzu ukuutushwa kesho Dr.William Samoe Ruto atashinda asubuhi mapema sana:pedroP:

kwanza atashindana na nani ndio amshinde Ruto?
kibabu Raila Odinga?
kalonzo, wajakoyah au RigG?:pedroP:

na kwahiyo vijana waandamanaji watamchagua nani sasa mbadala wa Ruto, Uhuru Kenyata?

na huyo atakae shinda chukulia sio Ruto,
atachukua hatua gani kugharamia matumizi tu ya serikali, na nchi imefikia kiwango cha mwisho cha kukopa na haikopesheki kwa sasa?
 
umejieleza vizuri kwa utulivu sana:KasugaYeah:

lakini nikuhakikishie tu hata uchaguzu ukuutushwa kesho Dr.William Samoe Ruto atashinda asubuhi mapema sana:pedroP:

kwanza atashindana na nani ndio amshinde Ruto?
kibabu Raila Odinga?
kalonzo, wajakoyah au RigG?:pedroP:

na kwahiyo vijana waandamanaji watamchagua nani sasa mbadala wa Ruto, Uhuru Kenyata?

na huyo atakae shinda chukulia sio Ruto,
atachukua hatua gani kugharamia matumizi tu ya serikali, na nchi imefikia kiwango cha mwisho cha kukopa na haikopesheki kwa sasa?
My dear learned friend soma kitabu" wakati ukuta" by Ibrahim Hussein.
Hatukutegemea hawa makinda Gen Z watamgalagaza mapema asubuhi.
Kumbe ni dynamics na relativity kitambo mambo ya Newton na Einstein.
Reality check imeonekana His Excellence Mr.President failed to read between the lines.
Rafiki yangu na Raisi wa Kenya amekosa maono ,sijui asaidiwe vipi amalize jini kashkash linaloendelea kuitafuna serikali yake.
 
Back
Top Bottom