Huu ndio uzi wangu bora kwa muda wote, na wewe tupia wako

Huu ndio uzi wangu bora kwa muda wote, na wewe tupia wako

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Huu ni uzi ambao nimekuwa nikiusoma nakuurudia tena na tena, usiku na mchana bila kuchola tangu uliporushwa rasmi.

Uzi huu unenifundisha umuhimu wa kufanya maamuzi magumu ili mradi tu kulinda maslahi yangu mapana mimi na familia yangu kama vile Urusi afanyavyo kule Ukraine.

Hapa Kerubi mwenzangu wa Mfalme Zumaridi Ushimen alitutendea sana haki.

Sio mijitu vamizi inavamia tu nyumbani kwako bila hata taarifa kwasababu tu ni ndugu zako, wanakuja ndugu tisa na kajogoo kamoja kachanga halafu wanakaa miezi mitatu bila ya kujalisha hali ya nyumbani kwako.

Hebu fikiria una vyumba viwili na sebule, chumba cha mtoto wako na chenu, halafu mnavamiwa na mijitu yote hiyo. Halafu inataka yenyewe ilale vitandani, yaani wewe na mkeo muwapishe wao, pia mtoto wenu asilale chumbani kwake walale wao.

Michawi ya namna hiyo timulia.mbali, ikiwezekana ipeleke hata Kituo cha basi cha Magufuli pale Mbezi Luis ukawalaze kwenye mabenchi ili watie adabu.

Leo nimeelewa kwanini mzee alifanya maamuzi yale 30 years ago

 
Kuna ule uzi kule jamii intelligence unatuzungumzia sisi annunaki kuwa tunachukua dhahabu hapa duniani na kuzipeleka kwenye sayari yetu!..

Mi naomba tu nitoe tamko kuwa hatupendi kusengenywa na kusemwasemwa na madai hayo siyo ya kweli sisi hatujawahi kuchukua dhahabu zenu na hata kama tukichukua ni sawa tu!,

Kwanza nyinyi mnazitumia kama vito vya thamani mnazivaa! Kiasi kidogo sana ndo mnaweka kwenye hizo smartphone zenu na kwenye ndege!.

Msitufatiliefatilie.😎
 
Kuna ule uzi kule jamii intelligence unatuzungumzia sisi annunaki kuwa tunachukua dhahabu hapa duniani na kuzipeleka kwenye sayari yetu!..

Mi naomba tu nitoe tamko kuwa hatupendi kusengenywa na kusemwasemwa na madai hayo siyo ya kweli sisi hatujawahi kuchukua dhahabu zenu na hata kama tukichukua ni sawa tu!,Kwanza nyinyi mnazitumia kama vito vya thamani mnazivaa! Kiasi kidogo sana ndo mnaweka kwenye hizo smartphone zenu na kwenye ndege!.

Msitufatiliefatilie.😎
Duh Anukai unaporomosha Kiswahili kama Mrisho Mpoto au Shaaban Robert
 
NAITWA ANALYSE NA HII NDIO SAFARI YANGU YA MAISHA By Analyse ...Kaka huu Uzi Ni degree....
 
Huu ni uzi ambao nimekuwa nikiusoma nakuurudia tena na tena, usiku na mchana bila kuchola tangu uliporushwa rasmi.

Uzi huu unenifundisha umuhimu wa kufanya maamuzi magumu ili mradi tu kulinda maslahi yangu mapana mimi na familia yangu kama vile Urusi afanyavyo kule Ukraine.

Hapa Kerubi mwenzangu wa Mfalme Zumaridi Ushimen alitutendea sana haki.

Sio mijitu vamizi inavamia tu nyumbani kwako bila hata taarifa kwasababu tu ni ndugu zako, wanakuja ndugu tisa na kajogoo kamoja kachanga halafu wanakaa miezi mitatu bila ya kujalisha hali ya nyumbani kwako.

Hebu fikiria una vyumba viwili na sebule, chumba cha mtoto wako na chenu, halafu mnavamiwa na mijitu yote hiyo. Halafu inataka yenyewe ilale vitandani, yaani wewe na mkeo muwapishe wao, pia mtoto wenu asilale chumbani kwake walale wao.

Michawi ya namna hiyo timulia.mbali, ikiwezekana ipeleke hata Kituo cha basi cha Magufuli pale Mbezi Luis ukawalaze kwenye mabenchi ili watie adabu.

Leo nimeelewa kwanini mzee alifanya maamuzi yale 30 years ago

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ule uzi ni noma
 
Duh Anukai unaporomosha Kiswahili kama Mrisho Mpoto au Shaaban Robert
Tulitunga sisi hii lugha nyinyi mmeikuta tu!.

Tena Kuna uzi mwengine hukohuko jamii intelligence kuna jamaa kaandika kuwa binadamu mnafugwa hapa duniani mkishakuwa wengi mnakuja kuliwa!

Alieandika huo uzi kaandika ukweli ila mlivyona vichwa vigumu mtakataa by the way mtake msitake mtaliwa tu!..😎
 
Tulitunga sisi hii lugha nyinyi mmeikuta tu!.

Tena Kuna uzi mwengine hukohuko jamii intelligence kuna jamaa kaandika kuwa binadamu mnafugwa hapa duniani mkishakuwa wengi mnakuja kuliwa!.
Alieandika huo uzi kaandika ukweli ila mlivyonavichwa vigumu mtakataa by the way mtake msitake mtaliwa tu!..😎
Tumefugwa na Mfalme Zumaridi mungu chini ya jua😅🤣😅🤣
 
Back
Top Bottom