Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuserebuke ayeeee ayeeeeeAhsante kwa taarifa...
Anzia hapohapo.Nimeamini kuna nyuzi nyingi sijazisoma, embu endeleeni kutiririka nione naanzia wapi
Yap ule uzi wake wa ukimwi umenijenga sana
[emoji846][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nina kisaaa kipya mzeee soon nakitupiaaaUlishawahi kula tunda kimasihara? Huu ndo uzi bora zaidi kuwahi kuandikwa humu.
Kwanza unatoa mbinu za kutongoza kila sample ya mwanamke.
Mle ndani kuna watu wamekula wabibi,wamama,wake za watu, mabosi, matrafick, askari magereza.
Humo hadi masister wameliwa
Hatari zaidi hadi waganga wameliwa... Achilia mbali vichaa.
Hatari zaidi hadi ndugu wamekulana.
Ni uzi ambao unakupa mbinu ambazo ukirusha popote ndoano inadaka.
Tupia mwanawane tupate mbinu mupya.[emoji846][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nina kisaaa kipya mzeee soon nakitupiaaa
NyokoHuu ni uzi ambao nimekuwa nikiusoma nakuurudia tena na tena, usiku na mchana bila kuchola tangu uliporushwa rasmi.
Uzi huu unenifundisha umuhimu wa kufanya maamuzi magumu ili mradi tu kulinda maslahi yangu mapana mimi na familia yangu kama vile Urusi afanyavyo kule Ukraine.
Hapa Kerubi mwenzangu wa Mfalme Zumaridi Ushimen alitutendea sana haki.
Sio mijitu vamizi inavamia tu nyumbani kwako bila hata taarifa kwasababu tu ni ndugu zako, wanakuja ndugu tisa na kajogoo kamoja kachanga halafu wanakaa miezi mitatu bila ya kujalisha hali ya nyumbani kwako.
Hebu fikiria una vyumba viwili na sebule, chumba cha mtoto wako na chenu, halafu mnavamiwa na mijitu yote hiyo. Halafu inataka yenyewe ilale vitandani, yaani wewe na mkeo muwapishe wao, pia mtoto wenu asilale chumbani kwake walale wao.
Michawi ya namna hiyo timulia.mbali, ikiwezekana ipeleke hata Kituo cha basi cha Magufuli pale Mbezi Luis ukawalaze kwenye mabenchi ili watie adabu.
Leo nimeelewa kwanini mzee alifanya maamuzi yale 30 years ago
SoC01 - Umuhimu wa kuwa na Dira ya Maendeleo ya Taifa inayotekelezeka kwa wakati na kwa kuzingatia rasilimali zilizopo
Utangulizi Dira kwa maana fupi ni muelekeo. Dira ya Maendeleo ya Tanzania (Tanzania Development Vision (TDV) 2025 ilianzishwa mwaka 1994 na kuzinduliwa rasmi mwaka 1999 ambapo utekelezaji wake ulianza mwaka 2000 lengo kuu likiwa kuongoza harakati za maendeleo ya uchumi na jamii zitakazoiwezesha...www.jamiiforums.com
Na nani?Tulitunga sisi hii lugha nyinyi mmeikuta tu!.
Tena Kuna uzi mwengine hukohuko jamii intelligence kuna jamaa kaandika kuwa binadamu mnafugwa hapa duniani mkishakuwa wengi mnakuja kuliwa!
Alieandika huo uzi kaandika ukweli ila mlivyona vichwa vigumu mtakataa by the way mtake msitake mtaliwa tu!..😎
Tunafukuza chawaaaaaaaaMzee Bujibuji naona unafanya charity kwa ndugu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....timua sasa unasubiri nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
BIla kusahau hekaya za Bill LuganoUzi wa yule jamaa wa kukimbia Rwanda kipindi cha Genocide alikuwa mfanyakazi ubalozi wa Tz miaka hiyo 1994.
Ulinifikirisha sana kwa matukio Yale.
Yeyote anaeukumbuka anaweza u-quote kwa faida ya wasomaji wengine.
Ila kwa ujumla nyuzi ni nyingi sana nzuri na pongezi ziende kwa waandishi wote.
uko wapi na mimi nisomeTulitunga sisi hii lugha nyinyi mmeikuta tu!.
Tena Kuna uzi mwengine hukohuko jamii intelligence kuna jamaa kaandika kuwa binadamu mnafugwa hapa duniani mkishakuwa wengi mnakuja kuliwa!
Alieandika huo uzi kaandika ukweli ila mlivyona vichwa vigumu mtakataa by the way mtake msitake mtaliwa tu!..[emoji41]