Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
Mfahamu Jaili: Chinja chinja aliyevuma Mbeya na Mama yake aliyekufa na kufufuka mara tatu
Ukifika Mbeya Mjini kuna eneo linaitwa Forest Mpya. Siku za nyuma eneo hilo lilijulikana tu kama Forest kwa kuwa kulikuwa na msitu mkubwa sana wa miti ya milingoti ambayo Kama huijui ni miti inayozalisha nguzo za umeme na za TTCL. Huu msitu ndio Jaili aliutumia kuchinja watu ambao alikuwa...
Huu uzi ulinisismua sana