Huu ndio uzi wangu bora kwa muda wote, na wewe tupia wako

Huu ndio uzi wangu bora kwa muda wote, na wewe tupia wako

Miaka mitano iliyopita nikikiwa Arusha kwa Morombo sehemu inaitwa Darajani karibu na chuo cha uandishi niliwekwa mtu kati na watu wawili mida ya saa nne usiku. Njia niliyokua napita ilikua ni ya kichochoro so kumbe masela walikua wamejibanza kwenye kona mi sijui nawahi zangu ghetto mara chaaap...
Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

Huu ni moja ya uzi bora sana kwangu kwa miaka hii miwili, kutokana na mazingira niliyopo.
 
Nimeamini kuna nyuzi nyingi sijazisoma, embu endeleeni kutiririka nione naanzia wapi
 
Miaka mitano iliyopita nikikiwa arusha kwa morombo sehemu inaitwa darajani karibu na chuo cha uandishi niliwekwa mtu kati na watu wawili mida ya saa nne usiku. Njia niliyokua napita ilikua ni ya kichochoro so kumbe masela walikua wamejibanza kwenye kona mi sijui nawahi zangu ghetto mara chaaap...
Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

Huu ni moja ya uzi bora sana kwangu kwa miaka hii miwili, kutokana na mazingira niliyopo.
Pole sana kwa kupigwa ngeta, umesha jifunza mbinu za kujihami tukio kama hilo likikutokea tena?
 

Ulishawahi kula tunda kimasihara? Huu ndo uzi bora zaidi kuwahi kuandikwa humu.​


Kwanza unatoa mbinu za kutongoza kila sample ya mwanamke.

Mle ndani kuna watu wamekula wabibi,wamama,wake za watu, mabosi, matrafick, askari magereza.

Humo hadi masister wameliwa
Hatari zaidi hadi waganga wameliwa... Achilia mbali vichaa.

Hatari zaidi hadi ndugu wamekulana.

Ni uzi ambao unakupa mbinu ambazo ukirusha popote ndoano inadaka.
 
Uzi la
Je ulishawahi kula tunda kimasikhara? Huu ndo uzi bora zaidi kuwahi kuandikwa humu.

Kwanza unatoa mbinu za kutongoza kila sample ya mwanamke.

Mle ndani kuna watu wamekula wabibi,wamama,wake za watu, mabosi, matrafick, askari magereza.

Humo hadi masister wameliwa
Hatari zaidi hadi waganga wameliwa... Achilia mbali vichaa.

Hatari zaidi hadi ndugu wamekulana.

Ni uzi ambao unakupa mbinu ambazo ukirusha popote ndoano inadaka.
Wazinzi wenzako
 
Miaka mitano iliyopita nikikiwa Arusha kwa Morombo sehemu inaitwa Darajani karibu na chuo cha uandishi niliwekwa mtu kati na watu wawili mida ya saa nne usiku. Njia niliyokua napita ilikua ni ya kichochoro so kumbe masela walikua wamejibanza kwenye kona mi sijui nawahi zangu ghetto mara chaaap...
Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda

Huu ni moja ya uzi bora sana kwangu kwa miaka hii miwili, kutokana na mazingira niliyopo.

Ule uzi ulinifanya nicheke ovyo
 
Back
Top Bottom