Myebusi Mweusi
JF-Expert Member
- Jan 23, 2022
- 671
- 1,543
Jamaa alikuwa mtamu sana ila safari zake zote zinaishia njiani.Huzi wangu bora kwa sasa jamii ni ule wa Habibu B. Anga UNIT 15 nusu maji nusu damu.
Pole sana kwa kupigwa ngeta, umesha jifunza mbinu za kujihami tukio kama hilo likikutokea tena?Miaka mitano iliyopita nikikiwa arusha kwa morombo sehemu inaitwa darajani karibu na chuo cha uandishi niliwekwa mtu kati na watu wawili mida ya saa nne usiku. Njia niliyokua napita ilikua ni ya kichochoro so kumbe masela walikua wamejibanza kwenye kona mi sijui nawahi zangu ghetto mara chaaap...
Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda
Huu ni moja ya uzi bora sana kwangu kwa miaka hii miwili, kutokana na mazingira niliyopo.
Kheri ingekuwa ngeta. Ujambazi mbaya sana aise.Pole sana kwa kupigwa ngeta, umesha jifunza mbinu za kujihami tukio kama hilo likikutokea tena?
Kheri ingekuwa ngeta. Ujambazi mbaya sana aise.
Wazinzi wenzakoJe ulishawahi kula tunda kimasikhara? Huu ndo uzi bora zaidi kuwahi kuandikwa humu.
Kwanza unatoa mbinu za kutongoza kila sample ya mwanamke.
Mle ndani kuna watu wamekula wabibi,wamama,wake za watu, mabosi, matrafick, askari magereza.
Humo hadi masister wameliwa
Hatari zaidi hadi waganga wameliwa... Achilia mbali vichaa.
Hatari zaidi hadi ndugu wamekulana.
Ni uzi ambao unakupa mbinu ambazo ukirusha popote ndoano inadaka.
Miaka mitano iliyopita nikikiwa Arusha kwa Morombo sehemu inaitwa Darajani karibu na chuo cha uandishi niliwekwa mtu kati na watu wawili mida ya saa nne usiku. Njia niliyokua napita ilikua ni ya kichochoro so kumbe masela walikua wamejibanza kwenye kona mi sijui nawahi zangu ghetto mara chaaap...
Tukutane hapa tuliowahi kuvamiwa na majambazi tupeane uzoefu/ushuhuda
Huu ni moja ya uzi bora sana kwangu kwa miaka hii miwili, kutokana na mazingira niliyopo.