Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wa Pwani ni washamba na walafi.Tumewahi kuona mikataba mikubwa ya kuuza au kubinafsisha raslimali zetu ikisainiwa kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali lkn huu wa kuuza bandari zetu unaoneka kuwa utavunja rekodi ya kuwa mkataba mbovu kuwahi kusainiwa na rais aliye madarakani na utamwachia legacy mbaya Rais Samia.
Tukiacha ule wa Chifu Mangungo hii ni baadhi ya mikataba mikubwa ya kuuza Rasilimali zetu iliyowahi kuridhiwa na marais wetu.
Mkataba wa kuuza Loliondo - Rais Mwinyi
Mkataba wa kubinafsisha NBC - Rais Mkapa. (Alikuja kujutia-Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania).
Mkataba wa Richmond na Songas - Rais Kikwete.
Magufuli - Msema kweli ni mpenzi wa Mungu sikuona Rais Magufuli akisaini mikataba mikubwa ya kuuza raslimali za nchi zaidi ya ku review mkataba wa GGM na kuukataa mkataba wa kichina kuchukua bandari ya Bagamoyo.
Leo 2023 Rais SSH amesaini mkataba wa kuuza Bandari zetu. Inasikitisha.
Nakumbuka Nyerere aliwahi kuwaambia wazungu wasijaribu ku-temper na madini yetu kama sisi hatuwezi kuyachimba kwa elimu tuliyonayo (wakati ule) watoto wetu watakuja kuyachimba hayaozi. Je, Bandari inaoza?
hayo sidhani kama walipewa, ila ili waendelee kukaa na asiingie magufuli mwingine, wao bila hata kuambiwa watamwaga sana pesa kwenye kampeni, la sivyo atakayeingia ataurupa mkataba huu kwenye kilindi cha maji. ila ni zimwi litkaalowatesa miaka yao yote.Ndugu yangu inawezekana kati ya masharti waliyopewa DPW ni kufund gharama za CCM kwenye uchaguzi.
Ngoja ajitengenezee legacy yake, Kikwete aliondoka na scandal zake za Tegeta Escrow, Metameta, Richmond, Songas, Samia ataondoka na Bandari syndicateTuna bahati mbaya sana kuwa na huyu Rais tuliyenaye.
"Magufuli - Msema kweli ni mpenzi wa Mungu sikuona Rais Magufuli akisaini mikataba mikubwa ya kuuza raslimali za nchi zaidi ya ku review mkataba wa GGM na kuukataa mkataba wa kichina kuchukua bandari ya Bagamoyo."Tumewahi kuona mikataba mikubwa ya kuuza au kubinafsisha raslimali zetu ikisainiwa kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali lkn huu wa kuuza bandari zetu unaoneka kuwa utavunja rekodi ya kuwa mkataba mbovu kuwahi kusainiwa na rais aliye madarakani na utamwachia legacy mbaya Rais Samia.
Tukiacha ule wa Chifu Mangungo hii ni baadhi ya mikataba mikubwa ya kuuza Rasilimali zetu iliyowahi kuridhiwa na marais wetu.
Rais Mwinyi - Mkataba wa kuuza Loliondo.
Rais Mkapa - Mkataba wa kubinafsisha NBC -. (Alikuja kujutia-Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania).
Rais Kikwete - Mkataba wa Richmond na Songas -
Rais Magufuli - Msema kweli ni mpenzi wa Mungu sikuona akisaini mikataba mikubwa ya kuuza raslimali za nchi zaidi ya ku review mkataba wa GGM na kuukataa mkataba wa kichina kuchukua bandari ya Bagamoyo.
Rais SSH - Mkataba wa kuuza Bandari zetu. Inasikitisha.
Nakumbuka Nyerere aliwahi kuwaambia wazungu wasijaribu ku-temper na madini yetu kama sisi hatuwezi kuyachimba kwa elimu tuliyonayo (wakati ule) watoto wetu watakuja kuyachimba hayaozi. Je, Bandari inaoza?
dhabiti ndio nini?Matokea ya kutaka kuvaa viatu vya JPM, na kutanguliza njaa. Ni aibu Kwa taifa kubwa na huru lisilokuwa na mifumo dhabiti checks and balance
Umeisoma mikataba ya serikali yote?Yote ni mibovu lkn angalau wa NBC kuwauzia makaburu unaonesha uhai.
Mpaka 2030Shida ya huyo mama ni mvivuuu hasomi ye anasaini tu anacholetewa mezani, tumepigwa!
Na hivi wasaidizi wanamdharau ndo balaa wanamzungusha tu mama wa watu na ushungi wake
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji375][emoji375][emoji375]Ndugu yangu inawezekana kati ya masharti waliyopewa DPW ni kufund gharama za CCM kwenye uchaguzi.
Bora umekiri mwenyewe. Kumbe unawatumikia sukuma gang!!Heri mimi ninayewatumikia Sukuma gang pengine watakuja nizika kuliko wewe unayewakuwadia waarabu wa Dubai usiowajua na wewe hawakujui.
Washamba mko bara na ndio mana mnashobokea vitu vya Pwani kama bahari, fukwe na mmekuja kutujazia miji kwa uchafu wenuViongozi wa Pwani ni washamba na walafi.
We ndo hovyo kweli.Viongozi wa Pwani ni washamba na walafi.
Bado nionyeshe wewe ulio mbovu zaidi ya huu.Umeisoma mikataba ya serikali yote?
Mpaka 2030Tuna bahati mbaya sana kuwa na huyu Rais tuliyenaye.
Magufuli aliondoka na 1.5tNgoja ajitengenezee legacy yake, Kikwete aliondoka na scandal zake Kama Tegeta Escrow, Metameta, Richmond, Songas, Samia ataondoka na Bandari syndicate
Vumilieni tu, huyo bado yupo sana. Kaendeleeni na kazi zenuYote haya yametokana na kuwa hii nafasi ya urais siyo ya kwake.huyu alihitaji wa kumsimamia na siyo yeye kuwa msimamizi.wtz tubadili katiba ili hawa wanaorithi waongoze mwaka mmoja tu na kufanya uchaguzi.maana hawa wakiongoza miaka mingi wanaweza kuipangisha nchi yote kwa waarabu na kuwafanya wajukuu zetu kuwa tegemezi.
Heri zimwi likujualo kuliko malaika asiyekujua. Leo ukigongwa na bodaboda unategemea mwarabu wa Dubai atakuja kukusogeza pembeni mwa barabara.Bora umekiri mwenyewe. Kumbe unawatumikia sukuma gang!!
Kumbe ht hujaisoma.Bado nionyeshe wewe ulio mbovu zaidi ya huu.