Mickbrown
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 409
- 496
Mkataba upi? wenzio wanasema sio mkataba we nawe hujielewimkiambiwa onyesheni kwenye mkataba wapi rasimali zimeuzwa mnaanza rukaruka kama mahargwe jikoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkataba upi? wenzio wanasema sio mkataba we nawe hujielewimkiambiwa onyesheni kwenye mkataba wapi rasimali zimeuzwa mnaanza rukaruka kama mahargwe jikoni
Mwinyi - pwaniViongozi wa Pwani ni washamba na walafi.
Mjuukuu alikuwa babu yake na tulia ackson...aka danga akaa zaa na mtu ya pwani ndoo uzao wa samia...Hivi kwenye uzao wa chief mangungo , Kuna watoto au wajukuu wake ambao wapo hai Hadi Sasa !? mwenye kujua familia ya mangungo atujuze, pengine ndo wanaolihujumu taifa hili Hadi leo hii.
Safari hii mkataba unalazimishwa kwa mtutu.Kwa viongozi wote wa juu wanaohusika, hakuna hata mmoja asiyejua kuwa huu mkataba katika hali yake ya sasa umekataliwa na watanzania walio wengi! Ila pia inaelekea hawako tayari kusikia kilio...
Lazima uzao wa Mangungo upo!! Kama uzao wa Mkwawa wapo na wanajitambulisha wakiwa kifua mbele hali kadhalika uzao wa Mangungo upo ila kwa fedheha hawawezi kujitambulisha na bila shaka hawako tayari kutumia jina la ukoo la Mangungo!! Lakini wanajijua!!Hivi kwenye uzao wa chief mangungo , Kuna watoto au wajukuu wake ambao wapo hai Hadi Sasa !? mwenye kujua familia ya mangungo atujuze, pengine ndo wanaolihujumu taifa hili Hadi leo hii.
Inasemekana uzao wake ni huu wa rais Samia ndiyo maana matendo wanafananaHivi kwenye uzao wa chief mangungo , Kuna watoto au wajukuu wake ambao wapo hai Hadi Sasa !? mwenye kujua familia ya mangungo atujuze, pengine ndo wanaolihujumu taifa hili Hadi leo hii.