Huu ni ushamba, kupanga mstari kumsindikiza Rais akienda Ulaya

Mbona ameonekana akipanda gari hapo ni wapi
 
Kuna tofauti kubwa sana
  1. Huku kwetu angetandikiwa zuria jekundu lakini kwao hawana huo muda
  2. Huku kwetu uwanja wa ndege ungefungwa, lakini kwano nimeona ndege kwa mbali ina takeoff
  3. Huku kwetu tungeona mabunduki ya kila aina kumlinda kiongozi lakini wao wamevaa suti as if wote bu waheshimiwa
 
Kwamba wanachezea kodi?
Hiyo ni shida,
Ila kusindikizana na kuagana sioni ubaya,
Ikiwa wapo free
 
Wengi humu ni wanafiki na unafiki umewazidi ni aibu sana kwani juzi tu tulikuwa tunamsema Magu asafiri tulifikia hadi hatua ya kutaka kumsafirisha kwa nguvu kwenda hata kanchi kokote Ulaya lakini alikataa kata mpaka Sugu akawaka sana lakini alikataa wacha mama aende na asindikizwe hata akikaa huko huko kama Lisu akirudi 2025 kuchukua urais wake poa.
 
Tanzania chini ya CCM Rais ni zaidi ya Mungu.

Hapa ni Bwana Chato alikuwa anaambiwa kuwa ni mkubwa na mkuu kuliko Mungu,Yesu na MtumeπŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
unahamisha magoli. Joe Bidden yupo ndani ya nchi huyo hakuna haja ya zulia jekundu. Hayo mengine nakuachia mwenyewe
 
Labda kama mimi mgeni humu ila wengi tunamjua Nyani wa Kikwete na wa Magufuli ni mbingu na ardhi
Wewe ni muongo. Na mzushi pia.

Magufuli nimemkosoa sana humu na ushahidi upo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…