Huu ni utoto na ushamba. Hizi propaganda za uongo zinamsaidia nini Rais Samia?

Kwani Mnyika kakudhulumu bando lako? Mbona mwenzio mmawia anaandikaga ujinga humu na bado anarushiwa bando na katibu mkuu. Jaribu kuongeza tena chumvi kidogo huenda na ww utafikiriwa.
Umeandika nini mkuu? mbona una hasira sana post ya kwanza uli ni diss ukasema ni prove si umeona PROOF? gazeti la 2nd march limekuwa concocted mkajifanya ni la jana first of november ambalo nalo nimepost, sasa makasiriko ya nini?
KUHUSU MNYIKA KUTOA BANDO MIMI SIJUI AKINIPA KAZI NITAFANYA NA KAMA NI WEWE UNAFANYA HIZI KAZI ZA KU EDIT MAKOROKOCHO NIPE DEAL NITA EDIT KITAALAMU SANA
 
Duhh...

Mbona unateseka sana.

Achana naoo. Pambana na yako mkuu.
 
Ok mkuu.
 
Well said. Ila acahan kabisa na Awamu ya Tamno Hayati hatoki Sayari hii. Tuulizeni tuliokuwa tunasafiri nchi za nche. Mtu hajatoa mguu wake Nchini mpaka mtoto mdogo anamfahamu. Niko nje sasa hivi sijaulizwa kitu chochote!
 
Ndio watu wajue hata Mbowe kesi yake ni ya kusingiziwa/kutengenezwa.
 
Yale yale ya Mwendazake.

Hawa madungaembe walizoea kuishi kwa uongo. Teknolojia inawaacha nyuma.
 
Ni kweli hata haya maneno ya kina Mbowe, Lisu na genge lao kudai kuwa Lowasa ni fisadi, ilikuwa ni edit yetu pia. Wao hawakuwahi kutamka maneno hayo ndio maana walimpigia deki barabara 2015.

View attachment 1995619
Umepitwa na wakati masikini ya Mungu.

Endelea kuhamasisha wenzako muendelee kuwaburudisha kina chakubanga hapo lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…