MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
- Thread starter
-
- #121
Haaya sawa, mnajiongelesha san utadhani hili penzi mnalijua sana kunilikoSio ila kwa sauti yake unaelewa lakini?π
Kiufupi tu hatulijui, muhimu hapa hatujatoka njee ya mada kuhusu mapenzi na mahusiano, kama vipi nyie uaneni tu , kama mmeshindwa kuelewanaπ€Haaya sawa, mnajiongelesha san utadhani hili penzi mnalijua sana kuniliko
Mkuu, nimekaa pembeni kuepusha msongamano; nimemwambia aje tuishi kijijini hataki π ππππ mkuu pesa unayo?ππ
Hahahaha , mkuu umetisha sana maamuzi tumwachie mwenyewe π€Mkuu, nimekaa pembeni kuepusha msongamano; nimemwambia aje tuishi kijijini hataki π π
Hiyo inatafsiri, binti hana mapenzi ya dhati; kwa lugha nyingine tunasema anauzaBonge la barua halafu mtu anajibu 'Ok'
We mchaga una mapenzi ya kizaramo sanaπ€£π€£π€£Mtani mwanga pesa hakuna demu wa bure tu na wala hauna mpango wa kuoa .
Kamchumba mbona hautokei nakusubiri, mwenzio nimekumisi mamilooooooo nakupenda mimi msela sio bishoooo π΅ πΆ ephen_ πππ
Sina uhakika ila muda utaongea.Unauhaika?
Hahaha hakuna mchaga fala mtani , tunajua kuwajali wanawake na kuwapa mahaba ndio maana unaona japo tuna eneo dogo ila wachaga ni wa tatu kwa idadi ya watu TzπππWe mchaga una mapenzi ya kizaramo sanaπ€£π€£π€£
π Mimi sina hata matumizi makubwa, unanionea tu wewe baba wa kijijini.Subiri aje akupe majukumu, ujikute ukitembea barabarani unaongea mwenyewe
Kwamba eti hamna wachaga mafalla..π€£π€£π€£π€£! Halafu shem nimekumbuka kitu, au basi leo ni jumapili!!Hujasikia...Tuongeze Sauti Shem Bae?π
Njoo sasa, niko tayari ata kukutolea mahari leo hii, nina sado tatu za karanga hapa; si zinatosha?π Mimi sina hata matumizi makubwa, unanionea tu wewe baba wa kijijini.
Mchaga halisi wala hawazi labda anazungumzia walio kata tamaa huko kijiji , wafuasi wa chief godloveππππππ€π€π€π€Hujasikia...Tuongeze Sauti Shem Bae?π
As long as hujala mzigo, ulieliwa ni wewe.Wazee nawasalimu kwa jina la Baltazar...........
Huyu Binti ni nurse katika hospital ya wilaya.
Nilimpata tuna kama mwezi sasa, alinizoea ghafla kiasi kwamba unaweza dhani ni mtu ambaye alikuwa na ukame sana wa wanaume.
Baada ya kuanza mahusiano zile panda shuka kwenda na kurudi hospital nikawa nampeleka na kumrudisha Kwa pikipiki yangu.
Muda mwingine ananiagiza vinywaji na vi chips, mwanzo nilikuwa mvumilivu. Siku zikaenda nikaomba mzigo akawa ana4uka ruka oooh ngoja tuzoeane kwanza na tuchek afya nikamwambia swala la afya hakuna shida tupime tu anytime bado akawa analeta ujanja ujanja hataki kuingia kwenye mfumo wa Baltazar.
Muda huo vimizinga vidogovidogo kama vyote, siku moja tupo kitaa usiku tukapita karibu na home napokaa basi nikamwambia tupite kwangu upaone hakubisha tukapaki nje tukaingia ghetto.
Kufika ghetto nikaanza mipapaso akasema siku nyingine atakuwa anakuja tunalala kabisa na tutaenjoy Dunia ila Kwa siku hiyo tuache kwanzia mpka tupime sikupinga kwasabab zile sababu zilikuwa na mashiko.
Siku zikaenda kunikwepa kukaendelea ahadi zisizotimizika sasa leo kaniomba hela ya kusuka nikaamua nimtolee uvivu nikamwambia pesa sina.
Alivojichanganya ni kuliuliza kwanini sina pesa hapo nikapata loop hole ta kuruka naye ki master, the rest is historyView attachment 3148855
Funguka mkuu, mbona chenga nyingi?Sasa hapo ujasiri unaouongelea ni upi?