Huu ujasiri kwenye mahusiano tunao wachache hapa Tanzania

Mkuu Nakushukuru sana na nakupongeza kwa kuwa wewe umehitimu masomo ya Robert Heriel( Mtibeli) na Mr Natafuta Ajira.

Popote walipo hao wakufunzi walewe maua yao. Wamemwokoa huyu kijana.

Huyo demu alikuwa anakupotezea muda tu ili akupige pesa.
 
Maelezo mengi, wakati ilitakiwa umwambie tu uje jionu uchukue. Yeye ndo achague aanze kuandika gazeti, au aje achukue fungu analo taka
 
Safi sana kama anajielewa lazima arekebisha upumbavu wake Huyo

Ok mchape then achana naye
 
Wanaume tulivyo, Hapo anaweza kukujibu kukupa moyo kwamba yaishe uende ukaonjeshwe tunda, ukabadili mawazo ukaenda ukaishia kupata hug na kiss mbili tatu, ukatoa pesa tena na mzigo usipewe 😀😀😀
 
Umekula hasara ya kijinga sana.kwa ufuli alikuona kubwa bwege.

Mwanamke ukijifanya unampenda sana au unamjali sana humpati kabisa wanataka ukatiri hao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…