hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
pokea kwadamu ya yusu🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ni kipimo cha kukata tamaaHuo umati ni kielelezo cha jamii iliyokata tamaa, inayotegemea miujiza ya mafuta itoboe!
Ujinga, maradhi na umasikini is real.
View attachment 3034776
What kind of problems have you been healed through him?ingekuwa ni nyomi ya ZUCHU na Mondi hapo ungetoa sifa kedekede we jingalao!
These people did not commit any crime you Son of a beach!
Let God be God we are healing our problems through him
Upo sahihi. Na ukiona mtu mwenye pesa zake yupo sana kwenye dini basi kuna fursa hapoNawaza ata sielewi huenda kuna uhusiano wa dini na umasikini wa fikra/mawazo/maendeleo etc
Shida gani Wewe ni Akili tu, Mwoposa ana Akili anatumia Akili kwa wasio na Akili unaambiwa kuna karatasi 2 moja ni plain una pewa bure Ila ya pili Ina maombi 12 sema sio bure Wewe unachagua ipi? Unauziwa karatasi yenye maombi 12ila wakienda kutafuta msaada wa kutatuliwa shida zao kwingine mnaona nongwa.
Hapana. Hili la Mwamposa ni kielelezo cha jamii yenye matatizo na haijui yanasababishwa na nani/nini au wafanye nini kuyatatua. Maskini hawa wanadhani huyu tapeli ana uwezo wa kuyatatua. Mungu hatatui matatizo kwa njia hii. Mbona Ulaya watu hawaendi nyumba za ibada lakini wana maisha mazuri?ingekuwa ni nyomi ya ZUCHU na Mondi hapo ungetoa sifa kedekede we jingalao!
These people did not commit any crime you Son of a beach!
Let God be God we are healing our problems through him
Labda ni Mradi wa Wanasiasa ndio maana wanatoa supportWanasiasa wanajua wananchi wakifocus kwenye miujiza na uponyaji hawawezi kuwabana kuhusu matumizi ya kodi zao hapa duniani.
Hapo ulipoandika; "wakufanikiwa atafanikiwa, ambaye muda wake bado aendelee kuwa na subra" ndipo mnapowaumizia ndugu, jamaa na marafiki zetu, wanaendelea kumiminika tu wakiamini siku yao ya miujiza iko njiani huku nyie mnakula tu sadaka.Watu wana matatizo ya kimwili na kiroho ambayo wamehangaika kwingi bila mafanikio.
Wewe ukiona watu wamejaa baa, kwa sangoma, viwanja vya mpira au matamasha ya wasanii mnaona sawa, ila wakienda kutafuta msaada wa kutatuliwa shida zao kwingine mnaona nongwa.
Watu wana shida, acha watafute ufumbuzi kwa njia rafiki. Wakufanikiwa atafanikiwa ambaye muda wake bado ataendelea kuwa na subra
Alimaanisha wewe mtoto wa ufukwe😀😂Mtumishi unanichanganya, mbona mkali hivyo?!
Anyway, it's son of a bitch, not a beach.
Jamaa kawawin sana Ila ndio ishakua hivyo utafanyaje ni suala zima la sayansi ya hesabu za Algebra MJINI kati pale wale wanaolala nje wote Jana walilala matanga kwa Mwoposa aligawa na Pilau bure au ndio aliwauzia Maneno matupu?Hapana. Hili la Mwamposa ni kielelezo cha jamii yenye matatizo na haijui yanasababishwa na nani/nini au wafanye nini kuyatatua. Maskini hawa wanadhani huyu tapeli ana uwezo wa kuyatatua. Mungu hatatui matatizo kwa njia hii. Mbona Ulaya watu hawaendi nyumba za ibada lakini wana maisha mazuri?
haloombinguni🤣🤣🤣🤣jhioni ya lleo mbengu zifongoke🤣🤣🤣🤣
Yes Mkuu watu wanataka tu miujiza watu wanataka waokote nyumba waokote Gari waokote viwanja waokote mke/Mume yaan iwe tu mseleleko vuuvwaaa wamepona Gono Sugu miujizaWapuuzi kufanya kazi watoboe hawataki wanataka kukanyaga mafuta watajirike.
Hawa wachina walioishika dunia kwa uchumi wanachapa kazi hatari.
Waafrika wapumbavu wako kwenye mikesha ya kuomba utajiri.
Mkuu mimi sina cha kufanya bali ni kushangaa jinsi nchi ilivyojaa wajinga. Huyu jamaa ni tapeli wa kutupwa na kuweza kuvuta umati wa watu wengi namna hiyo eti wanafuata miujiza ya kuondoa shida zao na kuponywa magonjwa ni uhayani usiosemekana.Jamaa kawawin sana Ila ndio ishakua hivyo utafanyaje ni suala zima la sayansi ya hesabu za Algebra MJINI kati pale wale wanaolala nje wote Jana walilala matanga kwa Mwoposa aligawa na Pilau bure au ndio aliwauzia Maneno matupu?
Umegonga msumari pale pale.Yes Mkuu watu wanataka tu miujiza watu wanataka waokote nyumba waokote Gari waokote viwanja waokote mke/Mume yaan iwe tu mseleleko vuuvwaaa wamepona Gono Sugu miujiza