M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Ndio hivyo, kutawala makubwa jinga ni raha sana.Labda ni Mradi wa Wanasiasa ndio maana wanatoa support
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo, kutawala makubwa jinga ni raha sana.Labda ni Mradi wa Wanasiasa ndio maana wanatoa support
Thibitisha wewe?Watu hawataki kufanya kazi wanapenda shortcut
POINT! Umewahi kuona binti anaomba ruhusa kwa mchepuko aende kwa Mwamposa kukesha, that's very funny, yaani sijui huyo Mungu anatutazamaje huko aliko, ila najua wengi wetu tunamkebehi tu coz we don't change.Tatizo watu wanahudhuria na kubadilika hawataki.
Binti anakwenda kupata mafuta ili amteke mume wa mtu.
Mpaka makahaba wanakwenda kusafisha nyota ili biashara yao ya ukahaba
Amekwepa kuandika tusi kama lilivyo kuepuka ban mzee..Mimi nimeelewa hivyoMtumishi unanichanganya, mbona mkali hivyo?!
Anyway, it's son of a bitch, not a beach.
Zilipoanzia dini wao ni matajiri hapo unasema nini sasaNawaza ata sielewi huenda kuna uhusiano wa dini na umasikini wa fikra/mawazo/maendeleo etc
Ukipita maeneo ya Mbezi Luis hapa kwenye stendi ya daladala kuna walemavu, vipofu na watu wengi wenye vichwa vikubwa.Siwez kumpinga mwamposa sababu sijui kuwa afanyayo ni kweli au mazingaumbwe: ila ila ninachojua Mungu yupo na anatenda miujiza kwa wale waaminio
Kakwambia nani huko hakuna dini.Upo sahihi sana.
Japan, China, Korea hawana dini na wapo mbali sana kimaendeleo, Kisayansi na Kiteknolojia
Wengine wamefanywa wawe hivyo ili utukufu wa Mungu udhihirike, wengine ni kwa sababu ya ukosefu wa Imani kwani ukimuacha Mungu nae anakuacha.Ukipita maeneo ya Mbezi Luis hapa kwenye stendi ya daladala kuna walemavu, vipofu na watu wengi wenye vichwa vikubwa.
Halafu hapohapo kuna wachungaji wameweka spika zao wanahubiri habari za uponyaji wa huyo Mungu miaka nenda rudi Nothing happens kwa hao walemavu.
Huyo Mungu angekuwa anaponya kweli na hao wachungaji wangekuwa wanaponya kweli, wale walemavu na vipofu wangeshapona.
Mkuu kwa point yako unataka kupinga kuwa hakuna Mungu? by the way bado nitaendelea kusimama na point yangu ikiwa utaamin yote yanawezekana kwa Mungu ata hao uliosema wanaweza ponywa piaUkipita maeneo ya Mbezi Luis hapa kwenye stendi ya daladala kuna walemavu, vipofu na watu wengi wenye vichwa vikubwa.
Halafu hapohapo kuna wachungaji wameweka spika zao wanahubiri habari za uponyaji wa huyo Mungu miaka nenda rudi Nothing happens kwa hao walemavu.
Huyo Mungu angekuwa anaponya kweli na hao wachungaji wangekuwa wanaponya kweli, wale walemavu na vipofu wangeshapona.
Sio kwamba hawaendi nyumba za Ibada Ibada zimehamia online sio lazima kuenda church hali unapata huduma zote onlineHapana. Hili la Mwamposa ni kielelezo cha jamii yenye matatizo na haijui yanasababishwa na nani/nini au wafanye nini kuyatatua. Maskini hawa wanadhani huyu tapeli ana uwezo wa kuyatatua. Mungu hatatui matatizo kwa njia hii. Mbona Ulaya watu hawaendi nyumba za ibada lakini wana maisha mazuri?
Wewe ndiyo jingalao?ingekuwa ni nyomi ya ZUCHU na Mondi hapo ungetoa sifa kedekede we jingalao!
These people did not commit any crime you Son of a beach!
Let God be God we are healing our problems through him
Na Wewe ulikuepo kwenye Mkesha wa July 5?Wajinga ndiyo waliwao.
Vipi sheikh Sharif Majini yale makolokolo yake anayowauziaga?Wajinga ndiyo waliwao.