Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Okay sawa kumbe hana shida ndogo ndogo, kwahiyo yuko wapi sahivi ๐น๐น ajibu pm chaaap tumalize sikukuu.....tuuaibishe upwekeItategmea sasa mama Kama PHILO bado anasumbuliwa na hela ya kula ,kulipa kodi n.k
Aanze kwanza ajijenge Ila huyu dogo hatokei broke family namjua kias chake ni MTU smart na hustler and educated .
Itakuwa either yupo katika kuwaza mambo makubwa ambayo yanampa sleepless nights .
Nafikiri hata wanawake itakuwa anatafuta high classic women VVIP
Ajaribu pia Ku-lower expectation kuhusu maisha
Niachie chaja basiMtoa mada uko wapi tukutane tukajinyonge
Uje ,yani ndio nimeamka na bia meri chrisimasi๐Okay sawa kumbe hana shida ndogo ndogo, kwahiyo yuko wapi sahivi ๐น๐น ajibu pm chaaap tumalize sikukuu.....tuuaibishe upweke
Nitaenda nayo mbinguni nikaitumie, au utaikuta mbagala hapa nitatumia na kanumbaNiachie chaja basi
Okay sawa kumbe hana shida ndogo ndogo, kwahiyo yuko wapi sahivi ๐น๐น ajibu pm chaaap tumalize sikukuu.....tuuaibishe upweke
Kama haupo Moshi we ni Mwizi ๐นUje ,yani ndio nimeamka na bia meri chrisimasi๐
Mbona mm nimekataliwa na madem wote niliowatongoza miaka hii minne na sijisikii upweke? Acha ujinga bwege weweMama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah ๐ฅถ๐๐ฅบ
Pole. Piga kazi kwa bidii hao wote watakuja. Waliokuwa karibu na wewe ni kwa sababu ya mama yako alipotoweka hakuna kiunganishi. Ingekuwa rahisi endapo mama angeacha biashara inayokuunganisha nao.Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah ๐ฅถ๐๐ฅบ
Hii ya mwaka huu nimefeli vibaya ila nina lewa nao kiroho๐ ๐ ๐Kama haupo Moshi we ni Mwizi ๐น
Hakuna mwanamke anayekataa mwauame, tafuta wanawake wa hadhi yako, acha kutaka wanawake wenye hadhi kuliko wewe utakufa mapema, wapo wanawake ukimpa elf tano anakushukuru siku tatuMama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah ๐ฅถ๐๐ฅบ
๐๐๐๐ aendeshe tu scania akigonga atasaidiwaIla kwakuwa ndo ameanza maisha aanze na kuendesha IST au PASSO na sio SCANIA n.k
Nenda vijiweni,cheza draft,uta-socialise na watu,kuhusu utelezi, hicho ni kitu chepesi kuliko mloMama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah ๐ฅถ๐๐ฅบ
Hang on brother. Just hang on. Chukua ushauri ambao utakufaa na uufanyie kazi. All the best...maisha yana changamoto nyingi. Usikubali kushindwa. Never say never.i
Sina kazi inayoeleweka naendesha bajaji
Umejaribu kumkimbilia Yesu akashindwa kukusaidia? Yeye anasema katika Mathayo 11:28-29:Mama yangu alikua ni mtu anayenitia moyo sana na kunishauri vitu vingi.
Aliniunganisha na watu wengi
Baada ya mama kufariki wale watu walipotea
Najiuliza Ata ikitokea Leo nimepata shida sijui nitakimbilia wapi
Wanawake wananikataa Kila nae jaribu kumtongoza ananikataa, hakuna ambaye yupo tayari kuwa na mimi!
Nimejikatia tamaa Sasa, kuna mda paka nawaza mambo mabaya sana Dah ๐ฅถ๐๐ฅบ
Duh ww ulikuwa na upweke wa kipato.Atafute hela hiyo hali itaisha nakwambia mi ishanikuta sana ๐น๐น nlikua nalia hadi najiuliza hivi nalia nini?.mtu akiuliza nitajibu nalia nini
Hii hali ilikua inatokea siku ambazo mshahara ukiingia nalipa bills na madeni unaisha hapo hapo.....nabaki 0 lazma nijihisi kama huyu kaka philo