Uchaguzi 2020 Huu utaratibu wa Halima Mdee na Lema kutumia sauti zilizorekodiwa za Rais Magufuli na Askofu Gwajima haukubaliki

Mbona mgombea wenu anasoma ilani ya CDM kwenye jukwaa lake tena saa mbili asubuh
Na yeye aache vinginevyo week ya mwisho tunatoa video ya Gwajima akimtafuna kondoo na ya akina nape wakimpga za USO jiwe
Bila kusahau voice note ya ole sendeka na Mollel zote tumetunza bwashee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…