Hii ni comment ya
BLACK MOVEMENT kwenye uzi Hanang imeniumiza kweli.
Hivi sisi watu weusi tunashida gani?
Mdau mmoja aliopo eneo la tukio kule Hanang anasema kuna zaidi ya V8 78 za viongozi mbalimbali hadi sasa hivi, huku kukiwa hakuna vifaa maalumu ya uokoaji huku walio athiriwa wakiambiwa watafute hifadhi kwa ndugu jamaa na marafiki. Wananchi wanafanya kuhesanu V8 barabarani kwa sasa.
V8 zinafanya kupishana Hanang, huku kukiwa hakuna vifaa vya kufanya uokoaji, kukiwa hakuna mahema ya wahanga na kukiwa hakuna Chakula cha wahanga zaidi ya wahanga kwenda kuomba chakula kwa nduhu na jamaa na marafiki.
Serikali inangoja kuzika walio kufa kwa kugharamikia majeneza huku walio hai wakiendelea kutaaabika bila msaada wowote ule.Viongozi wanaenda kupiga picha kule na kuonekana walikuwepo eneo la tukio.
Raia wanahitaji misaaada na sio wingi wa viongozi kwenda kupiga picha eneo la tukio.
Jinsi sisi weusi tulivyowaajabu usishangae mods kuunganisha.