Huwa inataka moyo sana kusikiliza maneno na hotuba za hawa watu

Huwa inataka moyo sana kusikiliza maneno na hotuba za hawa watu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
 
FB_IMG_16651422892783010.jpg
 
Ms
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daaaah, ndo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo serious. Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. The best ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipoafanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndo imebaki kuwa hivyo.
ema kweli ni mpenzi wa Mungu !! 👍
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daaaah, ndo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo serious. Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. The best ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipoafanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndo imebaki kuwa hivyo.
Hotuba za maana nchi hii zilikuwa za Mwalimu na Mkapa - hawa wengine hiiiii.
 
Kama hii nchi ilipitishwa kipindi cha 2015 hadi 2021 na ikatoka salama basi hakuna shida yoyote

Mfuasi wa jiwe unazuga tu kuwataja Mkapa na Mwinyi ila lengo lako ni kumponda JK kwa kufichua walivyozima mipango miovu ya Jiwe kujiongezea muda
Mkuu wakati mwingine ficha makalio yako. Si vyema kila wakati wanapokuwepo wanaume nyuma yako wamekaa uiname mbele yao. Fuata ushauri huu kufunika nanii yako.
 
Watu wa dhehebu lako ndiyo unaona wamesoma na Wana akili,udini umekutafuna Sana ubongo...
Wewe akili huna hata za kuvalia chupi. Unalifahamu dhehebu au dini yangu? 😁 Nyie ndo mnafanya wote tuonekane hatukusoma,hatuna elimu kumbe tupo ambao tuna elimu na tumeelimika vizuri siyo maamuma kama ninyi....
 
"Za kuambiwa changanya na zako Mbayuwayu" asante sana Mtoto wa Mjini Jaakaya Kikwete mpaka leo naitumia hii BUSARA uliyonipa.
 
Wewe akili huna hata za kuvalia chupi. Unalifahamu dhehebu au dini yangu? 😁 Nyie ndo mnafanya wote tuonekane hatukusoma,hatuna elimu kumbe tupo ambao tuna elimu na tumeelimika vizuri siyo maamuma kama ninyi....
Elimu ingekua inawafanya watu wajinga kwa kiasi chako,tusingeipapukia..wewe ni mjinga tu na shule ulikua unakunywa kamasi wakati walimu wanafundisha
 
Mataga wana vihoja sana na huwa wanazunguka sana badala ya kwenda direct kwenye point
Kama hii nchi ilipitishwa kipindi cha 2015 hadi 2021 na ikatoka salama basi hakuna shida yoyote

Mfuasi wa jiwe unazuga tu kuwataja Mkapa na Mwinyi ila lengo lako ni kumponda JK kwa kufichua walivyozima mipango miovu ya Jiwe kujiongezea muda
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Hasa huo mstari na nusu uliouweka mwicho wa andiko lako...
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Mwehu katuongoza miaka mitano huku chawa wakimsifia, sasa ni mtindo wa taarab tu
 
Elimu ingekua inawafanya watu wajinga kwa kiasi chako,tusingeipapukia..wewe ni mjinga tu na shule ulikua unakunywa kamasi wakati walimu wanafundisha
Mbona unatokwa na povu kila sehemu ya wazi ya mwili wako? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Vumilia tu umetaka mwana sasa unapewa...just calm down faggot....come down. Unatokwa povu hivi we mkewe?
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Magufuli je?
 
Back
Top Bottom