goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Umemjibu kimkati sna kudosKama hii nchi ilipitishwa kipindi cha 2015 hadi 2021 na ikatoka salama basi hakuna shida yoyote
Mfuasi wa jiwe unazuga tu kuwataja Mkapa na Mwinyi ila lengo lako ni kumponda JK kwa kufichua walivyozima mipango miovu ya Jiwe kujiongezea muda
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app