Huwa inataka moyo sana kusikiliza maneno na hotuba za hawa watu

Huwa inataka moyo sana kusikiliza maneno na hotuba za hawa watu

Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Mkuu asante kwa maono yako, Mimi kwa maono yangu Jakaya ana madhaifu kama binadamu wengine lakini ana sifa nyingi za kuwa kiongozi. Ni muungwana sana na mstahimilivu sana. Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa maisha marefu.
 
Umepigwa za uso sasa waporomosha mitusi tu...
Mkorogo wakati mwingine ficha makalio yako. Si vyema kila wakati wanapokuwepo wanaume nyuma yako wamekaa uiname mbele yao. Fuata ushauri huu kufunika nanii yako.
 
Mkuu asante kwa maono yako, Mimi kwa maono yangu Jakaya ana madhaifu kama binadamu wengine lakini ana sifa nyingi za kuwa kiongozi. Ni muungwana sana na mstahimilivu sana. Namuomba Mwenyezi Mungu aendelee kumpa maisha marefu.
Labda maana ya neno Uungwana imebadilika siku hizi.
 
Mbna unapaparika huelewek unachotaka????
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
 
Ila kikwete ukweli na uwazi kwenye kipindi chake ulikuwa mkubwa sana na walimtukana sana nakumzushia kila kampuni kubwa, jengo kubwa, wanawake wazuri wote, na muuza madawa ya kulevya lakini dingi wa watu alikuwa anacheka tu long live jk
 
Ni ukweli hotuba zingine ni mbovu.

Kikwete haelewekagi,magufuli namuelewa,hakuna watu niliowahi wapenda kama hawa nyerere,mwinyi,mkapa.sana tu magufuli nilimpenda ila alinipa stress mno samia mimi kiukweli sijui simo humo ni mwanamke,ni bibi so ngumu kumdiscuss
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Wacha uwongo.
 
Kiukweli hili swala la kujiongezea muda wa kukaa madarakani sisi wazee tulilikataa japo mzee mwenzetu alijichanganya akatangulia, Sema kwa huyu Kanali wa jeshi walimshindwa
 
Wewe akili huna hata za kuvalia chupi. Unalifahamu dhehebu au dini yangu? 😁 Nyie ndo mnafanya wote tuonekane hatukusoma,hatuna elimu kumbe tupo ambao tuna elimu na tumeelimika vizuri siyo maamuma kama ninyi....
Duh !
 
Kwani hizo hutuba za maana ulikuwa unazisikia kwa hao wengine zilikua zinakupa chakula?
Yeye kwake cha Muhimu ni hotuba tu habari ya kwamba kipindi cha Nyerere watu tulikula unga wa njano sio issue.
 
Mkorogo wakati mwingine ficha makalio yako. Si vyema kila wakati wanapokuwepo wanaume nyuma yako wamekaa uiname mbele yao. Fuata ushauri huu kufunika nanii yako.
Hii ndo kazi inayokufaa.
Matusi na kushangilia hotoba za wafu
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Udini utakumaliza wewe.
 
Watu wa dhehebu lako ndiyo unaona wamesoma na Wana akili,udini umekutafuna Sana ubongo...
Mimi ni mgakatia lakini hili nimeliona pia.

Ana udini umejificha kwa post yake

Shame
Shame
Shame
 
Mmojawapo ni Kikwete, huyu ndugu niliwahi msikiliza mara moja alipochaguliwa kuwa Rais nikaona daah, ndiyo basi tena.

Nilikuwa sahihi.

Toka siku hiyo sikuwahi pata nafasi ya kumsikiliza kabisa. Huwa sioni kama yupo "serious". Nlikuwa na msikiliza Nyerere, Mkapa na Mwinyi. Bora ni Nyerere akifuatiwa na Mkapa. Hawa walikuwa vichwa sana. Wamesoma na wana akili. Mpaka leo naweza wasikiliza.

Kwa kweli watanzania tuombewe sana hii nchi inapitia wakati mgumu sana kwa miaka mingi sasa, toka mlipofanya urais ni jambo la kipuuzi basi ndiyo imebaki kuwa hivyo.
Uombewe na nani wakati wewe mwenyewe hujielewi hujitambui.

Ukitaka wakufanye/kufanyie nini hao uliowataja?
 
Back
Top Bottom