Huwa inataka moyo sana kusikiliza maneno na hotuba za hawa watu

Huwa inataka moyo sana kusikiliza maneno na hotuba za hawa watu

Kama hii nchi ilipitishwa kipindi cha 2015 hadi 2021 na ikatoka salama basi hakuna shida yoyote

Mfuasi wa jiwe unazuga tu kuwataja Mkapa na Mwinyi ila lengo lako ni kumponda JK kwa kufichua walivyozima mipango miovu ya Jiwe kujiongezea muda
Siku zote alikuwa wapi kusoma amesubir mhusika hayupo ndo aongee.. ni unafiki tu
 
Uombewe na nani wakati wewe mwenyewe hujielewi hujitambui.

Ukitaka wakufanye/kufanyie nini hao uliowataja?
Shida uliolewa ukiwa na umri mdogo sana....kiasi kwamba umekosa heshima kwa wakubwa zako sababu unaona kama wote tupo sawa. Ungekaa na wazazi wakakukuza wakakufundisha ungekuwa una uelewa na kuheshimu wakubwa zako. Ungejifunza dini inasemaje na inatakaje...siku hizi hamfuati kabisa maadili mmekuwa makafir tu.
 
Udini utakumaliza wewe.
Wewe akili huna hata za kuvalia chupi. Unalifahamu dhehebu au dini yangu? 😁 Nyie ndo mnafanya wote tuonekane hatukusoma,hatuna elimu kumbe tupo ambao tuna elimu na tumeelimika vizuri siyo maamuma kama ninyi....
 
Mkuu wakati mwingine ficha makalio yako. Si vyema kila wakati wanapokuwepo wanaume nyuma yako wamekaa uiname mbele yao. Fuata ushauri huu kufunika nanii yako.
kwa hii comment imeonesha kiwango chako cha elimu uko Sawa kabisa mkuu 👏
 
Shida uliolewa ukiwa na umri mdogo sana....kiasi kwamba umekosa heshima kwa wakubwa zako sababu unaona kama wote tupo sawa. Ungekaa na wazazi wakakukuza wakakufundisha ungekuwa una uelewa na kuheshimu wakubwa zako. Ungejifunza dini inasemaje na inatakaje...siku hizi hamfuati kabisa maadili mmekuwa makafir tu.
Kuolewa niolewe mimi shida upate wewe! Majanga.

Au una hamu ya kuolewa?
 
Shida uliolewa ukiwa na umri mdogo sana....kiasi kwamba umekosa heshima kwa wakubwa zako sababu unaona kama wote tupo sawa. Ungekaa na wazazi wakakukuza wakakufundisha ungekuwa una uelewa na kuheshimu wakubwa zako. Ungejifunza dini inasemaje na inatakaje...siku hizi hamfuati kabisa maadili mmekuwa makafir tu.
Basi umebaki na kazi ya mitusi tu humu.
Yaani unaanzisha uzi halafu watu wakienda tofauti na mawazo yako povu kama lote
 
Wewe akili huna hata za kuvalia chupi. Unalifahamu dhehebu au dini yangu? [emoji16] Nyie ndo mnafanya wote tuonekane hatukusoma,hatuna elimu kumbe tupo ambao tuna elimu na tumeelimika vizuri siyo maamuma kama ninyi....
Una elimu ya Matusi..
Nayo ni elimu ati!!
 
Basi umebaki na kazi ya mitusi tu humu.
Yaani unaanzisha uzi halafu watu wakienda tofauti na mawazo yako povu kama lote
Daaah....mimi na matusi wapi na wapi
..... Kutofautiana mawazo ndo napenda ila mtu akiwa mpumbavu namjibu kwa upumbavu wake... Mi nagawa dose sawa sawa na ugonjwa.
 
Duuh kwamba ulikuwa unapenda hotuba za jiwe za kuambiwa Saddam husen alikuwa rais wa LIBYA 😁😁😁😁
hotuba za kuambiwa tutembee kifua mbele kila mtanzania atanunuliwa noah yake 👊👊👊👊
 
Wewe akili huna hata za kuvalia chupi. Unalifahamu dhehebu au dini yangu? 😁 Nyie ndo mnafanya wote tuonekane hatukusoma,hatuna elimu kumbe tupo ambao tuna elimu na tumeelimika vizuri siyo maamuma kama ninyi....

Kwahiyo unajivunia kuwa na elimu sio! Haya elimu yako imekusaidia nini mpaka sasa!! Wakati kuna wenzako wengi tu wameajiriwa na wasio na elimu, watu ambao wamejawa na akili ya maisha, utu uzima na kuendesha uchumi, na sio akili ya darasani.


Kwa upande wa marais, nakuona ukiwasifia zaidi wakristo wenzio, hivi huyo nyerere alitufanyia nini cha maana cha kuweza kumkumbuka!! Kutaifisha nyumba za wahindi sio?

Kama ni udini, basi acha udini


Bhujiku ng'waka!
 
Kwahiyo unajivunia kuwa na elimu sio! Haya elimu yako imekusaidia nini mpaka sasa!! Wakati kuna wenzako wengi tu wameajiriwa na wasio na elimu, watu ambao wamejawa na akili ya maisha, utu uzima na kuendesha uchumi, na sio akili ya darasani.


Kwa upande wa marais, nakuona ukiwasifia zaidi wakristo wenzio, hivi huyo nyerere alitufanyia nini cha maana cha kuweza kumkumbuka!! Kutaifisha nyumba za wahindi sio?

Kama ni udini, basi acha udini


Bhujiku ng'waka!
Wewe maamuma sana. Soma threads zangu utagundua Dini yangu. Mwinyi ni Mkristo? Na hizo dini zao mimi zinanihusu nini? Mimi nazungumzia akili Kilaza na vyeti vyako vya kufoji unazungumzia Dini.

Ninyi ndo huwa mnaolewa kwa ndoa ya mkeka...🤣 Mnafikiri kwa kutumia masaburi. Leta hoja kilaza wewe. Mkikaa mnajidhania ninyi ni waarabu au wazungu. Kumbe mnagandamana na uchafu kwenye nguo za ndani mpo tandale kwa tumbo 🤣.

Mnaangalia kila jambo kidini...kama mafisi maji....akili hamna. Na mnadhani kila anayekosoa watu ambao wana imani za kipuuzi kama zenu basi ni wapinzani wenu... Maamuma mkubwa wewe.... 😁
 
Nimepata ajira,michongo kitaa inaenda,nilijijenga kipindi Cha jk,uchumi ambao hatukuwahi kuufikia..maisha Bora kwa kila mtanzania
Inaonekana wewe mwizi ndio maana unafurahia UTAWALA wa Dhaifu wadiobana pesa!
 
Back
Top Bottom