Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kazi zipo ajira ndio hakuna mkuu.Alisema simu ina asilimia 7% labda itakua imezima naona yupo kimya!
Akireply natokea maana sielew elewi tangu asubuh naangalia tu movie hamna kazi
Huwa inasaidia sana kuliko kukaa eneo moja mda mrefu.Napata kiwanja kisicho na watu natembea nawaza na kuwazua kilometa 10 Kisha inashuka
😁😁 Ngoja ukae wiki haujauza unakula Hela ya office ndo utajua kazi ipo au haipoKazi zipo ajira ndio hakuna mkuu.
Itakua simu ishamzimikia
😂 sisi ni wale tunao saidiwa na Mungu (in sarafina voice)😁😁 Ngoja ukae wiki haujauza unakula Hela ya office ndo utajua kazi ipo au haipo
Hiyo kitu haijawahi kulaaniwa na haita laani kabisa 😂Kula bangi mtumishi ibariki kabisa 😂
Lakin ukisimama madhabahuni utawahubiria waumini ya kuwa wasitumie bangi ni mbaya.Hiyo kitu haijawahi kulaaniwa na haita laani kabisa 😂
Hapa ndugu zetu ktk Imani waokoe jahazi wafunge mwezi wa pili la sivyo....yajayo yanasikitisha😂 sisi ni wale tunao saidiwa na Mungu (in sarafina voice)
Bado siku chache tuuage january ila bado safari n ndefuHapa ndugu zetu ktk Imani waokoe jahazi wafunge mwezi wa pili la sivyo....yajayo yanasikitisha
February moto ni huu huu subir uoneBado siku chache tuuage january ila bado safari n ndefu
Basi tumetofautiana sanaMimi nimeshindwa kwa kweli🥴
😂 kuwa na imani mkuu japo hali ni teteFebruary moto ni huu huu subir uone
Bangi sio mbaya ikitumiwa vizuri, ila watu wabaya hutumia vibaya kisha husingizia ni bangi kumbe ni wao ndio wameitumia vibaya.Lakin ukisimama madhabahuni utawahubiria waumini ya kuwa wasitumie bangi ni mbaya.
Hapa ni kupunguza matumizi 😂😂ukiona jioni npo off ujue natumia wi fi ya office😂 kuwa na imani mkuu japo hali ni tete