Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Huwa unafanyaje ukipatwa na hali ya kutotaka kufanya chochote na kukosa furaha?

Nishauri mie nifanyaje?

Mazoezi siyawezi kwa kweli
Ili mtu apin point mzizi wa ishu yako anahitaji kukusikiliza.

Kwa ulichoandika kichache kinaashiria hauna mawazo concerning financial issues na love life two of issues ambazo wengi zinawasumbua.

From psychological perspective inaweza kua issue yako ni ya muda mkubwa uliopita ama inatokana na wewe kua na goals ambazo unaona haujazifikia. Hayo yote yanaweza angaziwa kama mtu ataweza kukusikia kuanzia mwanzo.

Ila kama unaweza playstation why not doing it?
 
Mkuu, leo yako, ni kesho uliyokuwa unaitazamia jana. Kwa hiyo yanayotokea sasa ni matokeo ya jana. Kwa hiyo mkuu inawezekana kuna kipindi kuna kitu kilikuumiza sana, uka move on lakini deep down, ukawa umebaki na makovu. Hayo makovu yanaweza kuwa ni psychological issues. Kwa sababu seriously unaonekana haupo sawa kwa maelezo uliyotoa. Siyo katika hali ya kawaida kabisa.
Unahitaji kumake peace na past yako. Hata kama unaamini hakuna kitu ambacho hakipo sawa.
Ama ni vile nilivyoachwa kipindi kile?

Bado nna kinyongo nae yule boyaa hadi leo
 
Hey people

Ikitokea ile hali hujagombana na mtu wala kumkosea yoyote lakini mood yako iko mbaya(sio stress)

Niko na mood hii sasa hivi....
Sijisikii kula lakini natamani kula
Natamani kulala lakini sina usingizi
Nimetoka kazini jioni hii ajabu ni sitamani kurudi kazini tena,yaani sina mood ya kufanya kazi tena,ile mood ya sitaki kwenda kazini forever(sijakosana na yoyote huko kazini)

Mambo nafanya kujiweka sawa ni kusikiliza mziki,kubet zile mechi inplay,kufua nguo ama kulia sasa ajabu ni kwamba leo nimefanya hayo yote lakini sioni unafuu aseee!

Imagine hapa nalia lakini sina sababu ya kulia teh!

Kila kitu kiko sawa kwa upande wa mahusiano,siko period na wala sikaribii kuingia period,sina nyege

Huwa unafanyaje kuondokana na hizi moods?kuna mtu kanishauri tutoke lakini sioni namna ya kuaga hapa nyumbani usiku huu...siwezi kuruhusiwa kutoka muda huu

Uzi hauko tayari....
Mkuu, hiyo itakuwa 'stress' inaanza..
Mikasi kwa sanaaa, ndo dawa tosha!
 
Kama umepangisha sehemu unapokaa hama kapange sehemu nyingine
 
Ama ni vile nilivyoachwa kipindi kile?

Bado nna kinyongo nae yule boyaa hadi leo
Hata mahusiano pia yana mchango mkubwa katika kukuachia makovu ambayo yanaweza kukufanya uka "act out of the ordinary" Lakini jaribu kukaa chini kutafakari kwa undani ni mawazo gani yanakuwa chanzo cha kupelekea wewe kupitia situation hiyo?! Hayo mawazo ndiyo yanaweza kukupa majibu mazuri zaidi...
 
Ili mtu apin point mzizi wa ishu yako anahitaji kukusikiliza.

Kwa ulichoandika kichache kinaashiria hauna mawazo concerning financial issues na love life two of issues ambazo wengi zinawasumbua.

From psychological perspective inaweza kua issue yako ni ya muda mkubwa uliopita ama inatokana na wewe kua na goals ambazo unaona haujazifikia. Hayo yote yanaweza angaziwa kama mtu ataweza kukusikia kuanzia mwanzo.

Ila kama unaweza playstation why not doing it?

Issue yangu imeanza ghafla jioni ya leo,nimejaribu kuwaza ni jambo gani haliko sawa naona kila kitu kipo sawa lakini moyo umekuwa hauna amani....sijui ni nini kinaenda kutokea

Nikicheza games playstation navuruga sana nikiwa off mood,sasa vile navyovuruga ile hali ya kuwa off mood inabadilika na kuwa hasira...naweza kuvunja hata PC
 
Nimepata bonge la idea Joanah

/Juisi ya pilipili kichaa pia inasaidia kuondoa msongo wa mawazo/
FANYA IVO UTANISHUKURU BADAE...
 
Busy na kutetemeka, nimechekaa🤣🤣🤣
Eeh bana.

Au we unafanyaje ukiwa stressed? Joanah ana stress ambazo uwa hazieleweki zinabase eneo lipi. Yan unajikuta tu little angry, little happi, little disappointed, frustrated and the like. Simply you become tired of everything.

Uwa unatoka aje hapo?
 
Hata mahusiano pia yana mchango mkubwa katika kukuachia makovu ambayo yanaweza kukufanya uka "act out of the ordinary" Lakini jaribu kukaa chini kutafakari kwa undani ni mawazo gani yanakuwa chanzo cha kupelekea wewe kupitia situation hiyo?! Hayo mawazo ndiyo yanaweza kukupa majibu mazuri zaidi...
Asante RETROJAY

Japo nimeshafikiria sioni sababu ya mie kuwa hivi
 
Back
Top Bottom