Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you start they will followhow can i be zalendo and our leaders they dont want to be zalendo ..?
hiki kingereza chakohow can i be zalendo and our leaders they dont want to be zalendo ..?
can you tell the mzalendo in english ..?hiki kingereza chako
no i cant be the first to start they as our leaders must be the first to start then us will followIf you start they will follow
Bora huyo kuna mwingine anataka kuoa lakini kila kitu anataja dada ake yani kwadada kuna hiki, dada anapenda hiki, dada alikua anapika hiki dada dadaaaBila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu. Hivi huu uwa ni ulimbukeni au nikitugani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa(legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa. NB; Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
Ain't you a leader?no i cant be the first to start they as our leaders must be the first to start then us will follow
am leading what ...? maybe a leader in my family but in this nation who knows me..?Ain't you a leader?
😂😂😂😂😂Najioneaga kero miee hao wa my husband this,My husband that,hata kwa wanawake utaskia my husband this my husband that my husband nyoko woooi 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜hata kwa wanawake utaskia my husband this my husband that my husband nyoko woooi 😂😂😂😂
Afu matatizo matupu🤭😂😂😂😂😂Najioneaga kero miee hao wa my husband this,My husband that,
Acha tutajane tu, kuoa/kuolewa si jambo dogoBila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu.
Hivi huu uwa ni ulimbukeni au ni kitu gani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa (legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa.
NB: Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
Watabadilika😂😂😂😂😂Najioneaga kero miee hao wa my husband this,My husband that,
Umesahau kuthe marriage is so sweet let him mention his wife if it pains you drink fumigation
mnapanga safari utaskia ngoja niongee na mume wangu mara ngoja niwahi my husband sijui nini 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜
unabaki kujiuliza husband huyuhuyu au kuna mwingine😂😂😂😂😂Najioneaga kero miee hao wa my husband this,My husband that,