fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
you better stop stop using tecnoKumbe nilikomeq njiani basi keyboard iliteleza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you better stop stop using tecnoKumbe nilikomeq njiani basi keyboard iliteleza
Tecno ni simu Kali kuliko iPhone na Samsung lakini Wewe unatumia Oking yenye android 12 mkuu nililogwa na Huawei ndo simu zangu kibrand ukija kwangu kila kitu kimeandikwa huaweiyou better stop stop using tecno
even tv..?Tecno ni simu Kali kuliko iPhone na Samsung lakini Wewe unatumia Oking yenye android 12 mkuu nililogwa na Huawei ndo simu zangu kibrand ukija kwangu kila kitu kimeandikwa huawei
Ndio, vifaa vyao vitamu sanaeven tv..?
🤣🤣🤣🤣🤣 eti my husband nyoko!!hata kwa wanawake utaskia my husband this my husband that my husband nyoko woooi 😂😂😂😂
wow i thought they just deal with phones onlyNdio, vifaa vyao vitamu sana
No,wow i thought they just deal with phones only
😂😂😂wanakera🤣🤣🤣🤣🤣 eti my husband nyoko!!
Hao ni wasukuma, ndo washamba kwa wanawake dunia nzima.Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au kupeana idea nzuri za maisha yeye kidogo tu mke wangu.
Hivi huu uwa ni ulimbukeni au ni kitu gani afu mbona ukikaa na watu flani wenye umri mkubwa (legends) hawana huu ujinga tena mnadiscuss vitu vya maana zaidi afu hukuti akileta habari za mke wake bila sababu ukizingatia mwana hata hela hana ndo anajitafuta ila yeye kitu kidogo tu mke wangu hadi anaboa.
NB: Mimi sio kataa ndoa na wala sizungumzii haya kwa angle ya chuki au wivu, Asanteni na karibuni kwa maoni.
thank you my brotherNo,
Wana vingi Nenda site Yao huawei.com
Wivu tuMr mwenyewe ukimuangalia kapauka, kapigwa na vumbi 🤣🤣🤣
Chino 😂😂😂Wivu tu
HahaChino 😂😂😂
Wivu kwa mwanaume aliyepauka, kapigwa na maisha ya TOZO!! Mi wa nini sasa.!!
Chino mchele bado sijapata ujue!! Huyo dadaako Maho analeta au haleti.??🤣
Mbona wifi ana roho mbaya sana.!!
Kitu km mchele nacho cha kuninyima jomooni!!
Nkamu tena hii mnayo sana walimu mkiwa mnasahisha madaftari ni Mr…………… mpk waliokosa ndoa wajichanganye kubeba mataputapu ili nao wapate kumilikiwa.!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mweee jamani
🤣🤣🤣 Basi ulete home BonyokwaHaha
Ushaanza! embu tulia
Nipe location
Kesho ukufikie
Haha tatizo muoga sana
[emoji16]hata kwa wanawake utaskia my husband this my husband that my husband nyoko woooi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwenye kasri lako la mbezi beach upepo unapovuma🤣🤣🤣 Basi ulete home Bonyokwa