Most successful people choose college and not useless education like A level mtu unakuta anaenda kusoma civil engineering anapiga pcm ambapo kwenye PCM hakuna application yoyote ya civil no relation btn civil engineering and pcm kwahiyo mkuu elewa kuwa Advanced education is uselessHuu ni upotoshaj hao diploma wanaenda kusoma degree na bado wanakimbizwa na waliotoka form six
Huu ndo ukweli nenda vyuoJitathmini
Tatizo lako unapenda shortcut na unavyosema successful people hiyo takwimu ulifanyia wapiMost successful people choose college and not useless education like A level mtu unakuta anaenda kusoma civil engineering anapiga pcm ambapo kwenye PCM hakuna application yoyote ya civil no relation btn civil engineering and pcm kwahiyo mkuu elewa kuwa Advanced education is useless
Hiyo informal education ni ipi kwa Tanzania nikusaidie nchi tajiri zote hakuna hata moja inamtaji wa vilazaAisee !!??? Kuna mtu amesema mtu asisome na kitu ambacho wengi hamjui kupata elimu sio mpaka uende kwenye formal schools hata mtu ambaye hajaenda shule sio kwamba hana Elimu..., Diamond unayemuongelea huenda ana elimu katika vitu anavyofanya (yaani yupo top 10 katika watanzania wote) Elimu ni ujuzi wa wewe kuweza kupambana na mazingira yako..., sio vyeti ulivyonavyo kabatini...
Don't Let Schooling interfere with your Education
Baada ya kuona baadhi ya watu wanadharau shule na wengine kuona kwamba shule ndio kila kitu hadi kujipachika Sifa za Kuelimika nimeona tukumbushane Qoute ya Mark Twain; (Writer, Humorist, Enterpreneur, Lecturer) na School Drop- Out Don't Let Schooling interfere with your Education....... Ni...www.jamiiforums.com
maana elimu ziko nyingi za maisha au za darasani au elimu ipi hiyoo??Kusoma elimu ipi?
Hivi unadhani kuna binadamu ambae hana elimu ? Au hata haujui maana ya Elimu ? Unamuongelea Diamond kati yako wewe mwenye degree zako labda za quantum physics (theory) na yeye anavyopangilia muziki wake anajua wateja wake wanataka nini anajua kuandaa tamasha lake na jinsi ya kucheza na kujipa promo ili watu wamlipe ni nani mwenye Elimu inayomsaidia mtu husika ? Na wewe na Umahili wako wa theoretical physics unaweza kufanya anachofanya ?Hiyo informal education ni ipi kwa Tanzania nikusaidie nchi tajiri zote hakuna hata moja inamtaji wa vilaza
Kama huoni umuhimu wa formal education tunasafari ndefu sana kama taifa na ndo maana ni nchi maskini
formal kwani miaka ya zamani haikuwepo au??elimu zote muhimu hakuna hii kubwa kuliko ileHiyo informal education ni ipi kwa Tanzania nikusaidie nchi tajiri zote hakuna hata moja inamtaji wa vilaza
Kama huoni umuhimu wa formal education tunasafari ndefu sana kama taifa na ndo maana ni nchi maskini
Kuwa Tajiri namba moja duniani sio kama kuimba komasava.Nimeona huko x mwanamziki mmoja anasema lengo lake ni kuwa tajiri namba moja duniani.
Yes, elimu ni muhimu ila ipo na bahati pia, sometimes na ulozi,
Let's see.
nimependa sana hiyo comments so nice and good argument piaHivi unadhani kuna binadamu ambae hana elimu ? Au hata haujui maana ya Elimu ? Unamuongelea Diamond kati yako wewe mwenye degree zako labda za quantum physics (theory) na yeye anavyopangilia muziki wake anajua wateja wake wanataka nini anajua kuandaa tamasha lake na jinsi ya kucheza na kujipa promo ili watu wamlipe ni nani mwenye Elimu inayomsaidia mtu husika ? Na wewe na Umahili wako wa theoretical physics unaweza kufanya anachofanya ?
Usipende ku complicate life.....
πππKwanza aanze kuwa tajiri namba moja tandale. Kuna watu vichas sana, tatizo masikini akipata kidogo anaona kama wengine hawana ndio kinachomsumbua yule dogo
πππBakhresa hayupo kwenye management muda mrefu sana. Watoto wake wote wamesoma vyuo vya maana duniani ambavyo wewe kwenda kusoma hata kizazi chako cha 100 hakitaenda kusoma. Utaishia kupeleka watoto na vitukuu vyako Namtumbo Secondary School
Kwa akili kama zako ndo moja ya sababu ya Tanzania kuendelea kuwa umaskiniHivi unadhani kuna binadamu ambae hana elimu ? Au hata haujui maana ya Elimu ? Unamuongelea Diamond kati yako wewe mwenye degree zako labda za quantum physics (theory) na yeye anavyopangilia muziki wake anajua wateja wake wanataka nini anajua kuandaa tamasha lake na jinsi ya kucheza na kujipa promo ili watu wamlipe ni nani mwenye Elimu inayomsaidia mtu husika ? Na wewe na Umahili wako wa theoretical physics unaweza kufanya anachofanya ?
Usipende ku complicate life.....
Minaongelea zama hizi we unaongelea mambo ya zamaniformal kwani miaka ya zamani haikuwepo au??elimu zote muhimu hakuna hii kubwa kuliko ile
Wewe ndio hautambui hata unachoongelea na ndio tatizo kubwa la nchi yetu ndio maana tunaendelea kuwa masikini watu mnakumbatia vyeti kuliko hata uelewa..., Diamond mmoja kwa Taifa hili ni bora kuliko graduates milioni moja ambao walichofanya hakiwasaidii wao wala jamii inayowazunguka...Kwa akili kama zako ndo moja ya sababu ya Tanzania kuendelea kuwa umaskini
Endelea kukumbatia ujinga
Kuna uhalisia na ujinga alichoongea yeye ni ujinga ila kwa level yake ya ufahamu hatushangai, ila kwa mtu mwenye uelewa anajua kama dogo yupo ndotoniπππ
Kwahiyo jamaa kusema kuwa ndoto yake ni kuwa tajiri namba moja duniani tayari ni kosa, ameshaumiza hisia zako, anajivuna?
Kumbe unaelewa kuwa level yake ya ufahamu ni ndogo, why useme masikini akipata anaona kama wengine hawana?Kuna uhalisia na ujinga alichoongea yeye ni ujinga ila kwa level yake ya ufahamu hatushangai, ila kwa mtu mwenye uelewa anajua kama dogo yupo ndotoni