Huwezi lazimisha Mwanamke akuheshimu, Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda

Huwezi lazimisha Mwanamke akuheshimu, Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda

Mwanamke kama anakupenda hilo sio tatizo

Tatizo linakuja wengi huoa na kuunda familia na wanawake ambao wanajua kabisa hawawapendi. Na ndio hayo ya kumzuia asiende kwa hofu ya kuchapiwa.

Mwanamke anayesaliti anakusaliti akiwa nyumbani kwako moyoni. Mwilini anapoenda kuchapwa ni matokeo ya usaliti uliopo moyoni mwake ambao upo hata úkimfungia ndani.
Wewe umeangalia upande mmoja, je akienda semina wiki3 nani atalea watoto ndani?
 
Na wala usijaribu kuwaelewa. Wapo waliojaribu kuwa elewa ila sasa ni walimu na wanafalsafa wazuri sana kwa yale waliyokutana nayo.Mwanamke anaweza kukutamkia "na kupenda sana" hapo anakuaga anatoka kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine.
 
Wewe umeangalia upande mmoja, je akienda semina wiki3 nani atalea watoto ndani?

Duuh!
Mkuu unaishi dunia ipi?
Siku hizi kuna Watu wanafanya kazi za uangalizi wa watoto. Na hiyo ni tangu zamani kwa Watu wa tabaka na familia kubwa na zakisomi.
 
Na wala usijaribu kuwaelewa. Wapo waliojaribu kuwa elewa ila sasa ni walimu na wanafalsafa wazuri sana kwa yale waliyokutana nayo.Mwanamke anaweza kukutamkia "na kupenda sana" hapo anakuaga anatoka kumbe anaenda kwa mwanaume mwingine.

Mwanamke anayekupenda hawezi kukuambia anakupenda.
 
Mwanamke anaweza akakupenda mwanangu na akashindwa kukupa hela simply kwa sababu hana. Unakuta kipato chake ni kidogo sana, sasa atakupa nini ndugu yangu..? Lakini sio kwamba hakupendi ni basi tu hana. Same thing inaweza tokea kwa mwanaume kama hana cha kukupa. Hakupi kwa sababu hana sio kwa sababu hakupendi.
 
HUWEZI LAZIMISHA MWANAMKE AKUHESHIMU, MWANAMKE ANAMHESHIMU MWANAUME ANAYEMPENDA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Wanaume wengi hudhani kúmpiga Mwanamke ndio humfanya Mwanamke awe mtiifu na mwenye heshima. Wengine huwafokea na kuwatukana na kuwatolea maneno makali kwa kudhani kufanya hivyo ndio humfanya Mwanamke amheshimu.
Elewa Mwanamke sio mtoto mpaka umpige. Elewa, Mwanamke ni kiumbe pekee chenye kisasi. Elewa Mwanamke hawezi kusahau jambo baya lolote hata moja ambalo umemfanyia hasa ukimpiga àu kumfanyia ushenzi wowote.

Wazee wetu wengi wakifikisha miaka kuanzia hamsini (50+yrs) huanza kupewa kiinua mgongo chao kwa yale yote waliyofanyia Wake zao kipindi cha nyuma.
Sasa kijana anapompiga mkewe, au kumfokea kwa maneno ya kudhalilisha, alafu akaona Mwanamke wake amekaa kimya wanadhani ndio heshima imerudi. Kumbe hawa viumbe wamejiweka kiporo ambacho wanauhakika watakinywea na chai ya moto yenye tangawizi na mdalasini. Wakati huo kiporo ambaye ni wewe utakuwa wabaridi umepoa unakaribia kuchacha.

Asije akakudanganya mtu kuwa kukusanya pesa pekee kutakuondoa na kadhia ya mkeo uliyemnyanyasa. Njia pekee labda ni kupeana talaka. Vinginevyo hata uwe nani, nasema hata uwe nani. Lazima upasuke.

Wengine hufikiria heshima wataipata kwa kutoa pesa, na hiyo hupelekea kutafuta pesa kwa nguvu zote na kuwapa wake zao lakini mwisho wa siku heshima hawapewi.

Taikon Master kama mtaalamu wa saikolojia, falsafa, na mwanasosholojia ninakuambia kuwa kwenye hii dunia Mwanamke hawezi kukuheshîmu kisa unampa pesa, au kukuheshîmu kisa unampiga. Huwezi force heshima ya Mwanamke kwako.

Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda bila kujali mwanaume huyo yupo katika nafasi ipi,

Hata uwe Rais, hata uwe mfalme, hata uwe mkuu majeshi, hata uwe nani. Mwanamke ambaye utamuita mkeo au ambaye utalala naye uchi mkakutana kimwili hawezi kukuheshîmu kisa hicho cheo chako au mapesa yako.

Mwanamke huogopa zaidi kumsaliti mwanaume anayempenda kuliko kitu chochote.
Kuwa mkuu wa majeshi, au Rais au jambazi hakumuogopeshi Mwanamke asiku-cheat.

Elewa Mwanamke woga wake upo katika hisia zake. Mwanamke anaogopa zaidi kupoteza kile kinachompa furaha.
Elewa, Mwanamke anaheshimu kile kinachompa furaha. Na mtu anayempenda raha ndiye anayempa raha.

Ukiona upo kwenye kundi la wale wanaume wanaodhani wanawake hawatoi pesa zao kwa wanaume jua huyo Mwanamke uliyenaye hakupendi. Na kama hakundi automatically hakuheshimu wala kukutii ila anakuigizia.

Ukiona upo na mwanamke ambaye chake ni chake lakini chako ni Chenu be aware, huyo hakupendi na automatically hakuheshimu ila anachokifanya ni unafiki.

Mtu anayesema Mwanamke hapendi lakini anapaswa awe mtiifu anashindwa kuelewa kuwa Utiifu ni matokeo ya upendo uliopitiliza.
Kumaanisha Mwanamke anatakiwa akupende sana ili awe mtiifu kwako. Huwezi mtii mtu usiyempenda. Kama unamtii mtu usiyempenda tafsiri yake ni kuwa unamwogopa.
Kuna heshima au Utiifu na kuja hofu au Woga.

Elewa kuwa hakuna pesa yoyote ya kununua upendo wa Mwanamke, asije akakudanganya mtu yeyote.
Utapigwa na kitu kizito. Upendo haununuliwi.

Elewa, Wanawake huipata pesa kipaombele baada ya ku - disappontiwa, kuumizwa na kusalitiwa na wanaume wanaowapenda.
Mwanamke yeyote aliyeumizwa na mwanaume aliyempenda sana hubadilika kwa kiwango cha juu.

Elewa huwezi fanya lolote kumpa furaha Mwanamke ambaye hana furaha. Furaha ya Mwanamke ipo kwa mwanaume anayempenda.

Usijesema sikukwambia. Hivyo ndivyo utakavyoishi ña Wanawake Mwanangu

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Ukisoma maandiko mwanamke alazimishwi kukuheshimu mwanamke anatakiwa amtiii mwanamke...na mwanamume ampendee mwanamke

Ov
 
Stress inategemea chanzo chake ni nini? Hata sisi wanaume tupo vivyohivyo

Mwanamke lazima aweze kuihudumia familia yake. Iwe yupo ndoani au hayupo. Mwanamke ni mtu kama alivyo mwanaume.
Na Mwanamke mtafutaji ndiye mwenye upendo wa dhati tofauti na yule ambaye anahudumiwa tuu nyumbani ambaye ndiye unayemuelezea hapo.
"Mwanamke lazima aweze kuihudumia familia yake"

Hata kama akiweza bado nafasi yako kama mwanaume itabaki palepale, vinginevyo atakuja mwingine aihudumie familia yake kama utakavyo na ndio kitakuwa chanzo chake cha kiburi, ajabu unataka kuheshimiwa huku ukiwa na mchango sawa na mwanamke...

Hiyo nyumba yako itakuwa na vichwa viwili vya familia, na huo ndio utakuwa mwanzo wa matatizo mbele ya safari.
 
Ko na wanaume wanaosaliti pia una maana kuwa wanakuwa hawana upendo kwa wake zao au hiyo inakuwa applied kwa wanawake tu?
 
Umenena la maana sana mkuu.Hili lizingatiwe na wanaume wote
 
Pumba kama pumba nyingine! Heshima huwa inatafutwa ukiwa na pesa utaheshimiwa na kuogopwa na kila mtu.
 
HUWEZI LAZIMISHA MWANAMKE AKUHESHIMU, MWANAMKE ANAMHESHIMU MWANAUME ANAYEMPENDA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Wanaume wengi hudhani kúmpiga Mwanamke ndio humfanya Mwanamke awe mtiifu na mwenye heshima. Wengine huwafokea na kuwatukana na kuwatolea maneno makali kwa kudhani kufanya hivyo ndio humfanya Mwanamke amheshimu.
Elewa Mwanamke sio mtoto mpaka umpige. Elewa, Mwanamke ni kiumbe pekee chenye kisasi. Elewa Mwanamke hawezi kusahau jambo baya lolote hata moja ambalo umemfanyia hasa ukimpiga àu kumfanyia ushenzi wowote.

Wazee wetu wengi wakifikisha miaka kuanzia hamsini (50+yrs) huanza kupewa kiinua mgongo chao kwa yale yote waliyofanyia Wake zao kipindi cha nyuma.
Sasa kijana anapompiga mkewe, au kumfokea kwa maneno ya kudhalilisha, alafu akaona Mwanamke wake amekaa kimya wanadhani ndio heshima imerudi. Kumbe hawa viumbe wamejiweka kiporo ambacho wanauhakika watakinywea na chai ya moto yenye tangawizi na mdalasini. Wakati huo kiporo ambaye ni wewe utakuwa wabaridi umepoa unakaribia kuchacha.

Asije akakudanganya mtu kuwa kukusanya pesa pekee kutakuondoa na kadhia ya mkeo uliyemnyanyasa. Njia pekee labda ni kupeana talaka. Vinginevyo hata uwe nani, nasema hata uwe nani. Lazima upasuke.

Wengine hufikiria heshima wataipata kwa kutoa pesa, na hiyo hupelekea kutafuta pesa kwa nguvu zote na kuwapa wake zao lakini mwisho wa siku heshima hawapewi.

Taikon Master kama mtaalamu wa saikolojia, falsafa, na mwanasosholojia ninakuambia kuwa kwenye hii dunia Mwanamke hawezi kukuheshîmu kisa unampa pesa, au kukuheshîmu kisa unampiga. Huwezi force heshima ya Mwanamke kwako.

Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda bila kujali mwanaume huyo yupo katika nafasi ipi,

Hata uwe Rais, hata uwe mfalme, hata uwe mkuu majeshi, hata uwe nani. Mwanamke ambaye utamuita mkeo au ambaye utalala naye uchi mkakutana kimwili hawezi kukuheshîmu kisa hicho cheo chako au mapesa yako.

Mwanamke huogopa zaidi kumsaliti mwanaume anayempenda kuliko kitu chochote.
Kuwa mkuu wa majeshi, au Rais au jambazi hakumuogopeshi Mwanamke asiku-cheat.

Elewa Mwanamke woga wake upo katika hisia zake. Mwanamke anaogopa zaidi kupoteza kile kinachompa furaha.
Elewa, Mwanamke anaheshimu kile kinachompa furaha. Na mtu anayempenda raha ndiye anayempa raha.

Ukiona upo kwenye kundi la wale wanaume wanaodhani wanawake hawatoi pesa zao kwa wanaume jua huyo Mwanamke uliyenaye hakupendi. Na kama hakundi automatically hakuheshimu wala kukutii ila anakuigizia.

Ukiona upo na mwanamke ambaye chake ni chake lakini chako ni Chenu be aware, huyo hakupendi na automatically hakuheshimu ila anachokifanya ni unafiki.

Mtu anayesema Mwanamke hapendi lakini anapaswa awe mtiifu anashindwa kuelewa kuwa Utiifu ni matokeo ya upendo uliopitiliza.
Kumaanisha Mwanamke anatakiwa akupende sana ili awe mtiifu kwako. Huwezi mtii mtu usiyempenda. Kama unamtii mtu usiyempenda tafsiri yake ni kuwa unamwogopa.
Kuna heshima au Utiifu na kuja hofu au Woga.

Elewa kuwa hakuna pesa yoyote ya kununua upendo wa Mwanamke, asije akakudanganya mtu yeyote.
Utapigwa na kitu kizito. Upendo haununuliwi.

Elewa, Wanawake huipata pesa kipaombele baada ya ku - disappontiwa, kuumizwa na kusalitiwa na wanaume wanaowapenda.
Mwanamke yeyote aliyeumizwa na mwanaume aliyempenda sana hubadilika kwa kiwango cha juu.

Elewa huwezi fanya lolote kumpa furaha Mwanamke ambaye hana furaha. Furaha ya Mwanamke ipo kwa mwanaume anayempenda.

Usijesema sikukwambia. Hivyo ndivyo utakavyoishi ña Wanawake Mwanangu

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uko sahihi mkuu. Mwanamke anayekupenda ni mtoaji sana. Mafundisho yako yameniokoa kwenye shimo la hatari.
Ukielewa anachosema Taikon, hutakuja chukia wanawake ila utafanya uchaguzi kumpata mwanamke sahihi kwako.
 
Pumba kama pumba nyingine! Heshima huwa inatafutwa ukiwa na pesa utaheshimiwa na kuogopwa na kila mtu.
Ni kweli ila sio kwa suala la mwanamke. Usitumie pesa kama msingi wa mahusiano, hutakuja kuamini kitakachokutokea ukifilisika.
 
ujuzi nishabeba,, bado uyo mwanaume wa kumpenda na kumheshimu😄
 
HUWEZI LAZIMISHA MWANAMKE AKUHESHIMU, MWANAMKE ANAMHESHIMU MWANAUME ANAYEMPENDA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Wanaume wengi hudhani kúmpiga Mwanamke ndio humfanya Mwanamke awe mtiifu na mwenye heshima. Wengine huwafokea na kuwatukana na kuwatolea maneno makali kwa kudhani kufanya hivyo ndio humfanya Mwanamke amheshimu.
Elewa Mwanamke sio mtoto mpaka umpige. Elewa, Mwanamke ni kiumbe pekee chenye kisasi. Elewa Mwanamke hawezi kusahau jambo baya lolote hata moja ambalo umemfanyia hasa ukimpiga àu kumfanyia ushenzi wowote.

Wazee wetu wengi wakifikisha miaka kuanzia hamsini (50+yrs) huanza kupewa kiinua mgongo chao kwa yale yote waliyofanyia Wake zao kipindi cha nyuma.
Sasa kijana anapompiga mkewe, au kumfokea kwa maneno ya kudhalilisha, alafu akaona Mwanamke wake amekaa kimya wanadhani ndio heshima imerudi. Kumbe hawa viumbe wamejiweka kiporo ambacho wanauhakika watakinywea na chai ya moto yenye tangawizi na mdalasini. Wakati huo kiporo ambaye ni wewe utakuwa wabaridi umepoa unakaribia kuchacha.

Asije akakudanganya mtu kuwa kukusanya pesa pekee kutakuondoa na kadhia ya mkeo uliyemnyanyasa. Njia pekee labda ni kupeana talaka. Vinginevyo hata uwe nani, nasema hata uwe nani. Lazima upasuke.

Wengine hufikiria heshima wataipata kwa kutoa pesa, na hiyo hupelekea kutafuta pesa kwa nguvu zote na kuwapa wake zao lakini mwisho wa siku heshima hawapewi.

Taikon Master kama mtaalamu wa saikolojia, falsafa, na mwanasosholojia ninakuambia kuwa kwenye hii dunia Mwanamke hawezi kukuheshîmu kisa unampa pesa, au kukuheshîmu kisa unampiga. Huwezi force heshima ya Mwanamke kwako.

Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda bila kujali mwanaume huyo yupo katika nafasi ipi,

Hata uwe Rais, hata uwe mfalme, hata uwe mkuu majeshi, hata uwe nani. Mwanamke ambaye utamuita mkeo au ambaye utalala naye uchi mkakutana kimwili hawezi kukuheshîmu kisa hicho cheo chako au mapesa yako.

Mwanamke huogopa zaidi kumsaliti mwanaume anayempenda kuliko kitu chochote.
Kuwa mkuu wa majeshi, au Rais au jambazi hakumuogopeshi Mwanamke asiku-cheat.

Elewa Mwanamke woga wake upo katika hisia zake. Mwanamke anaogopa zaidi kupoteza kile kinachompa furaha.
Elewa, Mwanamke anaheshimu kile kinachompa furaha. Na mtu anayempenda raha ndiye anayempa raha.

Ukiona upo kwenye kundi la wale wanaume wanaodhani wanawake hawatoi pesa zao kwa wanaume jua huyo Mwanamke uliyenaye hakupendi. Na kama hakundi automatically hakuheshimu wala kukutii ila anakuigizia.

Ukiona upo na mwanamke ambaye chake ni chake lakini chako ni Chenu be aware, huyo hakupendi na automatically hakuheshimu ila anachokifanya ni unafiki.

Mtu anayesema Mwanamke hapendi lakini anapaswa awe mtiifu anashindwa kuelewa kuwa Utiifu ni matokeo ya upendo uliopitiliza.
Kumaanisha Mwanamke anatakiwa akupende sana ili awe mtiifu kwako. Huwezi mtii mtu usiyempenda. Kama unamtii mtu usiyempenda tafsiri yake ni kuwa unamwogopa.
Kuna heshima au Utiifu na kuja hofu au Woga.

Elewa kuwa hakuna pesa yoyote ya kununua upendo wa Mwanamke, asije akakudanganya mtu yeyote.
Utapigwa na kitu kizito. Upendo haununuliwi.

Elewa, Wanawake huipata pesa kipaombele baada ya ku - disappontiwa, kuumizwa na kusalitiwa na wanaume wanaowapenda.
Mwanamke yeyote aliyeumizwa na mwanaume aliyempenda sana hubadilika kwa kiwango cha juu.

Elewa huwezi fanya lolote kumpa furaha Mwanamke ambaye hana furaha. Furaha ya Mwanamke ipo kwa mwanaume anayempenda.

Usijesema sikukwambia. Hivyo ndivyo utakavyoishi ña Wanawake Mwanangu

Robèrt Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Tatizo ukionesha kumpenda mwanamke anakuona zoba ,kadharau kanaanza na jina la utani unapewa [emoji848]
 
Back
Top Bottom