Huwezi lazimisha Mwanamke akuheshimu, Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda

Huwezi lazimisha Mwanamke akuheshimu, Mwanamke anamheshimu mwanaume anayempenda

"Mwanamke lazima aweze kuihudumia familia yake"

Hata kama akiweza bado nafasi yako kama mwanaume itabaki palepale, vinginevyo atakuja mwingine aihudumie familia yake kama utakavyo na ndio kitakuwa chanzo chake cha kiburi, ajabu unataka kuheshimiwa huku ukiwa na mchango sawa na mwanamke...

Hiyo nyumba yako itakuwa na vichwa viwili vya familia, na huo ndio utakuwa mwanzo wa matatizo mbele ya safari.

Sijasema mwanaume aache majukumu ya kuhudumia familia.
Nyumba inajengwa na Mke na mume. Hakuna nyumba au familia imara inayojengwa na Baba au mwanaume pekee. Hiyo nyumba haipo na haitakuwa kutokea.

Tafsiri ya Mwanamke ni msaidizi wa mwanaume kwenye majukumu ikiwepo hilo la kuhudumia familia..


Kasome Mithali 31 hapo utampata Mwanamke mwenye sifa ya kuwa mke.

Kinachofanya familia iyumbe na isiwe imara ni ukosefu wa upendo, ufinyu wa maarifa, na tofauti kubwa ya imani na falsafa Baina ya Mwanamke na mwanaume.

Kiburi cha mwanamke kipo kama kiburi cha mwanaume tuu.
Hata mwanamke asipochangia chochote wanaume wengi huwanyanyasa, huwafanya wanawake kiburi na ukatili.

Ni haki ya mke na mume wote kuhudumia familia yao watakaoijenga.

Mwanamke kukaa nyumbani bila ya kazi yoyote imewafanya na kuwapa wanauwk wengi kiburi na jeuri ya kuwanyanyasa wanawake na kuwaona kama wanawake hawawezi kufanya kazi jambo ambalo sio sahihi.
 
Mwanamke anaweza akakupenda mwanangu na akashindwa kukupa hela simply kwa sababu hana. Unakuta kipato chake ni kidogo sana, sasa atakupa nini ndugu yangu..? Lakini sio kwamba hakupendi ni basi tu hana. Same thing inaweza tokea kwa mwanaume kama hana cha kukupa. Hakupi kwa sababu hana sio kwa sababu hakupendi.

Kitu kama huna utampaje mtu hata ingekuwa ni wewe?
 
Kuna kitu kikubwaa nimejifunzaa ha
Mwanamke anapenda kama ilivyo mwanaume. Tena anapenda zaidi ya mwanaume ndio maana huwa mtiifu.
Huwezi kumtii mtu usiyempenda.

Pesa haibadili moyo wa mtu akiwepo hiyo Mwanamke.
Pesa inampa uhuru mtu wa kuonyesha hulka yake halisi.

Mwanamke kama alikuwa hakupendi akiwa na pesa ndio wakati wa kuonyesha kile ambacho ulikuwa hukioni.

Pia elewa, hata ukizeeka au ukiishiwa au kufilisika ndio wakati ambao Mwanamke atakuwa huru kuonyesha yaliyomoyoni mwake. Kama alikuwa hakupendi ndio utajua lakini kuna kulipa kisasi.

Hata wanaume sisi tulipata hizo pesa mbona wengi tunaanzisha mahusiano mengine na kuwa na MICHEPUKO au kuoa kabisa wanawake wengine?
Sio kwamba pesa ndio zimetubadilisha, ila pesa zimetupa uhuru wa kujionyesha dhahiri sisi ni watu wa aina gani.

Mwanamke anapenda. Sema wengi hawapati bahari ya kuolewa na wanaume wanaowapenda ndio maana unasema ulichokisema
Kuna kitu kikubwaa nimejifunzaa hapaaa...kongole mtoa mada🙏
 
Ufafanuzi kidogo hapaa...

Mara nyingi Watu wenye upendo uliopitiliza( upendo wa dhati) huonyesha matendo zaidi kuliko maneno. Sio tuu kwa wanawake hata kwa sisi wanaume.

Hata sisi wanaume tunapokutana na chuma kilichouteka moyo hatunaga maneno mengi zaidi matendo ndio yatajidhirísha. Kumwambia mtu unayempenda nakupenda ni kazi kuliko kumwambia mtu usiyempenda kuwa unampenda.
 
# ROCA FELLA

MWANAMKE AMEUMBWA NA MADHAIFU MENGI KULIKO MWANAUME INGAWAJE WANA WA ADAMU WOTE TUNA MADHAIFU YETU, MWANDISHI AMEELEZA NA KUFAFANUA MADA KAMA IPASAVYO PONGEZI KWAKE.

USHAURI ZAIDI, KWA SASA DUNIA INAZIDI KWENDA KASI KILA KITU KINABADILIKA HASA UPANDE WA MAPENZI IMEKUWA NI MWIBA KWA WAPENZI NA WANA NDOA WENGI WANAPITIA CHANGAMOTO NYINGI LAKINI MSICHOKE KUMWOMBA MOLA MLEZI YEYE NI MLEZI WA WOTE KILA MWENYE KUHITAJI HURUMA YAKE.
Nipo napiga punyeto kwa profile pic yako
 
Mara nyingi Watu wenye upendo uliopitiliza( upendo wa dhati) huonyesha matendo zaidi kuliko maneno. Sio tuu kwa wanawake hata kwa sisi wanaume.

Hata sisi wanaume tunapokutana na chuma kilichouteka moyo hatunaga maneno mengi zaidi matendo ndio yatajidhirísha. Kumwambia mtu unayempenda nakupenda ni kazi kuliko kumwambia mtu usiyempenda kuwa unampenda.
Aiseee naendeleaa kujifunzaa
 
Back
Top Bottom