Huwezi nishawishi Nyerere alikuwa Rais bora

Huwezi nishawishi Nyerere alikuwa Rais bora

Pamoja na mazuri yake mengi sana kwa Taifa lakini hakuna jambo alichemka kama kueneza sera za kishamba na kinafiki kama ujamaa. Tupo hapa tulipo kwasababu ya sera zake na

Nani kasema Nyerere genius?
Nyerere alikuwa anahutubia mkutano Jangwani 1959 anasema yeye peke yake Tanganyika ndiye mwenye degree.
Sasa unadhani Watanganyika walipokuwa wanamtafuta rais wangemchagua nani?
Na siasa majeshini
 
Rais Nyerere alijitahidi Sana kuijenga nchi hii 1. Kuondoa ukabila kwa kuanzisha mfumo wa Ki Swahili kuwa lugha ya Taifa ,Leo ukienda mkoa wowote utaishi na kufanya Ujasilimali bila shida. Baadhi ya nchi ndani ya nchi wanabaguana kwa majimbo kama umezaliwa Iringa huruhusiwi kwenda Dodoma kuishi kila watu na mkoa wao mkoa ye ye rasilimali nyingi ndio watu wa mkoa huo wanakuwa na maendeleo makubwa. 2. Nyerere kila mkoa alijenga viwanda kama vya nguo , mwatex Mwanza, Mbeya tex Mbeya, Kiltex Dar, Arusha, mutexmara, Moro tex morogoro Tz breweries Dar, Arusha nk. Viwanda vote vilitoa ajira nyingi Sana kwa watanzania pamoja na kutoa mafunzo (field kwa wanafunzi wakiwa vyuoni.) Alishawishi Wawekezaji kama kujengwa kiwanda cha kuunganisha magari ya Scania Kibaha waTanzania wengi walipata ujuzi mkubwa wa kufanya kazi pale na wanafunzi wa vyuo vikuu walipata mafunzo kwa vitendo pale kiwandani mpaka Leo tuna mafundi wengi waTanzania wazuri Sana wa Scania wapo Africa kusini,Zambia,Kongo,Kenya,Uganda,UK nk haya ni matunda ya Nyerere. 3.Nyerere alihimiza kilimo ndio maana waTanzania wengi Wanamili ki aridhi alisema tunahitaji 1.Watu 2.Aridhi 3.uongozi na siasa safi . 4. WaTanzania mpaka Leo tunachangiana Harusi,Mahari (mgowo) na maisha yanaenda. 5. Nyerere hakuwa na Tamaa ya utajiri alipambana na ufisadi na kuanzisha Azimo la Arusha 1967 na kuweka miiko ya uongozi . Azimo la Arusha linafundishwa na baadhi ya vyuo vikuu Marekani ngazi ya Masters katika siasa na uta wala. Mwalimu alifanya mengi kwa maendeleo ya nchi yetu tumuenzi kwa kufufua viwanda kama vya nguo, mfano Mbeya Tex , Sungura tex,Kiltex, morogoro pale Kihonda tufufue viwanda na kujengwa vipya ili watoto wetu ,wajukuu zetu wapate ajira. Mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu baba yetu tunakukumbuka, ( Wimbo wa TOT Komba)
 
Hilo moja tu linatosha kuonyesha alikuwa Rais Bora kweli kweli !!

China imefika hapo kwa sababu ya Sheria zao za kutumia mkono wa Chuma kwa wezi wa mali za Nchi !!
Huku wezi wa mali za umma ndiyo wasimamizi wa sheria, msimamizi wa mali za umma anatakiwa awe mtu msafi haswa siyo huyu anajaza watu wa dini ake na ndugu
 
Rais Nyerere alijitahidi Sana kuijenga nchi hii 1. Kuondoa ukabila kwa kuanzisha mfumo wa Ki Swahili kuwa lugha ya Taifa ,Leo ukienda mkoa wowote utaishi na kufanya Ujasilimali bila shida. Baadhi ya nchi ndani ya nchi wanabaguana kwa majimbo kama umezaliwa Iringa huruhusiwi kwenda Dodoma kuishi kila watu na mkoa wao mkoa ye ye rasilimali nyingi ndio watu wa mkoa huo wanakuwa na maendeleo makubwa. 2. Nyerere kila mkoa alijenga viwanda kama vya nguo , mwatex Mwanza, Mbeya tex Mbeya, Kiltex Dar, Arusha, mutexmara, Moro tex morogoro Tz breweries Dar, Arusha nk. Viwanda vote vilitoa ajira nyingi Sana kwa watanzania pamoja na kutoa mafunzo (field kwa wanafunzi wakiwa vyuoni.) Alishawishi Wawekezaji kama kujengwa kiwanda cha kuunganisha magari ya Scania Kibaha waTanzania wengi walipata ujuzi mkubwa wa kufanya kazi pale na wanafunzi wa vyuo vikuu walipata mafunzo kwa vitendo pale kiwandani mpaka Leo tuna mafundi wengi waTanzania wazuri Sana wa Scania wapo Africa kusini,Zambia,Kongo,Kenya,Uganda,UK nk haya ni matunda ya Nyerere. 3.Nyerere alihimiza kilimo ndio maana waTanzania wengi Wanamili ki aridhi alisema tunahitaji 1.Watu 2.Aridhi 3.uongozi na siasa safi . 4. WaTanzania mpaka Leo tunachangiana Harusi,Mahari (mgowo) na maisha yanaenda. 5. Nyerere hakuwa na Tamaa ya utajiri alipambana na ufisadi na kuanzisha Azimo la Arusha 1967 na kuweka miiko ya uongozi . Azimo la Arusha linafundishwa na baadhi ya vyuo vikuu Marekani ngazi ya Masters katika siasa na uta wala. Mwalimu alifanya mengi kwa maendeleo ya nchi yetu tumuenzi kwa kufufua viwanda kama vya nguo, mfano Mbeya Tex , Sungura tex,Kiltex, morogoro pale Kihonda tufufue viwanda na kujengwa vipya ili watoto wetu ,wajukuu zetu wapate ajira. Mwalimu baba yetu tunakushukuru, mwalimu baba yetu tunakukumbuka, ( Wimbo wa TOT Komba)
We nenda Zanzibar kama utaruhusiwa kumiliki kitambulisho cha mkazi au ardhi
 
ila alikuwa dictator
Hata zama hizi Nchi zote za Bara la Africa zinahitaji kupata Madikteta Waadilifu !

Mabeberu huwaita hivyo wale waadilifu waliokaa madarakani muda mrefu !
Kwa sababu huwa wanakoseshwa vile wanavyovihitaji kwenye Nchi husika wavipate kwa Bei Cheee!
Kama vile Dhahabu na Gesi !
Ndio maana wakaleta kitu inaitwa Demokrasia ya kugombania madaraka kila baada ya miaka mitano ili msiwe na mawazo ya kuzilinda Mali za Nchi !
Badala yake muwe mnafikiria Uchaguzi ulio mbele yenu !
Na kila mmoja anafikiria namna ya kuwahi wahi ili asije kuonekana alikuwa mshamba. 😳🙄
 
1.)Ukomunisti lilikuwa wazo zuri ila lisilotekelezeka badala ya kulialia tungejifunza china mbona wao wana maendeleona sio waoga? Urusi pia?
Tupe nchi ya afrika ilofanikiwa saana kwasababu ya ubepari!!
2.)Ukomunisti ulileta uoga? Mbona china,Cuba,urusi si waoga? Kama ni uoga basi South Afrika ndowangekuwa waoga haswa. Mwalimu mmoja anawezaje kufanya nchi iogope
Tatizo nihao watu...
3.)sera ya kuweka watu pamoja lengolilikuwa zuri (ili wapate huduma kirahosi) ila ilikosewa kiutendaji kama vile binadamu tunavyokosea mambo kadhaa ktk maisha.
Hakuna kiongozi ni malaika so kukosea ni ubinadamu labda uwe muoga kujaribu mambo mapya
4.) Ni upumbafu mtupu kumlaumu rais wa kwanza kuhusu katiba. Vijana amkeni mdai katiba mpya msilaletake mletewe kitandani!!
Poor minds hulaumu kwanini hawajapewa vitu vizuri alakini best minds huvitafuta na kuvipambamia vilivyo vizuri...
You're completely wrong and out of point.
1. (a) Endapo kama Ukomunisti lilikuwa wazo zuri kama unavyodai, Je, inawezekana vipi wazo liwe zuri halafu lishindwe kutekelezeka? How comes? Uzuri wake ni upi Basi?
(b) China Wana sera mseto, hawana utawala wenye itikadi Moja tu ya siasa za ukomunisti, Bali wamechanganya itikadi mbalimbali kama vile Ukomunisti, Ubepari. China walisha-adopt sera ya Ubepari tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960 hata Urusi nao wapo hivyo hivyo, that's why ndani ya China au Urusi kuna makampuni makubwa Sana ya kutoka nchi za kibepari hususani nchi za Magharibi, e.g. Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Canada, Australia, n.k.
Aidha, hata kwenye hizo nchi za Magharibi nako pia kuna Makampuni makubwa Sana ya biashara kutoka China na Urusi. Na biashara kwenye makampuni hayo zinafanyika chini ya misingi ya siasa za kibepari, Wala siyo kwa misingi ya Ukomunisti. Sera za kibepari chini ya taasisi za kimataifa kama vile WB, IMF, WTO, n.k ndizo zinazotumika katika kuendesha biashara Kati ya mataifa hayo.
(c) Nchi za Afrika ya Kusini, Nigeria, Morocco, na Misri zilizopo barani Afrika ndizo baadhi ya nchi ambazo zinefanikiwa zaidi kutokana na Sera za Siasa za Ubepari. South Africa ni mfano mzuri zaidi kati ya hizo kwani Utawaka wa Makaburu uli-adopt Ubepari tangu mwishoni mwa miaka ya 1800's, hususani kuhusiana na suala zima la biashara ya madini ya Vito.
2. Ukomunisti huwafanya Watu kuwa dhaifu kifikra, hujenga raia waoga kwa watawala wao, husababisha raia kuwa wanafiki, wasioweza kuhoji, raia-misukule, n.k.
Aidha, South Africa siyo nchi ya kikomunisti.
3. Sera ya kuwaweka Watu pamoja aliyofanya Mwl. Nyerere chini ya Siasa za kikomunisti/ujamaa kamwe haikuwa na lengo zuri kwani iliua kabisa Real Estate Industry katika nchi hii.
Endapo kama Sera hiyo ingefanyika kwa kuzingatia misingi imara ya ubepari, basi sera hiyo ingetoa matokeo mazuri zaidi, na tena ingeing'arisha nchi kwa kuwa na Mipango-miji Bora katika bara hili.

4. Nyerere anastahili kubeba lawama nyingi zaidi kwa kuifanya nchi hii kuwa na misingi mibovu karibia kwenye kila nyanya za maisha ya Watu, ukianzia na kutunga Katiba ya nchi ambayo ni mbaya na isiyofaa.
 
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.

Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.

Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius Taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.

Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.

Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.

Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
Tuhakikishie hilo mkuu
 
Na kumpumzisha ili wagawane nchi vizuri .
Walitafuta sababu ya kuchukua mali za umma na kupeana viwanda kiholela .

Yaani watu walichukua nyumba zote za maeneo muhimu mpaka zile zilizopo karibu na ikulu wakajiuzia kwa bei ya chini ya nyumba iliyoko Mbagala halafu wanamlaumu Nyerere .
Che Mkapa aliuza mashirika na Viwanda karibu 400 !
Na Nyumba pia za Serikali na sehemu zile hot cakes za jijini miamba ikagawana !
Leo eti analaumiwa Nyerere !
Nyerere hata Wanawe hakuwapa hizo Nyumba na hayo maeneo hot cake !
Mwacheni Nyerere apumzike kwa Amani 🙏🙏 !
 
Lawama zote hizi ukifuatilia sana ni kwasababu za kidini tu. Tunawajua walioamua kum-discredit na kum-demonize Nyerere.
Na kumpumzisha ili wagawane nchi vizuri .
Walitafuta sababu ya kuchukua mali za umma na kupeana viwanda kiholela .

Yaani watu walichukua nyumba zote za maeneo muhimu mpaka zile zilizopo karibu na ikulu wakajiuzia kwa bei ya chini ya nyumba iliyoko Mbagala halafu wanamlaumu Nyerere .
B
You're completely wrong and out of point.
1. (a) Endapo kama Ukomunisti lilikuwa wazo zuri kama unavyodai, Je, inawezekana vipi wazo liwe zuri halafu lishindwe kutekelezeka? How comes? Uzuri wake ni upi Basi?
(b) China Wana sera mseto, hawana utawala wenye itikadi Moja tu ya siasa za ukomunisti, Bali wamechanganya itikadi mbalimbali kama vile Ukomunisti, Ubepari. China walisha-adopt sera ya Ubepari tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960 hata Urusi nao wapo hivyo hivyo, that's why ndani ya China au Urusi kuna makampuni makubwa Sana ya kutoka nchi za kibepari hususani nchi za Magharibi, e.g. Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Canada, Australia, n.k.
Aidha, hata kwenye hizo nchi za Magharibi nako pia kuna Makampuni makubwa Sana ya biashara kutoka China na Urusi. Na biashara kwenye makampuni hayo zinafanyika chini ya misingi ya siasa za kibepari, Wala siyo kwa misingi ya Ukomunisti. Sera za kibepari chini ya taasisi za kimataifa kama vile WB, IMF, WTO, n.k ndizo zinazotumika katika kuendesha biashara Kati ya mataifa hayo.
(c) Nchi za Afrika ya Kusini, Nigeria, Morocco, na Misri zilizopo barani Afrika ndizo baadhi ya nchi ambazo zinefanikiwa zaidi kutokana na Sera za Siasa za Ubepari. South Africa ni mfano mzuri zaidi kati ya hizo kwani Utawaka wa Makaburu uli-adopt Ubepari tangu mwishoni mwa miaka ya 1800's, hususani kuhusiana na suala zima la biashara ya madini ya Vito.
2. Ukomunisti huwafanya Watu kuwa dhaifu kifikra, hujenga raia waoga kwa watawala wao, husababisha raia kuwa wanafiki, wasioweza kuhoji, raia-misukule, n.k.
Aidha, South Africa siyo nchi ya kikomunisti.
3. Sera ya kuwaweka Watu pamoja aliyofanya Mwl. Nyerere chini ya Siasa za kikomunisti/ujamaa kamwe haikuwa na lengo zuri kwani iliua kabisa Real Estate Industry katika nchi hii.
Endapo kama Sera hiyo ingefanyika kwa kuzingatia misingi imara ya ubepari, basi sera hiyo ingetoa matokeo mazuri zaidi, na tena ingeing'arisha nchi kwa kuwa na Mipango-miji Bora katika bara hili.

4. Nyerere anastahili kubeba lawama nyingi zaidi kwa kuifanya nchi hii kuwa na misingi mibovu karibia kwenye kila nyanya za maisha ya Watu, ukianzia na kutunga Katiba ya nchi ambayo ni mbaya na isiyofaa.

Misingi mibovu ukilinganisha na nchi gani ya kiafrika yenye rasilimali nyingi kama za kwetu.


Uimara wa nchi ni Dola .

Ukisikia Dola la Kirumi ni Jeshi imara kwa karne nyingi na pia sheria imara na watu wenye uzalendo.

Ukitaka kujua uimara na uwezo wa Nyerere angalia chama alichikiasisi kilivyo na misingi migumu kuivuruga.

Nyerere ndiye Nabii wa Tanzania na mtu aliyekua amebeba maono ya nchi kwa karne nyingi sana.

Chuki za majizi ndizo zinazowasilbua watu na kutaka kuhalalisha wizi na ufisadi.

Watu waliotakiwa kuwa gerezani ndio wanaotumia nguvu kubwa kudhamini ufisadi na kuweka madarakani majizi.

Miiko uongozi wa chama na serikali imefutwa halafu analaumiwa Nyerere .
Nchi isiyo miiko ni nchi inayoongozwa na Watu wenye hulka ya kinyama . Watu wanatumia utashi kuongoza nchi badala ya Sheria .

Hata katiba iliyopo sio mbaya yote bali watawala ndio wabaya wote
 
Sawa. Kwa yeyote aliyeaminishwa na historia (histo-hisia) ya mwandishi wa Kimanyema (ambaye ana personal grudges against Nyerere) atasema hivyo.
Ila wapenda ukwelii tunajua Nyerere hakuwa mdini na alijitahidi sana kupromote usawa kwa wote.
Na ndomana akapewa utakatifu
 
You're completely wrong and out of point.
1. (a) Endapo kama Ukomunisti lilikuwa wazo zuri kama unavyodai, Je, inawezekana vipi wazo liwe zuri halafu lishindwe kutekelezeka? How comes? Uzuri wake ni upi Basi?
(b) China Wana sera mseto, hawana utawala wenye itikadi Moja tu ya siasa za ukomunisti, Bali wamechanganya itikadi mbalimbali kama vile Ukomunisti, Ubepari. China walisha-adopt sera ya Ubepari tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960 hata Urusi nao wapo hivyo hivyo, that's why ndani ya China au Urusi kuna makampuni makubwa Sana ya kutoka nchi za kibepari hususani nchi za Magharibi, e.g. Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Canada, Australia, n.k.
Aidha, hata kwenye hizo nchi za Magharibi nako pia kuna Makampuni makubwa Sana ya biashara kutoka China na Urusi. Na biashara kwenye makampuni hayo zinafanyika chini ya misingi ya siasa za kibepari, Wala siyo kwa misingi ya Ukomunisti. Sera za kibepari chini ya taasisi za kimataifa kama vile WB, IMF, WTO, n.k ndizo zinazotumika katika kuendesha biashara Kati ya mataifa hayo.
(c) Nchi za Afrika ya Kusini, Nigeria, Morocco, na Misri zilizopo barani Afrika ndizo baadhi ya nchi ambazo zinefanikiwa zaidi kutokana na Sera za Siasa za Ubepari. South Africa ni mfano mzuri zaidi kati ya hizo kwani Utawaka wa Makaburu uli-adopt Ubepari tangu mwishoni mwa miaka ya 1800's, hususani kuhusiana na suala zima la biashara ya madini ya Vito.
2. Ukomunisti huwafanya Watu kuwa dhaifu kifikra, hujenga raia waoga kwa watawala wao, husababisha raia kuwa wanafiki, wasioweza kuhoji, raia-misukule, n.k.
Aidha, South Africa siyo nchi ya kikomunisti.
3. Sera ya kuwaweka Watu pamoja aliyofanya Mwl. Nyerere chini ya Siasa za kikomunisti/ujamaa kamwe haikuwa na lengo zuri kwani iliua kabisa Real Estate Industry katika nchi hii.
Endapo kama Sera hiyo ingefanyika kwa kuzingatia misingi imara ya ubepari, basi sera hiyo ingetoa matokeo mazuri zaidi, na tena ingeing'arisha nchi kwa kuwa na Mipango-miji Bora katika bara hili.

4. Nyerere anastahili kubeba lawama nyingi zaidi kwa kuifanya nchi hii kuwa na misingi mibovu karibia kwenye kila nyanya za maisha ya Watu, ukianzia na kutunga Katiba ya nchi ambayo ni mbaya na isiyofaa.
Nadhani Nyerere si wa kulaumiwa. Kama yeye alitawala na kufanya yote hayo kwa takribani miaka 24/25 (tangu 1961 mpaka 1984) na ametachia nchi kwa miaka
 
View attachment 3089373Ni ngumu kunishawishi kuwa Nyerere alikuwa kiongozi bora ngumu sana.

Mtu aliyetengeneza taifa la misukule kamwe hawezi kuwa kiongozi bora.

Propaganda kubwa imefanyika kumchora Nyerere mtakatifu na genius Taifa halijawahi kupata mtu wa hivyo.

Indoctrination imefanyika toka utotoni Nyerere kuonekana bora kila upande.

Jinsi watanzania tulivyo ni masikitiko akili zimeoza.

Huwezi kuwa bora kama unageuza watu wako misukule ili uwatawale vyema.
Hilo litabaki kuwa tatizo lako binafsi maana hata wewe huwezi kutushawishi kuwa wazazi wako walizaa mtoto mwenye hekima na busara.
 
Nyerere ni Rais aliefanikiwa kijamii tuu kutuunganisha watanzania kuwa wamoja nje ya usability, ila mengineyo yote alifeliii
 
You're completely wrong and out of point.
1. (a) Endapo kama Ukomunisti lilikuwa wazo zuri kama unavyodai, Je, inawezekana vipi wazo liwe zuri halafu lishindwe kutekelezeka? How comes? Uzuri wake ni upi Basi?
(b) China Wana sera mseto, hawana utawala wenye itikadi Moja tu ya siasa za ukomunisti, Bali wamechanganya itikadi mbalimbali kama vile Ukomunisti, Ubepari. China walisha-adopt sera ya Ubepari tangu mwanzoni mwa miaka ya 1960 hata Urusi nao wapo hivyo hivyo, that's why ndani ya China au Urusi kuna makampuni makubwa Sana ya kutoka nchi za kibepari hususani nchi za Magharibi, e.g. Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, Canada, Australia, n.k.
Aidha, hata kwenye hizo nchi za Magharibi nako pia kuna Makampuni makubwa Sana ya biashara kutoka China na Urusi. Na biashara kwenye makampuni hayo zinafanyika chini ya misingi ya siasa za kibepari, Wala siyo kwa misingi ya Ukomunisti. Sera za kibepari chini ya taasisi za kimataifa kama vile WB, IMF, WTO, n.k ndizo zinazotumika katika kuendesha biashara Kati ya mataifa hayo.
(c) Nchi za Afrika ya Kusini, Nigeria, Morocco, na Misri zilizopo barani Afrika ndizo baadhi ya nchi ambazo zinefanikiwa zaidi kutokana na Sera za Siasa za Ubepari. South Africa ni mfano mzuri zaidi kati ya hizo kwani Utawaka wa Makaburu uli-adopt Ubepari tangu mwishoni mwa miaka ya 1800's, hususani kuhusiana na suala zima la biashara ya madini ya Vito.
2. Ukomunisti huwafanya Watu kuwa dhaifu kifikra, hujenga raia waoga kwa watawala wao, husababisha raia kuwa wanafiki, wasioweza kuhoji, raia-misukule, n.k.
Aidha, South Africa siyo nchi ya kikomunisti.
3. Sera ya kuwaweka Watu pamoja aliyofanya Mwl. Nyerere chini ya Siasa za kikomunisti/ujamaa kamwe haikuwa na lengo zuri kwani iliua kabisa Real Estate Industry katika nchi hii.
Endapo kama Sera hiyo ingefanyika kwa kuzingatia misingi imara ya ubepari, basi sera hiyo ingetoa matokeo mazuri zaidi, na tena ingeing'arisha nchi kwa kuwa na Mipango-miji Bora katika bara hili.

4. Nyerere anastahili kubeba lawama nyingi zaidi kwa kuifanya nchi hii kuwa na misingi mibovu karibia kwenye kila nyanya za maisha ya Watu, ukianzia na kutunga Katiba ya nchi ambayo ni mbaya na isiyofaa.
Mimi nafikiri Nyerere si wa kulaumiwa. Tunamlaumu kwa uongozi wake wa miaka 24/25.
Tangu atoke madarakani ni miaka 40, tangu amekufa ni miaka 25. Kile alichokosea kwa miaka hiyo tumeshindwa kurekebisha kwa muda wote tangu ametoka madarakani.
Wa kulaumiwa ni sisi tulioachiwa nchi
 
Nyerere ni kuliko binadamu yeyote Afrika kwa kuliunganisha Taifa kuongea lugha ambayo haina mwenyewe na kuwa lugha ya Taifa,kuifanya Tanzania kuwa nchi ya ukombozi barani Afrika,kutengeneza taifa lenye umoja,upendo na mshikamano kuliko majirani zetu na kuhakikisha kuwa kila Mtanzania anajua kusoma na kuandika.
 
Back
Top Bottom