Sadaka ya kweli mmefundishwa kwenye biblia mnajizima data tu, we kama ulinusurika chukua hiyo 300k pelekea yatima, wagonjwa na wafungwa gerezaniKwenye uislamu hizi mambo hakuna nakumbuka kuna kioindi Nilipata ajali nukasalimika nilienda kutoa sadaka ya Shukrani kanisani 300k sijui ile sadaka ilifanyiwa nini ?
Hakika tuzinduke Vijana hizi dini hasa ukristo kwa sasa zinaonekana ni mawazo ya binadamu kutengeneza pesa tu.
Zamani tulikuwa tunapata farijiko sana ukienda kanisani saivi tunapata karaha na kuabishwa wale ambao hatutoi michango.Nakwambia hivi, dini zilikuwa biashara za kumuuza Mungu ambaye hayupo tangu awali.
Mlikuwa hamjaelewa tu na mpaka sasa mkipinga dini kugeuka biashara wakati tangu zinaanza zilikuwa biashara, mnajionesha ujinga tu.
Kilichobadilika ni wingi wa watu kuzidi, vurugu kuzidi, uroho kuzidi, biashara kuzidi, lakini dini ni biashara tangu mwanzo.
Mzeebaba sijaandika uongo. Mimi ni mkristo safi kabisa na huwa najisikia vibaya sana ninapoona mtu anaslim...ingekuwa ni lazima nikuonyeshe huyo jamaa aliyeslim ningefanya hivo......hata mi nilimuona ni mtu wa ovyo sana kubadili diniDizain yako kuandika uwongo jambo lionekane zuri ni chap tu,hakuna mtu labda awe mwendawazimu atauza roho yake kwa issue ndogo kama hiyo.
Muulize mleta mada akikaa kimya bila kutoa hiyo anayoiita michango kuna mtu anamfata kumuamsha akatoe?
Sawa mkuu,yote kheir.Pesa zenyewe sasa ulizonunulia unakuta unauza bar au unamiliki danguro au ni.mbunge uliyepata kura za wizi baada ya kuua mawakala wa uchaguzi.
Simanishi ni wewe mkuu ni mfano tu.
In any way Dini na madhehebu ni chanzo cha vifo, umaskini na taabu nyingi
Mkuu ulisema sadaka ni Siri na kubaliana nawewe lakini vipi michango inayopangwa kabisa kwamba Kila mtu na gori lake?Wewe bro imani yako imekufa,kama Kanisani unaenda uonekane umeenda lakini huendi kwa sababu nafsi imejitakia kwenda na sadaka unatoa uonekane which is kiimani unapata hasara tu sadaka yoyote inatakiwa kununewa sasa wewe kwa majuto haya nafasi hiyo huipati.
Hela haina mshirika haupo kwenye mfuko wa W wala B wala X ili na wewe ulazimike kutoa kwanini usisimame wewe kama wewe kwamba huna?watakulazimisha?hata kama juzi ulitoa ndiyo leo huna na ibaki hivyo huna hata kama unazo mfukoni utatoa kesho,kuwa na msimamo kiimani ukitoa uonekane unapata tu hasara
.Wewe bro imani yako imekufa,kama Kanisani unaenda uonekane umeenda lakini huendi kwa sababu nafsi imejitakia kwenda na sadaka unatoa uonekane which is kiimani unapata hasara tu sadaka yoyote inatakiwa kununewa sasa wewe kwa majuto haya nafasi hiyo huipati.
Hela haina mshirika haupo kwenye mfuko wa W wala B wala X ili na wewe ulazimike kutoa kwanini usisimame wewe kama wewe kwamba huna?watakulazimisha?hata kama juzi ulitoa ndiyo leo huna na ibaki hivyo huna hata kama unazo mfukoni utatoa kesho,kuwa na msimamo kiimani ukitoa uonekane unapata tu hasara
Sijakuuliza dini yako wala unavyojisikia mtu akibadilika nilichokazia mimi ni mpumbavu tu kiimani ataikana imani yake eti kwa sababu ya kitu mchango kitu ambacho ni hiyari kutoa au kutotoa.Mzeebaba sijaandika uongo. Mimi ni mkristo safi kabisa na huwa najisikia vibaya sana ninapoona mtu anaslim...ingekuwa ni lazima nikuonyeshe huyo jamaa aliyeslim ningefanya hivo......hata mi nilimuona ni mtu wa ovyo sana kubadili dini
Zamani ulikuwa unapigwa kisirisiri na huku unapulizwapulizwa, siku hizi unapigwa kiwaziwazi huku unazodolewa.Zamani tulikuwa tunapata farijiko sana ukienda kanisani saivi tunapata karaha na kuabishwa wale ambao hatutoi michango.
Utashangaa pesa za kanisa mwamposa anaenda kujenga hotel na inakuwa yake binafsi na hata hakuna wa kuhojiShida yetu ukisema ukweli unaonekana eti unataka kuasi kanisa kimsingi unakuwa na hoja na unatakiwa usikilizwe na kujibiwa vyema. Mnashikana mashati halafu Hela zinaliwa ovyo tu. Ukweli michango Kwa Sasa inaogopesha sana.
Jibu wanapingana nayo wazi wazi maana hakuna sehemu yoyote imeruhusu mchangaji anunuliwe gari.Tatizo ni watu sio maandiko
Mfano kwenye Biblia kuna maandiko mengi yanaonya watu wasipende pesa na hata vitu vingi vya kimwili
Badala yake inawasihii watu waridhike na mahitaji muhimu na kuwa na maoni yanayofaa kuelekea pesa.
Ila watu ndio hawataki na wanapenda vitu rahisi rahisi hapo ndio inakuwa rahisi kudanganywa.
Swala ni je utendaje wao unapatana na Biblia inavyosema au wanapingana nayo waziwazi
Mkuu wasiamke kwanza ,bado mimi ndio nipo kitabu ya hosea najisomea kwanza nije kuwabamiza kisawasawa.Christianity is a business, Jesus is the Product, Church members are the Customers, Church leaders are the Beneficiaries.
Ukristo ni biashara, Yesu ni Bidhaa, Waumini ni Wateja, Viongozi wa kanisa ni Wanufaika.
Amkeni nyie mtaibiwa hadi lini?
Wake up you people!
Jikomboeni kutoka kwenye utumwa wa hizi imani za kidini.
Tatizo ni kwamba umesema nimeandika uongo ndio maana nimekuongezea maelezo unieleweSijakuuliza dini yako wala unavyojisikia mtu akibadilika nilichokazia mimi ni mpumbavu tu kiimani ataikana imani yake eti kwa sababu ya kitu mchango kitu ambacho ni hiyari kutoa au kutotoa.
Sahihi 100% Nami ndo kitu nafanya Kwa muda SasaSadaka ya kweli mmefundishwa kwenye biblia mnajizima data tu, we kama ulinusurika chukua hiyo 300k pelekea yatima, wagonjwa na wafungwa gerezani
Huyu jamaa yetu yeye anadhani tunapopinga huu ujasiriamali unaofanywa makanisani basi anaona sisi ni waasi yaani tukubali tu kubuluzwa.Mzeebaba sijaandika uongo. Mimi ni mkristo safi kabisa na huwa najisikia vibaya sana ninapoona mtu anaslim...ingekuwa ni lazima nikuonyeshe huyo jamaa aliyeslim ningefanya hivo......hata mi nilimuona ni mtu wa ovyo sana kubadili dini
Ndo tuko hapa kuamshana Sasa tuanze kupinga hizi biasharaZamani ulikuwa unapigwa kisirisiri na huku unapulizwapulizwa, siku hizi unapigwa kiwaziwazi huku unazodolewa.
Sasa hapo swali ni.
Je,
Unapenda kupigwa kisirisiri huku unapulizwapulizwa mpaka hujui kwamba unapigwa au kupigwa kiwaziwazi huku unazodolewa mpaka unajua kuwa unapigwa?
Utashangaa pesa za kanisa mwamposa anaenda kujenga hotel na inakuwa yake binafsi na hata hakuna wa kuhoji