run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Tatizo ni watu sio maandiko
Mfano kwenye Biblia kuna maandiko mengi yanaonya watu wasipende pesa na hata vitu vingi vya kimwili
Badala yake inawasihii watu waridhike na mahitaji muhimu na kuwa na maoni yanayofaa kuelekea pesa.
Ila watu ndio hawataki na wanapenda vitu rahisi rahisi hapo ndio inakuwa rahisi kudanganywa.
Swala ni je utendaje wao unapatana na Biblia inavyosema au wanapingana nayo waziwazi
Mfano kwenye Biblia kuna maandiko mengi yanaonya watu wasipende pesa na hata vitu vingi vya kimwili
Badala yake inawasihii watu waridhike na mahitaji muhimu na kuwa na maoni yanayofaa kuelekea pesa.
Ila watu ndio hawataki na wanapenda vitu rahisi rahisi hapo ndio inakuwa rahisi kudanganywa.
Swala ni je utendaje wao unapatana na Biblia inavyosema au wanapingana nayo waziwazi