kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Mm niliyaona ubungo ni uchafu kwa kweli yaondolewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm niliyaona ubungo ni uchafu kwa kweli yaondolewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Acha ubaguzi!. Aliyebandika hayo matangazo atakuwa ni mtanzania mwenzako ambaye amelipwa kufanya kazi hiyo, Inaonekana kwamba yeye haoni kama ni uchafu.Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Nadhan hata mmeo alimuomba match anakwambia nataka katiba mpyaangekamatwa endapo tu hayo matangazo yangehamasisha tume huru ya uchaguzi na katiba mpya.
Mkuu mbona Jezi za Simba nazo zina mabango kibao ukivaa ata kutembea inakua shida lakini hamlalamiki ..Utakua hujapatau Ubungo interchange wewe
Lakini yalivyowekwa ni uchafu ,mwisho wa siku yakinyofoka yanajaa chini ,kwanza atajazaje vile mbona anatumie vibaya sadaka za wauminiVitu vingine mnavyolalanika ni kiboko matangazo ya dini ya madhara gani mnataka kuishi Dunia gani..
Nimkute anabandika kwenye ukuta wangu kwanza namtandika fimbo ,kubandika gani hivo matangazo kayajaza sehemu mojaUmeona uchafuzi alioufanya..kwenye madaraja na Kuta za watu?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Na wewe lipia tangazo, maana ni wakala wakeMatangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
🤝🤝🤝Daah ahsante bana kwa kunifanya nicheke usiku huu[emoji38][emoji38]
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.