Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Mr. MTUI
Mbona una roho mbaya hivyo au sababu huna kazi unazulula tu mitaan. Pumbavu zako kasambaze cv mitaan ujikip bize
 
Sio wahindi ni wazungu wa ujerumani...waliofanya isivyo sawa ni wabandikaji posters..wamebandika hovyo ht kwenye maeneo yasiyotakiwa
 
Kwa nchi zilizojaa ustaarabu huu ujinga na uchafuzi wa mazingira usingefanyika kamwe hatuwezi kuona jiji linachafuliwa kiasi hiki kisa imani.
 
Acha watu wakamchangie muhindi gharama alizotumia kutangaza.
Mpaka karne ya ishirini na moja binadamu mwafrika hajui injili mpaka aende mkutanoni, biblia zimejaa ndni, you tube, facebook ,minyimbo ya onjili kila kona nk bado hawaelewi kilichoandikwa ila wiki moja ya muhindi wataelewa zaidi.
Ajabu sana.
Kwenye mikutano yake anatangaza kabisa kuwa hataki sadaka, anasema hiyo hela nenda ukawape wahitaji, ndio sadaka njema zaidi au ukatoe kanisa unalosali siku zote

Kolenda mrithi wa Bonke.
 
Imekua kama kero sasa, matamasha ya kuhusu dini yanafanyiwa advertisement kiasi hiki.Ambao mmekutana na haya mabango mnanielewa vizuri.

Wengine mtasema nilipie tangazo ila sipo kwa lengo hilo, watu wa dini tusaidiane hapa.
FB_IMG_1632428972874.jpg
 
Upo kwenye gari yako au ya mshikaji umejipatia ka lifti mkuu?
 
Imekua kama kero sasa, matamasha ya kuhusu dini yanafanyiwa advertisement kiasi hiki.Ambao mmekutana na haya mabango mnanielewa vizuri.

Wengine mtasema nilipie tangazo ila sipo kwa lengo hilo, watu wa dini tusaidiane hapa.View attachment 1950143
Ni dalili za kurudi kwa Yesu kuchukua waliomwamini lazima injili imfikie kila mtu hata kama hupendi lazima usikie ili siku ya hukumu usije lalamika sikusikia ndo mabango hayo kero lakini umeelewa kuna mkutano nenda kasikilize yatakusaidia sana ingawaje yanakukera kwa sasa ipo siku utatakumbuka sana na inakuja upesi mathayo 24:1- kasome kurudi kwa Yesu
 
Huyo ndio mwanaume wa mkoani ukimpa kazi anafanya kikamilifu...
Wanaume wa Dar mnashangaa tu na kusema akamatwe... Tangia lini mwanaume akakamatwa
 
Tuache ushabiki wa kidini this is too much ubandikaji gani ule wa matangazo
Nadhani mpaka kipofu ataona hilo tangazo. Nilipita JANGWANI juzi nikakuta kikundi cha watu chini na ndoo za gundi na hayo mapeperushi nikajisemea wapuuzi kwenye upuuzi wao...

Mimi kama mkuu wa mkoa mstaafu nawaamuru mkutano wao wa dini utakapo isha waende wakasafishe kuta za watu

Ova
Sawa mkuu wa mkoa
 
Tuache ushabiki wa kidini this is too much ubandikaji gani ule wa matangazo
Nadhani mpaka kipofu ataona hilo tangazo. Nilipita JANGWANI juzi nikakuta kikundi cha watu chini na ndoo za gundi na hayo mapeperushi nikajisemea wapuuzi kwenye upuuzi wao...

Mimi kama mkuu wa mkoa mstaafu nawaamuru mkutano wao wa dini utakapo isha waende wakasafishe kuta za watu

Ova
Screenshot_20210924-002852.jpg




ULILIONGELEA HILI
 
Back
Top Bottom