Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Tatizo ni akili za hao vijana wanaochukua haya maposta na kwenya kuyarundika sehemu moja!! Hooligans!! Kama kazi ya kusambaza habari ya mkutano WA injili huwezi acha kuchukua haya maposta!! Pia haya hutokea kipindi cha mikutano ya kampeni ya Chama kikubwa twawala
 
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Kwa hiyo alikuwa anawaweka watembea kwa miguu? Ati hata akikukuta - yaani una maana mhubiri huyu alikuwa anabandika matangazo mwenyewe? Tusishiriki uovu mwepesi. Haya matangazo yanabandikwa na Watanzania wenyewe waliopewa kazi ya kusambaza.
 
Mie pia niliyaona hayo mabango kwa kweli amechafua sana. Nilijiuliza kwa nini anabandika mabango ya aina moja eneo zima kariba km moja wakati ni kitu hicho hicho
 
Wazo la kubandika matangazo ya injili ni zuri..ila aliyepewa tenda ya kuyabandika..hakufanya sawa sawa
Ameyalundika mengi mahali pamoja kwenye maeneo mengi mengi hivyo kuonekana uchafu
 
Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ni kweli fukara ndiye mlalamishi namba moja duniani, lakini wao ndio ws kwanza kukojolea kuta na kutupa taka hovyo
 
Mwenyewe nimeshangaa sana kwakweli sijui wanawezaje kubandika matangazo mengi namna hiyo? Muda gani wanabandika? Watu wangapi wanabandika? Maana kwa wingi wa poster zile lazima nguvu kazi itakuwa kubwa sana. Aise nimejiuliza sana
 
Ameandika hadi kwenye reflector za barabarani
IMG_20210920_073009.jpg
 
Acha chuki za udini.mbona vyama wakati wa kampeni vinabandika na hakuna uzi unafungua.
Angalia chuki zenu za udini zilivyoua viwanja vya jangwani kwa kudhani mnakomoa
wanaofanya mikutano ya dini mkajenga gereji za mwendokasi sasa ni mwendo wa kuzoa tope kutwa kucha na mazalia ya nyoka kuongezeka.
Huwezi kushindana na muumba,maana kwake tumetoka na kwake sote tutarudi hata uwe na jeuri kiasi gani
Kwa hiyo wewe unaona ni sawa mtu kufanya hv...he kila mtu akifanya hv unahisi itakuaje..
IMG_20210920_073009.jpg
 
Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k

Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.

=========

View attachment 1943336

View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Kama umekereka umeyaona na umejaribu kutuonyesha ulivyokereka kwa kufanya hivyo umetuonyesha nasi pia- Lengo la Mchungaji limefanikiwa. Asante kwa masaada wako- kifuatacho usiache kwenda kwenye mahubiri.
 
Kulikua na umuhimu gani wa wewe kuandika "Muhindi?" angekua Muhaya,Msukuma,Mmakonde....ungemtambulisha kwa kabila lake? acha ubaguzi wa ukabila.
 
Back
Top Bottom