Tatizo ni akili za hao vijana wanaochukua haya maposta na kwenya kuyarundika sehemu moja!! Hooligans!! Kama kazi ya kusambaza habari ya mkutano WA injili huwezi acha kuchukua haya maposta!! Pia haya hutokea kipindi cha mikutano ya kampeni ya Chama kikubwa twawala