Huyu aliyebandika mabango ya Imani Upendo Miujiza ya mkutano wa dini Dar, achukuliwe hatua

Nawewe ukizubaa unabandikwa hilo tangazo dadeki!!
 
Uchaguzi uliopita, makaratasi ya Magufuli yalibandikwa hadi kuta za ubalozi wa Ufaransa, pale Hamza alipofanya yake.
hahahahaha umenikumbusha kitu wale wapuuzi mbona hawakubandika ukuta wa jengo la Eagle Wings Pale Oysterbay?
Nilicheka Sana baada ya kuona Ile Haile Selassie road wamebandika shule ya msingi Oysterbay na bongoyo kufika pale kwa mtoto wa Bakhresa wakachimbwa mkwara na walinzi wakasepa mbele pale Usalama wakaruka wakaenda bandika mbele

Halafu Kuna nyumba Moja ya mzungu ipo mkabala na nyumba mpya ya balozi wa Oman wakabandika mengi kinoma
Yule mzungu aliwamaindi walinzi Kwa uzembe na adhabu Yao ikawa kuyabandua na kuosha ukuta
Kile kitendo kilinifanya nijisikie mbaka aibu Kama raia wa Tanzania maana kupitia mabango ya jiwe tukaonekana ni watu wa hovyo Sana
😂😂😂😂
 
Eagle Wings Pale Oysterbay?
Embu type picha ya hapo na ututafsirie kwa kiswahili
 
Eagle Wings Pale Oysterbay?
Embu type picha ya hapo na ututafsirie kwa kiswahili
mkuu Sina picha ya eneo sababu now nipo mbali
Eagle Wings ni head office ya TISS hapa bongo ni kama Pentagon pale USA
Mfumo wa jengo la Usalama bongo paa lake limejengwa Kwa mfumo tai anavyoruka ndio maana hua tuna liita a.k.a eagle wing lipo mtaa wa Oysterbay huku daslamu!
 
Umeongea pumba mbaka kinyaa unajua umuhimu wa mikutano hiyo???!na katika ukristo hiyo ni lazima labda kwenye dini yako wewe, na mkristo wewe basi ni kilaza
 
Kau
Kachafua sana mji hata mimi nashangaa kwa ukimya huu pale bondeni darajani New Bagamoyo rd , nguzo za daraja lote ambalo ni jipya zimesilibwa na haya makaratasi,mimi nilidhani Mzee Mpili wa Yanga ana neno la kunena kwenye hili daraja. Sijui viongozi wako wapi
 

Wanaobandika huo uchafu wanajisikiaje huko waliko?
 
Tuvumiliane tuu kwa kuwa hayana madhara yoyote. Kila imani inakera mwenzake hivyo kuvumiliana ndio amani yenyewe
 
na masaki yako kibao ya massage SPA parlour

hajayaona
 
Nasikia jamaa hachukui hata mia
 
Tatizo lako ni kusoma sentensi yangu ya kwanza tu na kabla ya kumaliza andiko langu zima unawaki keyboard kuanza kujibu. Ungesoma yote wala usingeandika ulichoandika!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…