Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Hizo elfu sabini sabini ndo unazopigwa bila wewe kujua ngoja nikiamka ntarudi kukufafanulia
 
Kabisaaa,mi nilipewa hiyo Siri Nina rafiki yangu anafanya kazi pharmacy ya jumla akaniambia huwa wanafurahi sana wakipata kichwa wanawauzia 40....yaani hiyo biashara ni triple profit
Nmefanya hii biashara....aisee Sema dada alikuwa annipiga sana anauza dawa zake zangu nazikuta kwenye mashelf..alifundishwa na wenzie maana mwanzoni alikuwa anauza na pesa naikuta...nikafunga najipanga nirudi upyaa..inalipa sana
 
Binti ana HIV anasubiri hadi uupate nae akuache.......acha UKUMA nenda kapime na achana na huyo MPUMBAVH mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ