Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Mmh kuna watu majasiri uzazi unavyosumbua watu sahvi binti wa 27 anafanya upuuzi kama huu badae atakuja kumlilia nani akikosa watoto.
 
Poleni sana , hayo mamiso mnayoyasema ni yale ya kuja kwenye delivery pack /box ?

Duh vitu vya bure mnapigwa mpka 70k ?
Basi kumbe nimeukalia utajiri ila sijui tu .

Karibuni Mbeya
 
Poleni sana , hayo mamiso mnayoyasema ni yale ya kuja kwenye delivery pack /box ?

Duh vitu vya bure mnapigwa mpka 70k ?
Basi kumbe nimeukalia utajiri ila sijui tu .

Karibuni Mbeya
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Sijui, ila zinatoka INDIA.

Zilitengenzwa special kwa maginjwa mengine lakini madaktari wa tanzania wakageuza matumizi ๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ