Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Ukimnunulia hizo dawa anazitumia ukiwa unaona?
Je huwa unahakikisha ni kweli ana mimba au yeye ndio huwa anakwambia na akitoa anakuambia tayari?

Inawezekana wewe unamnunulia hizo dawa na yeye anaenda kuwauzia shost zake. Mjini kuna mengi.
 
Ukimnunulia hizo dawa anazitumia ukiwa unaona?
Je huwa unahakikisha ni kweli ana mimba au yeye ndio huwa anakwambia na akitoa anakuambia tayari?

Inawezekana wewe unamnunulia hizo dawa na yeye anaenda kuwauzia shost zake. Mjini kuna mengi.
Duuh....

Mara 2 nimeona (through bleeding) ila mara 2 nilikuwa namwachia tu mimi naondoka.
 
Habari zako za uasherati usituletee humu ndani boya weye๐Ÿ˜ฃ๐Ÿ˜ฃ
 
Kumbe Miso ndo hua mnauziwa bei hivo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Hana miaka 5 mbele atawakumbuka hao watoto anaoflash chooni
Simtabirii hayo ila mara kadhaa namwambia hii kauli kuwa "wewe ni zero brain" maana huwezi kuogopa kondom kwa kisingizio kuwa mafuta yake yana madhara alafu kutoa mimba unaona simple tu, ni uwazimu flani hivi anao.

Yaani anaruka mkojo anakanyaga mavi
 
Usijitoe wewe ni baba wa marehemu waine hiyo roho hata wewe itakuandama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ