Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Mwanamke wa namna hii nikuachana naye, inaonekana hata kwenye maeneo mengine ya maisha akili yake ni maji.
 
Mkuu nna uhakika hajawahi kushika mimba hata moja sema hizo seventy anakupiga mi nishaletewa hizo pigo, anataka 100 akanywe vidonge namwambia sina hiyo hela kwa sasa na pia sipo tayari kulea kwa sasa nikipata ntakupa afu nakaushaa akiona muda unazidi kwenda anapunguza dau mara niongezee 70 mara nimepata nusu niongezee mwisho wa siku anaishia kuomba mpaka 30 au 20 nimuongezee.

Shtuka wewe unapigwa hapo si ajabu anakwambia hapendi hizo njia za kisasa then kabla hamjanyanjuana kumbe mwenzako kashajipiga maP2, masindano na vitanzi kama vyote anakutegea ukitupe ndani akuchojoe 70.
 
Hapana, huwa namfatia mimi namletea
 
mle tiGo
 
Upuuzi puuzi tuh!
Kwan ni yeye tuuh unaetaka kumchezea
WATU BWANA๐Ÿ˜Ž
 
Hao ndio huwa wanaolewa Kwa shangwe kwamba wamejitunza,huku single mother wakitukanwa kama laana,.....Sasa hapo sijui Bora yupi...
Umeongea pointi kubwa sana ndugu yangu leo wanazikurupua mimba kama njugu kesho kwenye ndoa anaonekana malkia kumbe kaua watoto wengi sana mwisho wa siku single mama anaonekana mbaya hii dunia siyo fea kabsa
 
CityHunter1 na Vladmir Putini

Mimi nitauliza swali moja tu jibu utakalotoa litatathmini nani ana IQ kubwa.

Kuna mende watatu wamepandiana. Mende aliye chini anasema juu yangu kuna mende wawili, mende aliye juu anasema chini yangu kuna mende wawili.

Mende aliye katikati anasema chini yangu hakuna mende na juu yangu hakuna mende.

Kwanini mende wa katikati anasema hivyo?
 
Mimi Siwezi kukutumia wewe kujipima kia-akili.

Sijawahi kuwa hivo, akili zako zenyewe ziko kama hao hao mende
 
Ukimletea si hamezi, kumbe anaenda kuziuza na kukupiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ