Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake 😮‍💨😮‍💨😮‍💨

Huyu binti atakuja afe vibaya kwa ujinga wake 😮‍💨😮‍💨😮‍💨

Habari wana jamvi.

Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.

Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".

Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.

Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.

Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).

Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.

Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.

Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.

Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.

Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.

Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?

Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.

Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.

Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"

Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.

Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.

NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.

Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
Mwanamke wa namna hii nikuachana naye, inaonekana hata kwenye maeneo mengine ya maisha akili yake ni maji.
 
Mkuu nna uhakika hajawahi kushika mimba hata moja sema hizo seventy anakupiga mi nishaletewa hizo pigo, anataka 100 akanywe vidonge namwambia sina hiyo hela kwa sasa na pia sipo tayari kulea kwa sasa nikipata ntakupa afu nakaushaa akiona muda unazidi kwenda anapunguza dau mara niongezee 70 mara nimepata nusu niongezee mwisho wa siku anaishia kuomba mpaka 30 au 20 nimuongezee.

Shtuka wewe unapigwa hapo si ajabu anakwambia hapendi hizo njia za kisasa then kabla hamjanyanjuana kumbe mwenzako kashajipiga maP2, masindano na vitanzi kama vyote anakutegea ukitupe ndani akuchojoe 70.
 
Mkuu nna uhakika hajawahi kushika mimba hata moja sema hizo seventy anakupiga mi nishaletewa hizo pigo, anataka 100 akanywe vidonge namwambia sina hiyo hela kwa sasa na pia sipo tayari kulea kwa sasa nikipata ntakupa afu nakaushaa akiona muda unazidi kwenda anapunguza dau mara niongezee 70 mara nimepata nusu niongezee mwisho wa siku anaishia kuomba mpaka 30 au 20 nimuongezee.

Shtuka wewe unapigwa hapo si ajabu anakwambia hapendi hizo njia za kisasa then kabla hamjanyanjuana kumbe mwenzako kashajipiga maP2, masindano na vitanzi kama vyote anakutegea ukitupe ndani akuchojoe 70.
Hapana, huwa namfatia mimi namletea
 
Habari wana jamvi.

Niko na mahusiano ya part time (hayana malengo ya ndoa) sema tu tunapunguziana upwiru kwa sababu tunao wapenda wako mbali nasi.

Sasa bhana haka kabinti kana shida moja nayo ni hii "hakataki kabisa kutumia njia yeyote ya uzazi wa mpango kwa kigezo kwamba zina madhara".

Yaani kondomu anasema mafuta yake yana mdhuru, vidonge vya P2, sijui vijiti na contraceptive methods zote anasema zinaua kizazi, mara sijui atapata cancer.

Yaani ki-ufupi nikimwambiaga kuhusu njia za uzazi wa mpango au kuchukua tahadhari kwa njia za kisasa hatakagi kabisa na ana kasirika hapo hapo.

Kwa hiyo tukiwa na upwiru njia pekee tunazotumiaga ni mbili ambazo ni kalenda (kwake yeye) na kumwaga nje (liko juu yangu mimi).

Sasa hizi njia zote mbili zina risk, naweza nikasema kupata mimba kwa kutumia hizi njia ni 50/50, hazina uhakika wa asilimia 100 kabisa.

Mimi huwa najitahidi kumwaga nje nikikutana nae japo mara moja moja huwa nafeli maana nako siyo kazi rahisi ku-divert njia wakati wa utamu.

Kwenye kalenda hilo anajuaga mwenyewe mimi hata sifatiliagi.

Tatizo ni kwamba ghafla bin vuu anakwambia hazioni siku zake, na kimbilio pekee ni MISO PROSTOL.

Sasa hivi imeshatokea four times kila iki nasa ni kukimbilia MISO PROSTOL elfu sabini naliwa kila ikitokea.

Sasa mimi najiuliza huyu binti kati ya kutumia kondomu au njia yeyote ya uzazi wa mpango na sasahivi ashatoa mimba nne tu akiwa na mimi, kupi kuna madhara zaidi ?

Nishamwambia sana lakini hataki kunielewa sasa nilicho amua mimi ni kwamba nianze tu kumkwepa mdogo mdogo maana naona kama ana masiara na afya yake na maisha yake pia.

Unasema mafuta ya kondom yana madhara alafu unaenda kutoa mimba 4 si usenge huu aisee.

Hata leo nimetoka kumwambia kuhusu hilo amenijibu kuwa "hatokaa atumie njia yeyote ya uzazi wa mpango ya kisasa"

Nika mwambia kwa hiyo unavyotoa mimba ndiyo unafurahia na kuona hakuna madhara ? hana majibu.

Nashindwa kuelewa anashindwaje kuwa mjanja na mkubwa almost 27 years old.

NB : Suala la uzazi wa mpango linadhibitiwa na mwanamke zaidi, sisi wanaume ni wa kushirikishwa tu.

Ukifeli wewe mwanamke usidhani mwanaume nitaweza peke yangu, mwanaume akiwa na nyege uwezo wake wa kufikiri hushuka hadi asimia sifuri kabisa.
mle tiGo
 
Hao ndio huwa wanaolewa Kwa shangwe kwamba wamejitunza,huku single mother wakitukanwa kama laana,.....Sasa hapo sijui Bora yupi...
Umeongea pointi kubwa sana ndugu yangu leo wanazikurupua mimba kama njugu kesho kwenye ndoa anaonekana malkia kumbe kaua watoto wengi sana mwisho wa siku single mama anaonekana mbaya hii dunia siyo fea kabsa
 
CityHunter1 na Vladmir Putini

Mimi nitauliza swali moja tu jibu utakalotoa litatathmini nani ana IQ kubwa.

Kuna mende watatu wamepandiana. Mende aliye chini anasema juu yangu kuna mende wawili, mende aliye juu anasema chini yangu kuna mende wawili.

Mende aliye katikati anasema chini yangu hakuna mende na juu yangu hakuna mende.

Kwanini mende wa katikati anasema hivyo?
 
CityHunter1 na Vladmir Putini

Mimi nitauliza swali moja tu jibu utakalotoa litatathmini nani ana IQ kubwa.

Kuna mende watatu wamepandiana. Mende aliye chini anasema juu yangu kuna mende wawili, mende aliye juu anasema chini yangu kuna mende wawili.

Mende aliye katikati anasema chini yangu hakuna mende na juu yangu hakuna mende.

Kwanini mende wa katikati anasema hivyo?
Mimi Siwezi kukutumia wewe kujipima kia-akili.

Sijawahi kuwa hivo, akili zako zenyewe ziko kama hao hao mende
 
Ukimletea si hamezi, kumbe anaenda kuziuza na kukupiga.
Huwa nazifata mimi dingi.

Yeye huwa namletea tu, sema kuna mara ya mwisho niligoma kutoa pesa angu mpaka akatoa yake nikamfatia.

Maana nilimwambia huu ni usenge, hata ndomu unakataa kutumia ambazo ni buku tu alafu sasahivi naanza kuingia magharama yasiyo na msingi na mwisho wa usiku uje umeze ufe nipate kesi.

Alitoboka yeye ndiyo nikamfatia, hajawahi kufata peke yake hata siku moja.
 
Back
Top Bottom