Huyu binti kiukweli nashindwa kumuelewa baada ya kunipa mkopo wa pesa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu nafikri hujaelewa dhamira yako mm sipo hapa kwajili ya huruma ya mtu ili nisamehewe den najua ni jukum langu hilo kwahy nitarejesha hiyo pesa leo au kesho asbh
Mmm haya mkuu utatusaidia mrejesho wa kulipa maana sijakusoma kabisa
 
Acha longolongo na lipa pesa ya dada wa watu.

Watu wengine hawana utaratibu wa kudaidai kwa vurugu na wanategemea aliyekopwa awe mstaarabu as well na kulipa deni in a timely manner

Sasa unapotuma meseji unategemea akujibuje? Labda anakuona mswahili tu na anaamua kujikalia kimya kuliko kusema la moyoni. Meseji nyingine kwake iwe ni ya muamala tu na sio kiswahili kingine
 
kama nimeelewa ulihitaji 20000/ mpaka 40000
Mkuu wapi nmeandika simrudishi pesa zake!?
ulitaka tuchangie vipi kuwa anakutaka ndio maana hadai, kuna viumbe considerate kwa matatizo yawatu tmiza wajibu na usimkwaze rudisha fedha, hata kwa miamala ya simu kama unaona aibu kukutana nae.
 
Rudisha hela ya watu ili na sisi wengine tukiwa na shida tusaidiwe.
 
Mbona kama una tafuta sababu au huruma ya kuto mlipa ukitegea ..we fanya kutafta oesa yake umlipe bila kumwambia kila mda...mimi binafsi nikimpa mtu pesa yangu uwa sitaki kuongelea ongela kabsa. kikubwa ni siku tulio panga iki fika hanipe bila kusumbuana
 
Dogo lipa hela za watu
 
Oya, rudisha hela, mwisho wa mwezi umeshafika, mpe hela yake, acha maneno mengi na shukrani nyingi, mpe pesa yake
 
Lipa deni. Sio lazima akudai.
Ni mstaarabu anajua ukiipata unampa.
Kwani umejaribu kurusha hiyo hela akairudisha kwako?
 
kama nimeelewa ulihitaji 20000/ mpaka 40000

ulitaka tuchangie vipi kuwa anakutaka ndio maana hadai, kuna viumbe considerate kwa matatizo yawatu tmiza wajibu na usimkwaze rudisha fedha, hata kwa miamala ya simu kama unaona aibu kukutana nae.

Mkuu wap nmesema kuwa ananitaka!!yan wana jf mnapenda kuhukum hv mfano mtu akija anataka kujiua mnaeza mkashauri vp mpk akaghair yan weng wao mnafikria mnamitazamo positive san
 

Sawa
 
Sio lazima useme.... kitendo cha kuongelea ongela kila saa halafu hurudishi ina maana unataka usamehewe, huyo dada ana busara ndio maana anakaa kimya amesha kusoma janja yako.

Dah[emoji23][emoji23][emoji23]hakuna kitu naogopa km kunadaiwa mzee na sipend ahad za uongo kwahy siwez kumrusha hela yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…