Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

Ulipima ..? Ndom ulitumia..? Isije kiwa anakuonea huruma
 
Muoe sasa ili umtue sonona
 
Nipe namba yake nimsaidie.
 
Alikucheki akasema bahati yako.........usingetumia kinga ndio ulikuwa mwisho wako bata wewe
 
Hapo atakuwa hajamsaidia...!!
Kuna mdada flan mitaa karibia na home alikua anauza miwa kiafya hakua vzr sana binafsi sikujua shida ni nn wengn wanasema cancer wengn gridi ya taifa nkawa namuonea huruma maana Yale mazingira hayakua rafiki kwake nkamuuliza una shida ya sh ngp ili utulie ukapumzike akanambia 50K nikajitosa nikampa 70K na ile miwa nikanunua yote nikawapa majamaa zangu naochezaga nao mpira & pool table.

Siku ya pili akanunua miwa tena akatafuta location ambayo siwezi muona🤣🤣
 
Sasa hiyo 50k ndio ingetosha nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…