Umeelewa kilichoandikwa?Lissu angekufa mngamlaumu Mbowe kwamba hakufanya kitu, sasa amepona mnamlaumu kwamba hakumsaidia Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa kilichoandikwa?Lissu angekufa mngamlaumu Mbowe kwamba hakufanya kitu, sasa amepona mnamlaumu kwamba hakumsaidia Lissu.
Una uthibitisho au ushahidi usio tia mashaka katika hili? Uweke hapa tujiridhishe.Magufuli anahusika na jaribio la kumuua Lissu, hilo halina mjadawa wowote.
Wamiliki wa ndege iliyompeleka Lissu Nairobi walikuwa wanataka walipwe cash sasa kutokana na mazingira ya wakati ule CHADEMA hawakuwa na uwezo wa kulipa instantly ndipo Mbowe akamuomba Marehemu Turky (mbunge), awalipie kwa ahadi ya ku.lipa hivyo yule mbunge alikopesha hakutoa msaada kama baadhi wanavyodai na baadae alirudishiwa pesa zake na CHADEMA.Hata kama tunamchukia Mbowe lakini tusiongee uongo; mchango wa Mbowe katika kuokoa uhai wa Lissu ni mkubwa sana; kuna mazingira mengi yanayo onesha kwamba it was Chadema/Mbowe who made that decision (sipingi hilo la daktari Mwanafyale kutoa ushauri wa kitaalamu kuhusu uhai na Afya ya Lissu ) na baadhi ya wabunge wa ccm akiwepo Lazaro Nyarandu. Jikumbusheni ni lini Nyarandu aliachia ubunge and why? Kama spika alihusika "kumtorosha" Lissu why yeye aliendelea ku shine enzi za mwendazake while wengine wakafanywa kama uzi unavyo sema? Mbunge mwingine alikua Nape, Nape ali talk shit sana pale hospital akionesha kukerwa na kitendo kile cha Lissu kupigwa Risasi; kwa mara ya kwanza tulijulishwa kwamba mama yake Nape ni mtu wa Singida cause Nape alitumia neno "mjomba/uncle" akim address Lissu. Miezi kadhaa baadae, same Ndugai alionesha kejeri kwa Chadema kwamba hawajalipa bill ya ndege iliokodiwa kutoka kwa yule mbunge wa ccm aliyewapa ndege ile. Lissu hakua anajitambua wakati yote yale yakiwa yanafanyika, kwa maana ya uhai wake, Lissu bado anayo sababu ya kumshukuru Mungu aliyeokoa uhai wake, lakini pia anayo sababu ya kumshukuru Mbowe pia kwa ku play role yake kama mkuu wa chama, Mbowe alifanya kazi kubwa katika kuokoa uhai wake. Gharama za matibabu, tulichanga wengi bila kujali vyama vyetu, account ilitolewa na watu tulitupia mule. Lissu aseme hayo anayo yasema kuhusu Mbowe kwa maslahi ya taifa but as an individual, Mbowe kwake ni mtu na nusu.
Kwenye swala la Lissu,Mungu anasimama namba moja,hao wengine ni kwa msaada wa Mungu waliongozwa kufanywa waliyoyafanya.Kwangu mimi niliyewahi kumuuguza mwanangu hadi anakaribia kufariki, mtu yeyote hata yule aliyenitia nguvu za kustahmili uchungu ule, namuona kama muokozi wa mwanangu.
Kinachoponya mgonjwa katika hali kama ile ni mengi. Kwa kesi ya Lisu Kuanzia yule aliyemtoa pale alipopigiwa risasi, aliyempokea theatre, aliyeshika mkono ili kuongeza damu, aliyetoa wazo la kupiga simu nairobi na logistics zote za kumpokea, rubani aliyeendesha ndege, nk wote walishiriki kuokoa maisha yake laikini yote - kwa msaada wa Mungu
Aliwatuma wauaji wake waliokuwa wametapakaa nchi nzima kumuua Lissu kwani alikuwa tishio na chukizo kwake. Na amefanya mauaji ya watu wengi tu kama akina Ben Saanane na wengine watajulikana jinsi kunavyozidi kukucha. Kimsingi kila anayemsapoti Magufuli naye ni muuaji au mtu mkatili sana!Una uthibitisho au ushahidi usio tia mashaka katika hili? Uweke hapa tujiridhishe.
😁 Cool down Mr , ngoja niteme cheche kidogo hapo chini ili tulisolve kisomi, fanya yafuatayo ili kulinda amani ya moyo wako:All in all,
Kuna lijamaa limenikera humu Jf muda huu..leo hii mpaka lime haribu mudi yangu limeni quote na Mara nyingi naonaga anapenda kujibizana ovyo OVYO
Watu Kama hao UNAWEZA wafanya Nini??!
Mnapitiliza, kwani mlitaka Mbowe ndiye aende theatre? Sikubaliani na wote kugombea uenyekiti - wamuombe Mnyika ashike nafasi hiyo maana hawa wawili wameshakigawa ChamaNa hata kule Theater aliyeongoza team ya theater ni Ulisubisya na zile Injection zilikuwa zinachomwa kwa usimamizi wake
Thanks you bro and this is what I was sayingWamiliki wa ndege iliyompeleka Lissu Nairobi walikuwa wanataka walipwe cash sasa kutokana na mazingira ya wakati ule CHADEMA hawakuwa na uwezo wa kulipa instantly ndipo Mbowe akamuomba Marehemu Turky (mbunge), awalipie kwa ahadi ya ku.lipa hivyo yule mbunge alikopesha hakutoa msaada kama baadhi wanavyodai na baadae alirudishiwa pesa zake na CHADEMA.
Mbowe ndiye alikuwa organiser mkuu na coordinator wa mchakato mzima nini kifanyike na kifanyikeje. Pia ile hospitali Nairobi ilitaka kianzio cha pesa ili matibabu yaanze hapo juhudi ya Mbowe ndiyo iliwezesha advance payment ikalipwa hosipitali.
Pia Baadae CHADEMA wakatoa namba ya akaunti za kuchangia matibabu watu mbalimbali wakachangia humo hata mimi nilichangia kupitia akaunti ya CRDB iliyotolewa. Wabunge pia walichangia ,
Mbowe pia alikaa Nairobi akisimania matibabu ya Lissu kwa miezi minne hivi huku ameacha biashara na familia yake; hayo yote huyo mleta mada haoni na anabeza eti mchango wa Mbowe ulikuwa sawa na wengine, nafikiri hayupo sawa kichwani huyo dokta na ni mnafiki.
Mamlaka ya anga ilitoa kibali tu ndege kutua na kutoka haikuhusika kutafuta ndege, eti ndiyo huyo mleta mada anawapa credit kuliko Mbowe wakati TCAA kazi yao ni kutoa vibali.
Mkuu wa mkoa huwa hausiki na masuala ya ndege kutua na kupaa, japokuwa kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama angeweza kutoa order ( kuingilia mamlaka nyingine kibabe) kuwa hakuna ndege kuruka kwenda Nairobi na kweli ndege isingeruka lakini hastshili kupongezwa kwa sababu haikuwa kazi yake ya kila siku kuruhusu ndege kuruka na ingekuwa matumizi mabaya ya madaraka japo angepongezwa na mtawala, huyu naye anapewa credit na mleta mada kuliko Mbowe.
Mleta mada ( huyo doctor anayefanya WHO ) ni mnafiki ndio maana haoni mchango mkubwa wa Mbowe japo ni kweli ulisubya alitoa mchango muhimu katika zile hatua za mwanzo za kuokoa uhai wa Lissu.
KUna majembe yalitaka kufanya alichofanya Lissu ila yakastukiwa na kutimuliwa mfano zitto kabweKwa kweli Mkuu
Na iwapo Chama akapewa Lissu, Kuna uwezekano tukaziona zile Siasa za Chadema za miaka ya 2007 hadi 2014
Ilikuwa ni Chadema Fulani hivi ya moto balaa, hadi Serikali walikuwa wanaogopa kufanya ufisadi wao hadharani sio kama saivi
Ni mara chache sana Mungu huonesha nguvu zake bila kuwatumia watu, mara nyingi Mungu hutumia WATU and the same God amesema, "....siku za mwisho watu wengine watakua hawana shukurani..." hili la kutokushukuru watu waliwahi kukusaidia, mbele za Mungu pia ni dhambi. Nazungumzia Ukristo, sizungumzii dini zingineKwenye swala la Lissu,Mungu anasimama namba moja,hao wengine ni kwa msaada wa Mungu waliongozwa kufanywa waliyoyafanya.
Mungu apewe sifa🙏
Nadhani unahitaji tu kueleweshwa!Wamiliki wa ndege iliyompeleka Lissu Nairobi walikuwa wanataka walipwe cash sasa kutokana na mazingira ya wakati ule CHADEMA hawakuwa na uwezo wa kulipa instantly ndipo Mbowe akamuomba Marehemu Turky (mbunge), awalipie kwa ahadi ya ku.lipa hivyo yule mbunge alikopesha hakutoa msaada kama baadhi wanavyodai na baadae alirudishiwa pesa zake na CHADEMA.
Mbowe ndiye alikuwa organiser mkuu na coordinator wa mchakato mzima nini kifanyike na kifanyikeje. Pia ile hospitali Nairobi ilitaka kianzio cha pesa ili matibabu yaanze hapo juhudi ya Mbowe ndiyo iliwezesha advance payment ikalipwa hosipitali.
Pia Baadae CHADEMA wakatoa namba ya akaunti za kuchangia matibabu watu mbalimbali wakachangia humo hata mimi nilichangia kupitia akaunti ya CRDB iliyotolewa. Wabunge pia walichangia ,
Mbowe pia alikaa Nairobi akisimania matibabu ya Lissu kwa miezi minne hivi huku ameacha biashara na familia yake; hayo yote huyo mleta mada haoni na anabeza eti mchango wa Mbowe ulikuwa sawa na wengine, nafikiri hayupo sawa kichwani huyo dokta na ni mnafiki.
Mamlaka ya anga ilitoa kibali tu ndege kutua na kutoka haikuhusika kutafuta ndege, eti ndiyo huyo mleta mada anawapa credit kuliko Mbowe wakati TCAA kazi yao ni kutoa vibali.
Mkuu wa mkoa huwa hausiki na masuala ya ndege kutua na kupaa, japokuwa kwa nafasi yake kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama angeweza kutoa order ( kuingilia mamlaka nyingine kibabe) kuwa hakuna ndege kuruka kwenda Nairobi na kweli ndege isingeruka lakini hastshili kupongezwa kwa sababu haikuwa kazi yake ya kila siku kuruhusu ndege kuruka na ingekuwa matumizi mabaya ya madaraka japo angepongezwa na mtawala, huyu naye anapewa credit na mleta mada kuliko Mbowe.
Mleta mada ( huyo doctor anayefanya WHO ) ni mnafiki ndio maana haoni mchango mkubwa wa Mbowe japo ni kweli ulisubya alitoa mchango muhimu katika zile hatua za mwanzo za kuokoa uhai wa Lissu.
Shida ya Mbowe anataka kufanya bila yeye Lisu angefariki kitu ambacho si kweli. Ni kama anaonyesha amemuokoa Lisu ili aje agombee nafasi yake ama? Kwa maneno marahisi ni kama anajuta kwanini hakumuacha afe ili asije kumsumbua
Lissu kachafua hali ya hewa au sioHaya yote ameyataka Mhe. Lissu kwaajili ya kutaka kwake kugombea nafasi ya Mwenyekiti wetu
Ila in serious note, Mhe. Mbowe amepanic sana kwenye huu Uchaguzi
Hakutegemea kama Lissu angefahamu mchezo wake katika stage ile
Huko Nairobi aliishia tu uwanja wa ndege? Ni vyema kuweka rekodi sawa kuwa Wenje alitafuta hospitali mbili, na walipofika airport wakakuta ambulance za hospitali mbili tofauti zinawasubiri, wakapanda ya hospitali ambayo walau walimudu gharama zake. Ni vizuri Wenje atajwe hapo, maana Nairobi tu ni Jiji, lakini lengo lilikuwa ni matibabuNdio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....
Sio Jakaya ambaye inasemekana kuwa alinasa mchongo wa CEO wa wakati ule wa kumpeleka Lissu akaungane na Malaika mbinguni na kuwa msemaji mkuu wa malaika?Taarifa zilipofika Bungeni, chap watu wakawahi eneo la tukio kisha Hospital.
Kufika Hospital, Katibu Wizara ya Afya wa wakati huo , this great man , Dr. Ulisubisya , Daktari wa Kuua na Kufufua ( Anesthesiologist)akawahi kuingia Theater for bleeding management and major first aid akishirikiana na general physician waliokiwepo zamu.
-
Wadau wengine akiwemo mbowe , chadema na baadhi ya viongozi wa CCM akiwemo Ndungai wakabaki nje ya Hospital wakifacilitate communication ili Lissu awahishwe Muhimbili kwa ajili ya matibabu zaidi.
After few hours, Daktari wa Kuua na Kufufua, akatoka Theater na kwenda kwa wadau, Ulisubsya does not speak so much , ana sauti nzito kidogo na niliwahi kufanya nae kazi, na alikuwa ni mmoja wa waliosaini my docs nilipokuwa naondoka
Aliwauliza wadau WHAT NEXT ? Plan zmekaaje?
Mbowe na Ndungai wakajibu tumekubaliana awahishwe MNH.
Dr. Ulisubsya, ni mtu mwenye HESHIMA... akawaambia "vema lakini ninaomba kushauri; kwa hali niliyomkuta nayo LISSU na kwa technology inayotumika MNH kwa sasa, nashauri awahishwe NAIROBI ili baadae asogezwe nchi zenye advanced technology." akasisitiza "Ushauri huu ni wa kitaalam nashauri uzingatiwe"
Ndio chap chap simu zikaanza kutembea kupata vibali na ndege to Nairobi....aliyefacilitate zoezi zima la kupata ndege ni aliyekuwa mkurugenzi wa mamlaka ya viwanja vya ndege wa wakati ule.
Wakati huo JPM anasubiri Lissu aletwe MNH na akaahidi serikali itagharamia matibabu yake; Job Ndungai anampa Taarifa JPM kuwa Lissu amepelekwa Nairobi,!
JPM akauliza why ? Job akamjibu
"Ulisubsya ameshauri hivyo na ndio alisimamia zoezi zima na ameonesha kuwa MNH inatumia technology ya zamani kwenye treatment"
Hii kitu ilimuudhi sanaJPM , akasema :
"bunge lisigharamie matibabu yake"
Chap akala kichwa
Cha Ulisubsya na kumwambia kwamba unasafiri snaa nje hata safari za kuwapa watendaji wako wa chini unaenda wewe.
akawa anatakiwa kwenda pale wizara ya mambo ya nje kunywa chai asubuh na kusoma magazeti bila ya kukosa kila siku.
Gharama za matibabu ya Lissu zilichangwa na wadau wengi akiwemo Samia Hassan, aliyekuwa makamu wa Rais wa kipindi kile.
Mbowe alishiriki kama walivyoshiriki viongozi wengine wa Chadema na CCM kwenye ku facilitate zoezi zima.Mbowe alishakuwa ameingia kwenye mtego wa kumpeleka Lissu MNH.
Kama sio Ulisubsya na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege wa wakati ule..... probably we would not have Lissu today .
Siwezi kusema Mbowe hakuwa na Mchango, bali mbowe alikuwa na mchango kama walivyokuwa na Mchango viongozi wengine wa Chadema na CCM . In truth , Maisha ya Lissu yaliokolewa na viongozi yaani government officers ambao walikuwa kwenye position kubwa ya kusaidia na sio Mbowe that is hard truth ...
.. Champion aliyetoa idea ya kitabibu akiwa Ulisubsya of which it costed him .... Champion namba 2 akiwa yule mkurugenzi wa Mamlaka ya viwanja vya ndege.hawa ndio game changer .....and never Ulisubsya kuwahi kuzungumzia hili swala.....kama nilivyosema Jamaa haongei sana wala sio mtu wa Media kama Mwafulani. Anajua ethics za kazi zake and he is very much composed. Hata alivyotumbuliwa … hakuwahi ku comment anything . His mouth was always sealed🤐
kama ilivyo wana siasa Mbowe ndio akaanza kuonesha nimeokoa maisha ya Lissu. Big Liar and it is a shame kuona jamaa anaongea maneno kama hayo kuwa ameokoa maisha ya Lissu akisahau dunia ya sasa kila kitu kipo wazi.
Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
CanadaView attachment 3196708