Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

Mimi nililogwa sana kwa zaidi ya miaka 15,nilitembea sana kwa waganga ila nilipofika Kawe namshukuru Mungu walau kwa Sasa hata naonekana mtu, Mwamposa ni mtumishi wa Mungu

Kuamini umelogwa ni ugonjwa wa akili let alone kwenda kwa Mwamposa.
 
Anaweza kuwa mtumishi wa Mungu anayehitaji Roho Mtakatifu kumwongoza kutibu Roho za watu kwanza.Mungu anajali sana mioyo ya wanadamu kumrudia yeye kutoka utumwa mwa dhambi zetu.Mungu anasema utafuteni kwanza ufalme wa Mungu ndipo na hayo mengine mtapewa.Hata hivyo Mwamposa si kama wengine
 
Hapana wewe ni muongo kama hujui Kaa kimya tena kuwa kimya kabisa yatakupata mabaya sana
Naonngea kitu cha kweli, nenda pale nje kawaulize wale wapika chakula watakuambia, tena mwamposa aliwapa ela kufidia vitu vyao vilivyovunjwa na yule kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…