Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

WAMASAI NAO WANAPOKEA UPAKO WA HARUFU NJEMA KAWE
IMG_20231225_111318_767.jpg
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,

Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.


Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117

You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Mwamposa ni Mtume wa Mungu ni ngumu kudanganya dunia nzima,
 
Kuna watu humu wanawalisha waganga supu za Mbuzi kila week wao hawaliwi?😅Eti supu ya mzimu😂😂.
Sasa ningesema kitu au basi, ila wa kwenda kwa buludoza waende, kwa richard waende Wa maombi binafsi waende LAKIN MSINGI NI NENO TU
 
Mwamposa hahangaiki na dini ya mtu elewa hivyo
Ni kweli mfanyabiashara hawezi kuangaika na imani za watu, jamaa anafanya biashara ya miujiza hivyo hivyo hawezi kubagua dini za wateja.
 
Ni kweli mfanyabiashara hawezi kuangaika na imani za watu, jamaa anafanya biashara ya miujiza hivyo hivyo hawezi kubagua dini za wateja.
Kwani Yesu alikuwa anauliza dini za watu?

Dini ni mambo ya wanadamu tu Mungu na Yesu pamoja na roho Mtakatifu wanataka imani tu
 
Kwani Yesu alikuwa anauliza dini za watu?

Dini ni mambo ya wanadamu tu Mungu na Yesu pamoja na roho Mtakatifu wanataka imani tu
Miujiza ya Yesu aliifanya kwa lengo lipi na akina Mwamposa sasa hivi wanafanya miujiza kwa lengo lipi? Sasa hivi kuna manabii wana wafuasi wao na mashabiki zao na kikubwa ni miujiza tu, unakuta mtu kahama kwa nabii fulani kaenda kwa nabii kwa sababu ana miujiza mikubwa zaidi. Unajenga sehemu maalumu ya kutolea miujiza na miujiza yenyewe ni kuwapa watu mambo ya kidunia zaidi.
 
Miujiza ya Yesu aliifanya kwa lengo lipi na akina Mwamposa sasa hivi wanafanya miujiza kwa lengo lipi? Sasa hivi kuna manabii wana wafuasi wao na mashabiki zao na kikubwa ni miujiza tu, unakuta mtu kahama kwa nabii fulani kaenda kwa nabii kwa sababu ana miujiza mikubwa zaidi. Unajenga sehemu maalumu ya kutolea miujiza na miujiza yenyewe ni kuwapa watu mambo ya kidunia zaidi.

Labda nikusaidie kidogo,

Mwamposa hana uwezo hata wa kumponya mtu Malaria ila Mungu kupitia jina la Yesu kristu,

Kwakuwa ni Yesu ndio anafanya hiyo miujiza ndio hivyo Yesu mwenyewe anajua analenga nini?

Hizi sadaka ni mambo ya kawaida hata kwa waganga sadaka zinatoka
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanaoongezeka siku baada ya siku mwezi baada ya mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia Watu wakristo kwa Watu Waisilamu au hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface anayejibu kwa Moto,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Mhe Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na dunia ikashangaa kilichotokea,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea pia Mhe Dkt Tulia Ackson na akashinda na kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea timu Pyramids FC hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi na hawahesabiki,

Wengine wanakwenda kwa Siri na hawataki mtu yeyote awaone maranyingi hawashuki kwenye magari yao but wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha Matendo Makuu ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na Upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za Shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya kwani ni kujitafutia laana toka kwa Mungu ALIYEMTUMA MWAMPOSA.


Mfuatilie: Azam channel No 469
Startimes channel No 117

You tube: Mwamposa Live
You tube : Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Boni kumbe nae ana chawa humu JF, makubwa!
 
Labda nikusaidie kidogo,

Mwamposa hana uwezo hata wa kumponya mtu Malaria ila Mungu kupitia jina la Yesu kristu,

Kwakuwa ni Yesu ndio anafanya hiyo miujiza ndio hivyo Yesu mwenyewe anajua analenga nini?

Hizi sadaka ni mambo ya kawaida hata kwa waganga sadaka zinatoka
Kwanza kabisa kiusahihi wanayofanya akina Mwamposa si miujiza. Huku kumuombea mtu apate kazi sijui gari au sijui kutibu uchawi na ukimwi si miujiza.

Miujiza ni kitu kikubwa na si haya anayofanya Mwamposa ambayo unaweza kuyapata kwa bidii au kwa waganga wa kienyeji, hakuna miujiza hapo.
 
Labda nikusaidie kidogo,

Mwamposa hana uwezo hata wa kumponya mtu Malaria ila Mungu kupitia jina la Yesu kristu,

Kwakuwa ni Yesu ndio anafanya hiyo miujiza ndio hivyo Yesu mwenyewe anajua analenga nini?

Hizi sadaka ni mambo ya kawaida hata kwa waganga sadaka zinatoka
Yohana 6
26 Yesu akawajibu, “Ni wazi kwamba ninyi hamnitafuti kwa kuwa mliona ishara na miujiza ninayofanya, isipo kuwa mnanitafuta kwa sababu mlikula mikate mkashiba. 27 Msishug hulikie sana chakula kiharibikacho bali shughulikieni chakula kidumucho; chakula cha uzima wa milele. Chakula hicho, nitawapeni mimi Mwana wa Adamu, ambaye Baba Mungu mwenyewe amenithibit isha.”
 
Mungu ana njia nyingi juu ya watu wake kwa kutumia mtu.
Usije uka dhihaki ukajikuta unaingia kwenye vita na Mungu.
By summing up watu waendao pale si wapumbvu.
Omba yasikukute.
Utaanzia kwa waganga utamalizia hapo unapopa dhihaki.
 
Mungu ana njia nyingi juu ya watu wake kwa kutumia mtu.
Usije uka dhihaki ukajikuta unaingia kwenye vita na Mungu.
By summing up watu waendao pale si wapumbvu.
Omba yasikukute.
Utaanzia kwa waganga utamalizia hapo unapopa dhihaki.
Ushauri mzuri sana huu, "no research no right to say" ,
 
Wapumbavu huhamasishana waende kule mara huku kuna miujiza, ni umbumbumbu wa SGR levels.

Duniani kote Mungu hupatikana Kawe tu? nina wasiwasi na akili zetu Waafrika kiuumbwaji...
Usiite wapumbafu hata kama hukubaliani nalo, japo si mfuasi wake ila sio vyema na huenda hata ndugu zako wanatumia maji na mafuta nawewe unatumia bila kujua [emoji3][emoji3][emoji3] maana vifaa vya upako karibia nchi nzima au nusu vipo
 
Back
Top Bottom