Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Ndio huyo huyo.l baba Khaitham. Ustaadh ana pesa.ya. kutoshaYule kitenge wa mtaa wa Gogo anamdogo wake pia pale anwar sijui?.
Sizani kama ilikuwa ni wakati sahihi kumhamisha Jerry Silaa wizara ya ardhi
Kwamba Jerry Silaa ndiye mkombozi wa Watanzania kwenye suala la ardhi?Sijui walifikiria nini kumtoa jerry slaa kwenye hii wizara, kipindi cha jerry upuuzi kama huu usingekuwepo ni uvamizi huu kama uvamizi mwingine
He did excellent jobKwamba Jerry Silaa ndiye mkombozi wa Watanzania kwenye suala la ardhi?
Alijitahidi sana kumaliza migogoro kwa haki na haraka bila ya kuangalia mtu usoni , maana alishambulia hadi mapapa wa ardhi ambao wamekuwa hawagusiki kwa kipindi kirefu, na baada ya kutolewa kuna kuringe na genge lao wameanza tena kutumia pesa kupora haki,Kwamba Jerry Silaa ndiye mkombozi wa Watanzania kwenye suala la ardhi?
Unataka kusema nchi hii Kuna watu hawaguswi mpaka rais awaogope ivyo sasa hii ni nchi au kituko?Kunaonekana kulikua na mpango mchafu juu yake ndiyo maana Mama kamuwai na kwenda kumficha huko Tcra ili manyangau yasimzulu, ila naamini hali ikisha kaa sawa Mama atamrudisha Aridhi!!
Hao watoto wa maftah si wana mama wa kamboTatizo lipo kwa mwenye eneo na mpangaji wake wa muda mrefu wa miaka kumi.
Mwenye eneo kaingia tamaa akauza ndani ya mkataba.
Alitakiwa aongee na mpangaji wake ili amuongezee kodi.
Hii inasumbua, dada yetu mmoja aliwahi ingia mkataba wa hivyo, akajenga hotel kubwa ya kitalii kwenye njia ya kwenda mlima Kilimanjaro, elewa dada yetu huyo alikopa dollar huko ng'ambo.
Mwenye nyumba kuona pamenoga, akamwambia sitaki hii nyumba hapa, was very shocked.
Mengine yanaumiza, anyways.
Watu wanataka kufanya mamboUnavunjaje mahali pazuri hivyo??
Ndio utajua wivu wa watanzania, Kwani kuwekeza ni kosa Gani, zaidi ya kufurahia upanuzi wa wigo wa Kodi!? Pia utoaji wa ajira??? Mtu kauza kiwanja na kuridhia Kuna kosa Gani!? Ni jukumu la wizara ya ardhi kuhamasisha Hawa wawekezaji wawekeze kulingana na mipango miji (kama IPO!!!) zaidi ya hapo naona mtoa hoja ana wivu wa maendeleoSijui walifikiria nini kumtoa jerry slaa kwenye hii wizara, kipindi cha jerry upuuzi kama huu usingekuwepo ni uvamizi huu kama uvamizi mwingine
Ndugu yangu unaona namna wengi wetu tunavyofikiri, kama huu wivu wa maendeleo ukipungua Tanzania itakuwa kama New York!! Mifremu Ile ya vioo ndio mtu anaisemea pazuri,!? Jukumu la serekali ni kuwawezesha Hawa wawekezaji na sio kuwavunja moyoWatu wanataka kufanya mambo
makubwa zaidi ya hizo frame
ova
Labda hata huo mkataba wa miaka kumi maftah alirubuniwa bila kujua madhara yake, hivyo hao wapangaji wajitafakari pia, mkataba wa miaka kumi ni unyonyaji kama unyonyaji mwingineKutokana na maelezo hapo juu mwenye shida sio Kuringe estate wala Edward Mushi.
Shida ipo kwa Zakaria Maftah kuuza kiwanja chake wakati alishaingia makubaliano na watu wengine. Ilitakiwa kabla ya kuuza awashirikishe hao investors alioingia nao mikataba ya miaka 10.
Maendeleo yanakuja kama Watu wanaweza kutumia Bank ipasavyo, Hawa kuringe tuliwahitaji juzi na sio Leo tuKuna watu wana pesa sana hii nchi
Kabisa,ila kuringe hapo wala hana tatizo ...ttz liko kwa mmiliki na wapangaji wake tu wa zamaniNdugu yangu unaona namna wengi wetu tunavyofikiri, kama huu wivu wa maendeleo ukipungua Tanzania itakuwa kama New York!! Mifremu Ile ya vioo ndio mtu anaisemea pazuri,!? Jukumu la serekali ni kuwawezesha Hawa wawekezaji na sio kuwavunja moyo
Ninachokiona huyu maftah alitapeliwa, huwezi mpangisha MTU nae apangishe MTU mwingine bila maridhiano, huyu Dada nae anaisemea kampangisha MTU mwingine, hata NHC hii haikubaliki, Maftah katapeliwaKuna jamaa anaitwa Kuringe, kaingia mjini Dar es Salaam na shoka.
Na ana kata kulia na kushoto akiwanunua watu na viwanja vyao kama hana akili nzuri.
Ukienda wilaya ya Kinondon i utamkuta yupo tele kila mahali.
Mitaa ya Goig Mbezi Beach kanunua mtaa mzima.
Kama utafika Mbezi NSSF road ile RED Hall ni yake.
Ile Kuringe Sports Bar kulekea Baraza la Mitihani haya tena, na hivyo ni baadhi tu ya vitega uchumi na viwanja alivyonunua Kinondoni.
Jina halisi la Kuringe nasikia ni somebody Edward Mushi, kijana mdogo ambaye zimemtembelea.
Nimeona hii clip mahali, nikaona nimpe ushauri wa bure.
Namshauri tu, bwana Kuringe , aste aste brother, taratibu jiji hili la Chalamila, wengi wametajirikia hapa, ila wengi pia wamefilisikia hapa DSM.
Kula na kipofu, gusa mkono wa mwanasiasa wa Kinondoni, ndo utalijua Jiji.
======
Mwekezaji Joanna Chifunda aeleza kuhusu uvamizi wa eneo lake la biashara liliopo Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam. Inadaiwa kwamba fremu saba katika plot namba 27 zilivunjwa na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kwamba amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
Joanna Chifunda anaeleza kwa kirefu zaidi alipofanya mahojiano na Waandishi wa habari siku ya Jumamosi, Oktoba 12, 2024 mbele ya fremu hizo zilizovunjwa.
Abdulmajid Zakaria Maftah ambaye amejitambulisha kama ni mmojawapo wa watoto saba wa mzee Zakaria Maftah akieleza kuhusu uvamizi na mgogoro wa ardhi katika eneo liliopo kwenye plot namba 27, Mikocheni kwa Nyerere Jijini Dar es salaam.
Inadaiwa kwamba fremu saba katika eneo hilo zilivunjwa usiku wa kuamkia Oktoba 12, 2024 na Watu waliojitambulisha kwamba wametumwa na Kuringe ambaye anadai kuwa amenunua eneo hilo baada ya kuingia makubaliano na kumlipa Mmiliki aitwaye Zacharia Maftah.
Tatizo lenu wabongo huwa mnapagawa na kiki za viongozi wakiwa wanamulikwa na camera ilhali chanzo cha matatizo hakitafutiwi suluhisho la kudumu. Huyo jery slaa ni msanii km walivyo wanasiasa wengine.Sijui walifikiria nini kumtoa jerry slaa kwenye hii wizara, kipindi cha jerry upuuzi kama huu usingekuwepo ni uvamizi huu kama uvamizi mwingine
Ni SAWA Mambo ya familia, yanaweza kuwepo ila pia huo mkataba na huyo mpangaji nao ni ukakasi zaidi , how mkataba for ten years!! Hapana Kuna shida, ila maendeleo ya miji yetu yanawahitaji akina Kuringe wengi zaidiKabisa,ila kuringe hapo wala hana tatizo ...ttz liko kwa mmiliki na wapangaji wake tu wa zamani
Alafu kwa upande wa mzee maftah naona watoto washing ilia...so kuna mambo ya kifamilia zaidi
Ova
Hata huyo atajenga hiyo hiyo mifremu. Unafikiri Kuna uwekezaji gani utafanywa hapo?Ndugu yangu unaona namna wengi wetu tunavyofikiri, kama huu wivu wa maendeleo ukipungua Tanzania itakuwa kama New York!! Mifremu Ile ya vioo ndio mtu anaisemea pazuri,!? Jukumu la serekali ni kuwawezesha Hawa wawekezaji na sio kuwavunja moyo
Asee nimejaribu kujenga picha hapa namna muonekano wa mzee wa watu alivyofanywa nimecheka sana. Anyway haya mambo yana changamotoKule Mapinga bagamoyo kuna mzee aliwahi leta pigo za kutaka kuvamia viwanja atoe watu ,sijui walimfanya nini ila ile stroke sijawahi kuiona dunia hii kwa umri wangu yani kiuno kilienda kushoto,kichwa kulia mabega yakaenda mbele ulimi ukatoka nje macho kodo dah wanae kuona hivyo nduki kali na alichobugi hakuwa na vithibiti vyovyote alikua anataka asumbue watu tu