Huyu kijana Amedhalilika sana

Huyu kijana Amedhalilika sana

Kwanza hii unequal distribution of wealth.....mschana Don aolewe na kajamba nani? Tayari hilo ni tatizo


Mwanaume Don anaweza kuoa Mwanamke kajamba nani kwao Ngangari dona na bamia na wala sio issue.

Ilitokea siku za nyuma nikiwa Chuo msichana mkali sana, mzuri and was bright, lakini kaliwa sana Mjini sidhani kama kuna tobo lilibaki salama.

Bwana bwana akaja kuolewa na Mwanaume wa ajabu sana. Sijui nini kilimkuta yule dada Mahandsome wote walimkimbia.

Tatizo linaanzia hapo
Ukiliwa sana wajanja wanajua mkuu, ila lazima kuna koro mmoja atakuoa tu.
 
Hizo sehemu huwa zinataka maamuzi ya haraka hata kama ni mbele za watu, hapo inapaswa unamuambia hapo hapo "niite kwa jina langu na si kabila langu, na uniite kwa heshima"...

Au mfuate baada ya sherehe, akizingua ni kofi ama mitama, ili kusudi asije rudia kwa wengine...
MCs wana hio tabia kutumia umati kutaka sifa, haangalii we ni mtu wa matani au la!! yeye anataka kuchekesha umati hali ya kuwa anakuumiza na kutumia kama kinga kwamba hata akikuongea vibaya anasingizia ni utani,na huwezi jibu mbele za watu au kufanya lolote.

Will Smith nilimsifu alipomkata kofi CHris Rock...
giphy.gif
 
Hizo sehemu huwa zinataka maamuzi ya haraka hata kama ni mbele za watu, hapo inapaswa unamuambia hapo hapo "niite kwa jina langu na si kabila langu, na uniite kwa heshima"...

Au mfuate baada sherehe, akizingua ni kofi ama mitama, ili kusudi asije rudia kwa wengine...
MCs wana hio tabia kutumia umati kutaka sifa, haangalii we ni mtu wa matani au la!! yeye anataka kuchekesha umati hali ya kuwa anakuumiza na kutumia kama kinga kwamba hata akikuongea vibaya anasingizia ni utani,na huwezi jibu mbele za watu au kufanya lolote.

Will Smith nilimsifu alipomkata kofi CHris Rock...
giphy.gif
Hapo kabla hajaenda kupiga picha ilitakiwa amufuate MC na kumwambia "achunge mdomo wake"
Halafu anaenda kupiga picha na tabasamu kama lote.
 
Kwanza hii unequal distribution of wealth.....mschana Don aolewe na kajamba nani? Tayari hilo ni tatizo


Mwanaume Don anaweza kuoa Mwanamke kajamba nani kwao Ngangari dona na bamia na wala sio issue.

Ilitokea siku za nyuma nikiwa Chuo msichana mkali sana, mzuri and was bright, lakini kaliwa sana Mjini sidhani kama kuna tobo lilibaki salama.

Bwana bwana akaja kuolewa na Mwanaume wa ajabu sana. Sijui nini kilimkuta yule dada Mahandsome wote walimkimbia.

Tatizo linaanzia hapo
😁Mzee baba umenikumbusha nyimbo ya mtoto wa geti kali ya inspeckta haroun
Nimekufia fia nimekuzimia Mia lakini je utaweza kurungamia
"ugali dona na kachumbari🤣

Wakati huo inspeckta haroun anatokea" kajamba nani mikoroshoni"
 
One man down.

One man down

Kijana hana chake hapo.

Kijana hatakuwa na ile Manhood kwa mkewe.
Trust Me Dear Brother,
They are unpredictable ,
They Fall in Love places u could never imagine,
What turns them on, is quite Far from our thoughts,

U may have money and is not enough,

As a Man U may love & F*** Well is not enough,
U may be honest ,humble and God fearing Man and be boaring to them,

In short "Live it Life as is", No Formular in this asikudanganye mtu yeye anapatia kwake au wake kamuweza no perfection.

(TUISHI NAO) : Act as a fool , learn how they want sometimes even pretend, don't force what we can't change.


Vitabu vya Dini navyo vinatuagiza ai kutusihi tuishi nao kwa akili (Biblia). Sina sana uzoefu na Quran Mwenye Elimu ya Quran aseme huko mambo yakoje... 😊😀
 
Back
Top Bottom